Zelensky kidogo amwage chozi katika interview na BBC

Zelensky kidogo amwage chozi katika interview na BBC

Hilo Jinga kweli katika watu duniani, sijaona.

Ukraine ilikuwa Paradise kabisa niliwahi kwenda kule mara mbili, nchi ilikuwa absolutely superb.

Huyo comedy alipandikizwa hapo na America ili wapate njia ya kupigana na Mrusi, na lilivyo jinga hilo Yahudi likawaingiza wa Ukraine cha kikanisa.

Ukraine imevurugwa kabisa nchi yao labda itahitajia miaka 25 au 30 irudi kama ilivyo kuwa.

Na bado wamshukuru Putin ana roho nzuri hawa ndio wakristo nawakubali sio kina Biden wajila nyaa.

Biden anafanana tabia na wafuasi wa Paulo hapa JF c wote karibu 90%
Naamini ulienda kupata matibabu ya ugonjwa wako wa akili
 
Hilo Jinga kweli katika watu duniani, sijaona.

Ukraine ilikuwa Paradise kabisa niliwahi kwenda kule mara mbili, nchi ilikuwa absolutely superb.

Huyo comedy alipandikizwa hapo na America ili wapate njia ya kupigana na Mrusi, na lilivyo jinga hilo Yahudi likawaingiza wa Ukraine cha kikanisa.

Ukraine imevurugwa kabisa nchi yao labda itahitajia miaka 25 au 30 irudi kama ilivyo kuwa.

Na bado wamshukuru Putin ana roho nzuri hawa ndio wakristo nawakubali sio kina Biden wajila nyaa.

Biden anafanana tabia na wafuasi wa Paulo hapa JF c wote karibu 90%
Mjinga ni Zelensky au wewe? Yaani mfano, unataka kusema alivyokuja Idd Amin Dadah akadai Mkoa wa Kagera ni sehemu ya Uganda na ataichukua, ulitaka Mwl. Nyerere akae kimya tu na akubali tu? Hivi nyie huwa mnazaliwa na binadamu kweli?
 
Dunia Iko chini ya yule mwovu (shetani). Lazima vita viwepo duniani ili damu zimwagike masheitwani yanywe damu maana ndio chakula chao. Mwamini Yesu upate wokovu upate uhakika wa kuingia katika mbingu mpya na nchi mpya huko ndiko kwenye makao yetu sio katika dunia hii mbovu iliyopo sasa
Umekosea uzi damu ya kunguni
 
Hapo nimekubali niliteleza kuandika Crimea, uzuri wetu wafuasi wa Mtume Muhammad tukikosea tunakubali hata kuitwa wajinga asiye kubali kakosea hajifunzi, safi sana mara ya kwanza mkristo kanizidi akili 😄
Huwezi kuzidiwa akili na mkristo ukiwa muislamu tu tayari unakua na akili mbali kuliko kafiri
Sema ulikosea na kuonesha kua una akili kubwa unaona umekubali kama umekosea
Lingekua kikafiri sasa hapo🤔
 
Aliyekuwa raisi wa Ukraine
emoji1255.png
V. Zelensky
Kiaje
 
Mjinga ni Zelensky au wewe? Yaani mfano, unataka kusema alivyokuja Idd Amin Dadah akadai Mkoa wa Kagera ni sehemu ya Uganda na ataichukua, ulitaka Mwl. Nyerere akae kimya tu na akubali tu? Hivi nyie huwa mnazaliwa na binadamu kweli?
Hiyo ni mifano miwili tofauti. Tafuta mwl wa Historia akupe lecture kuhusu historia ya Rusia na Ukraini
 
Hilo Jinga kweli katika watu duniani, sijaona.

Ukraine ilikuwa Paradise kabisa niliwahi kwenda kule mara mbili, nchi ilikuwa absolutely superb.

Huyo comedy alipandikizwa hapo na America ili wapate njia ya kupigana na Mrusi, na lilivyo jinga hilo Yahudi likawaingiza wa Ukraine cha kikanisa.

Ukraine imevurugwa kabisa nchi yao labda itahitajia miaka 25 au 30 irudi kama ilivyo kuwa.

Na bado wamshukuru Putin ana roho nzuri hawa ndio wakristo nawakubali sio kina Biden wajila nyaa.

Biden anafanana tabia na wafuasi wa Paulo hapa JF c wote karibu 90%

Waukrain wa bongo walibisha sana pale mwanzo kuwa urussi anakaa mapeemaaa asubuhi,matokeo yake mrusi anawagaragaza pamoja na kibabu,macron chalii,sunaki chaliii,mjanja ni V.Orban na Fico pekee.
 
Aliyekuwa raisi wa Ukraine
emoji1255.png
V. Zelensky katika mahojiano na BBC kuhusu vita baina yake na Russia amejikuta akitaka kutokwa na machozi pale alipobananishwa na mwandishi wa habari baada ya kutakwa kutaja idadi ya wanajeshi wake wanaolamba mchanga kila siku vitani.

Majibu ya Zelensky Yalikuw kama ifuatavyo.

"Najua tunapoteza wanajeshi wengi kila siku, na idadi hiyo inaendelea kuongezeka kila siku. Siwezi kutaja idadi kamili wakati huu kwa sababu sitaki Urusi ifahamu."

"I
 
Na Russia imeharibiwa sana kuliko Ukraine ila kwakua ni taifa la kidikteita hawasemi ukweli
Ila Elensky anatutania kimsingi wanajeshi wa Ukraine hawafi
Ni vyema sisi tubakie na yetu ya kibongo,hayo makubwa makubwa tuwaachie wajanja kama akina mr.Moscovischt.
 
Hapo umeanza kueleweka.
dogo muwe mnatulia kidogo ujuwe sometimes, binadamu anaweza kutype akandika hajakikusudia alicha taka kuandika, sababu watu kama sisi tuna deal na Dubai Financial Market (DFM).

Akili zina focus kwenye minofu, afu ghafla unakutana na wafuasi wa yule alikosa hata nyumba ya kulala, akaishia kulala chini ya mti akitokea Damascus, mwenzenu kwa mchoko wa safari alimuona kwenye ndoto Shetani akasema Yesu

Pia inabidi tuwafahamishe hivi tukikosea kutype, sio kosa kwanini waliweka edit? Hamjiulizi mbona nyie kila siku mnaedit bibilia zenu.

Nasikia mmefikia mpaa ku edit Yesu anawambia kweli yeye ni Mungu wakati mwanzo alisema katumwa 😄 Afu mme edit eti Yesu ndio aliongea na Mussa, sio Mungu.

Aisay wakristo mmepiga hatua kali sana, mnataka kufika zaidi ya Jahanamu nasikia. Mpa mnabadili walicho ongea Mitume wa Mungu, Paulo asifiwe kwa jina la baba na mwana, na roho mtakatifu 3=1 😄
 
Waukrain wa bongo walibisha sana pale mwanzo kuwa urussi anakaa mapeemaaa asubuhi,matokeo yake mrusi anawagaragaza pamoja na kibabu,macron chalii,sunaki chaliii,mjanja ni V.Orban na Fico pekee.
Ndio manake Putin anaila Nato mdogo mdogo, huoni mpaa Biden kachoka katumia akili zote kuliko umri wake, sa akili zimemruka, mara awe kama wale robbat mara anajisemea hovyo Putin kiboko aisay
 
Back
Top Bottom