Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Amtafute wapi?Hiyo ni mifano miwili tofauti. Tafuta mwl wa Historia akupe lecture kuhusu historia ya Rusia na Ukraini
Mtafute wewe huyo mwalimu akupe lecture uje kutupa lecture hapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amtafute wapi?Hiyo ni mifano miwili tofauti. Tafuta mwl wa Historia akupe lecture kuhusu historia ya Rusia na Ukraini
Kwa nini umeamua kulichanganya suala la Ukraine na udini?!Akili zina focus kwenye minofu, afu ghafla unakutana na wafuasi wa yule alikosa hata nyumba ya kulala, akaishia kulala chini ya mti akitokea Damascus, mwenzenu kwa mchoko wa safari alimuona kwenye ndoto Shetani akasema Yesu
Nasikia mmefikia mpaa ku edit Yesu anawambia kweli yeye ni Mungu wakati mwanzo alisema katumwa 😄 Afu mme edit eti Yesu ndio aliongea na Mussa, sio Mungu.
Lazima ipo reason flani ndio ikaingia dini, we hapa umeisha ingiza dini. Wewe fatilia story ya Mtume Muhammad kabla ya kupewa utume utafahamu maisha yake, hajawahi kusema uwongo.Kwa nini umeamua kulichanganya suala la Ukraine na udini?!
Unataka watu wa upande mwingine nao waanze kuhoji nani alimtokea mtume wako pangoni na kama kweli kitabu chako kilishushwa au ni hadithi tu za ngano kama hadithi nyingine??
Damu ya Yesu imetupatanisha na Mungu kwa kutufutia dhambi zetu sisi tuliomwamini Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yetu. Kupitia Damu ya Yesu tumehesabiwa haki mbele za Mungu, Baba yetu. Hata sasa Damu ya Yesu inanena mema juu yetu.Damu ya yesu alikunywa nani?
Mtume wenu PauloWafuasi wa Paulo Makonda au Paulo mtume wa biblia??
We hebu nipe mfano nchi ipi miji yao yote iko sawa? Hata Tanzania kila miji iko tofouti na mingine kuna miji mizuri na kuna miji si mizuri.Paradiso ikoje?
Ulienda Ukraine baada ya Crimea kuvamiwa na Putin mwaka 2014 au kabla yake?
Uliweza kufika Mashariki mwa Ukraine katika majimbo ya Donetsk na Luhansk yanayounda mkoa wa Donbas? Nayo yalikuwa kama paradiso??
Ye mwenyewe aliomba msaada msabani,anakuokoaje Wewe mwinjilisti?YESU NI BWANA NA MWOKOZI
Joseph akiwa na Miaka 88.alisha poswa na Joseph akiwa ndogo kabisa 😄
Niambie Myahudi mweusi! Upo??Amtafute wapi?
Mtafute wewe huyo mwalimu akupe lecture uje kutupa lecture hapa.
Kirussia🤒Hiki ki Vietnam au?[emoji23][emoji23][emoji23]