Zelensky kidogo amwage chozi katika interview na BBC

Zelensky kidogo amwage chozi katika interview na BBC

Kila askari mmoja wa urusi anaye uliwa basi ukrain inapoteza askari 14 hadi 18 sasa piga hesabu mfano urusi kapoteza askali 20000 basi ukrain inakuwa imepoteza 280000
Siyo 1:18 bali ni 1:50 hadi 90 (KIA\MIA). It's an established fact!

Kipanya anatakwimu zake za elfu moja na mia kwa mkupukuo wa askari KIA wa Russia.

Hii ina maana kwamba, kwa kuzingatia hoja yake, askari wa Ukraine KIA ni 5,000 hadi 9,000!
 
dogo muwe mnatulia kidogo ujuwe sometimes, binadamu anaweza kutype akandika hajakikusudia alicha taka kuandika, sababu watu kama sisi tuna deal na Dubai Financial Market (DFM).

Akili zina focus kwenye minofu, afu ghafla unakutana na wafuasi wa yule alikosa hata nyumba ya kulala, akaishia kulala chini ya mti akitokea Damascus, mwenzenu kwa mchoko wa safari alimuona kwenye ndoto Shetani akasema Yesu

Pia inabidi tuwafahamishe hivi tukikosea kutype, sio kosa kwanini waliweka edit? Hamjiulizi mbona nyie kila siku mnaedit bibilia zenu.

Nasikia mmefikia mpaa ku edit Yesu anawambia kweli yeye ni Mungu wakati mwanzo alisema katumwa 😄 Afu mme edit eti Yesu ndio aliongea na Mussa, sio Mungu.

Aisay wakristo mmepiga hatua kali sana, mnataka kufika zaidi ya Jahanamu nasikia. Mpa mnabadili walicho ongea Mitume wa Mungu, Paulo asifiwe kwa jina la baba na mwana, na roho mtakatifu 3=1 😄
Maelezo mengi halafu hueleweki bado.
NB;Kuhusu "dogo",chungulia kwenye bukta utamuona.
 
Maelezo mengi halafu hueleweki bado.
NB;Kuhusu "dogo",chungulia kwenye bukta utamuona.
dogo mimi nawajua wadogo kwangu na wakubwa kwangu, mimi kwa tarifa yako we unaweza ukawa sawa na mtoto wangu yule wa mwisho ki umri.

Sina haja ya kufika huko eti nikuchungulie, huo ni mchezo wa kanisani. Waswahili wanamsemo wa kusema mwenye tabia anajulikana kwa action zake 😄
 
Russia na Ukraine ni mataifa ndugu lakini US kawachonganisha kwa kuweka pandikizi lao.
 
Hilo Jinga kweli katika watu duniani, sijaona.

Ukraine ilikuwa Paradise kabisa niliwahi kwenda kule mara mbili, nchi ilikuwa absolutely superb.

Huyo comedy alipandikizwa hapo na America ili wapate njia ya kupigana na Mrusi, na lilivyo jinga hilo Yahudi likawaingiza wa Ukraine cha kikanisa.

Ukraine imevurugwa kabisa nchi yao labda itahitajia miaka 25 au 30 irudi kama ilivyo kuwa.

Na bado wamshukuru Putin ana roho nzuri hawa ndio wakristo nawakubali sio kina Biden wajila nyaa.

Biden anafanana tabia na wafuasi wa Paulo hapa JF c wote karibu 90%
Ukraine ilivamiwa na Russia
 
Raisi wa Ukraine [emoji1255] V. Zelensky katika mahojiano na BBC kuhusu vita baina yake na Russia amejikuta akitaka kutokwa na machozi pale alipobananishwa na mwandishi wa habari baada ya kutakwa kutaja idadi ya wanajeshi wake wanaolamba mchanga kila siku vitani.

Majibu ya Zelensky Yalikuw kama ifuatavyo.

"Najua tunapoteza wanajeshi wengi kila siku, na idadi hiyo inaendelea kuongezeka kila siku. Siwezi kutaja idadi kamili wakati huu kwa sababu sitaki Urusi ifahamu."

"I know how many people we lose every day. I see these changes every day. And they are not decreasing. We cannot disclose the number right now because I do not want Russia to know the figures."
Nakala Kwa kp kipanya44 aione kwenye jalada.
 
Russia kapoteza wanajeshi wengi Sana kuliko Ukraine Ila ni taifa LA kidictator hawasemi. Vita sio kitu kizuri
Vp Ukraine ambo ni taifa la kidemokrasia wamesema ??!!!
BTW Kama Ukraine hawaweki data zao wazi, hiyo idadi ya warusi wengi kufa kuzidi Ukraine umeitoa chumbani kwako au Kwa kp kipanya44?
 
Huyo comedy alipandikizwa hapo na America ili wapate njia ya kupigana na Mrusi, na lilivyo jinga hilo Yahudi likawaingiza wa Ukraine cha kikanisa.
We mbwa koko una maana gani !.
 
Raisi wa Ukraine [emoji1255] V. Zelensky katika mahojiano na BBC kuhusu vita baina yake na Russia amejikuta akitaka kutokwa na machozi pale alipobananishwa na mwandishi wa habari baada ya kutakwa kutaja idadi ya wanajeshi wake wanaolamba mchanga kila siku vitani.

Majibu ya Zelensky Yalikuw kama ifuatavyo.

"Najua tunapoteza wanajeshi wengi kila siku, na idadi hiyo inaendelea kuongezeka kila siku. Siwezi kutaja idadi kamili wakati huu kwa sababu sitaki Urusi ifahamu."

"I know how many people we lose every day. I see these changes every day. And they are not decreasing. We cannot disclose the number right now because I do not want Russia to know the figures."
Rais mpuuzi wa karne!
Ameharibu nchi yake na kusababisha vifo vingi sana bila ulazima huo!
 
Past future tense is when a future action is so certain to occur that it's considered already accomplished in the past.
Examples: noun/ pronoun+will/shall + have/ has + verb in past participle.......
Au nimeenda chaka?
 
Raisi wa Ukraine [emoji1255] V. Zelensky katika mahojiano na BBC kuhusu vita baina yake na Russia amejikuta akitaka kutokwa na machozi pale alipobananishwa na mwandishi wa habari baada ya kutakwa kutaja idadi ya wanajeshi wake wanaolamba mchanga kila siku vitani.

Majibu ya Zelensky Yalikuw kama ifuatavyo.

"Najua tunapoteza wanajeshi wengi kila siku, na idadi hiyo inaendelea kuongezeka kila siku. Siwezi kutaja idadi kamili wakati huu kwa sababu sitaki Urusi ifahamu."

"I know how many people we lose every day. I see these changes every day. And they are not decreasing. We cannot disclose the number right now because I do not want Russia to know the figures."
Ivi kiingereza kinakupa shida gani wewe au ulisoma jioni people tafsiri yake ni watu sio wanajeshi
halafu, ivi Putini anataja idadi halisi ya wanajeshi wake? ule msururu wa vifaru km64 uliotoka russia wale wanajeshi waliishia wapi kwani?
 
Dunia Iko chini ya yule mwovu (shetani). Lazima vita viwepo duniani ili damu zimwagike masheitwani yanywe damu maana ndio chakula chao. Mwamini Yesu upate wokovu upate uhakika wa kuingia katika mbingu mpya na nchi mpya huko ndiko kwenye makao yetu sio katika dunia hii mbovu iliyopo sasa
Damu ya yesu alikunywa nani?
 
Raisi wa Ukraine [emoji1255] V. Zelensky katika mahojiano na BBC kuhusu vita baina yake na Russia amejikuta akitaka kutokwa na machozi pale alipobananishwa na mwandishi wa habari baada ya kutakwa kutaja idadi ya wanajeshi wake wanaolamba mchanga kila siku vitani.

Majibu ya Zelensky Yalikuw kama ifuatavyo.

"Najua tunapoteza wanajeshi wengi kila siku, na idadi hiyo inaendelea kuongezeka kila siku. Siwezi kutaja idadi kamili wakati huu kwa sababu sitaki Urusi ifahamu."

"I know how many people we lose every day. I see these changes every day. And they are not decreasing. We cannot disclose the number right now because I do not want Russia to know the figures."
alicheza kete mbaya sana kutoa sadaka nchi yake iliyojengwa kwa miaka mingi.
 
Ukraine ilikuwa Paradise kabisa niliwahi kwenda kule mara mbili, nchi ilikuwa absolutely superb.
Paradiso ikoje?
Ulienda Ukraine baada ya Crimea kuvamiwa na Putin mwaka 2014 au kabla yake?
Uliweza kufika Mashariki mwa Ukraine katika majimbo ya Donetsk na Luhansk yanayounda mkoa wa Donbas? Nayo yalikuwa kama paradiso??
 
Back
Top Bottom