Zelensky: Hakuna nchi inayoweza kustahimili vita na Urusi peke yake

Angefuata mkataba wa amani yote yasingemkuta yy kajitutumia kwa kutegemea silaha za msaada halafu puttin alivyo mhuni yy anateka sehemu muhimu tu za kiuchumi sasa hv kambakishia bandari moja tu ya odessa ikichukuliwa na hyo atakuwa km burundi au rwanda land lock
 
Tumuulize Zelensky kama alimaanisha mpaka US au lah .🤔

Lakini kwa maelezo yake Zele ni kuwa hata US hawezi mshinda Russia akiwa peke yake.
Ndio anachosema zelensky. Kwani anae supply silaha Ukrainei kwa sasa ni ni nani? Si kibaka Mmarekani? Zelensky alipewa wito wa kusaini kusitisha vita kunako 2022, akapigwa mkwara na Bori Johnson, akarudi nyuma. Bado siku kadhaa tu majeshi ya Warusi wafike Kyiv, aendelee kushupaza fuvu tu mpaka wamfikie! 😀 😀 😀
 
Nadhani kimoyomoyo anajutia sana ile Fursa
 
Ila mbona kule Nagorno-karabakh Russia alimshindwa Uturuki mwaka jana?
Russia ni giant fusa"by penguins of Madagascar's voice".
Ila usi draw general implication kuwa ni US pekee ndio inaweza kusimama na Russia.
 
Nikajua silaha za kupiga mosco washamkabidhi kumbe maneno tu hamna kitu
 
Taifa la Mungu Israeli likiingia front wakiwa na Mungu - Yehova YWHW, dakika sifuri Russia anasamaratishwa. rejea vita ya Daudi na Goliathi
 
Taifa la Mungu Israeli likiingia front wakiwa na Mungu - Yehova YWHW, dakika sifuri Russia anasamaratishwa. rejea vita ya Daudi na Goliathi
kama alivyoisambaratisha hamas na kuokoa maagaaidi wake wote wanne waaliotekwa na hamas😁😁😁
 
Hata urusi haiwezi kustahimili vita pekeake pia. Msaada wa silaha ndio habar ya mjini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…