Zelensky kidogo amwage chozi katika interview na BBC

Naamini ulienda kupata matibabu ya ugonjwa wako wa akili
 
Mjinga ni Zelensky au wewe? Yaani mfano, unataka kusema alivyokuja Idd Amin Dadah akadai Mkoa wa Kagera ni sehemu ya Uganda na ataichukua, ulitaka Mwl. Nyerere akae kimya tu na akubali tu? Hivi nyie huwa mnazaliwa na binadamu kweli?
 
Umekosea uzi damu ya kunguni
 
Hapo nimekubali niliteleza kuandika Crimea, uzuri wetu wafuasi wa Mtume Muhammad tukikosea tunakubali hata kuitwa wajinga asiye kubali kakosea hajifunzi, safi sana mara ya kwanza mkristo kanizidi akili 😄
Huwezi kuzidiwa akili na mkristo ukiwa muislamu tu tayari unakua na akili mbali kuliko kafiri
Sema ulikosea na kuonesha kua una akili kubwa unaona umekubali kama umekosea
Lingekua kikafiri sasa hapo🤔
 
Mjinga ni Zelensky au wewe? Yaani mfano, unataka kusema alivyokuja Idd Amin Dadah akadai Mkoa wa Kagera ni sehemu ya Uganda na ataichukua, ulitaka Mwl. Nyerere akae kimya tu na akubali tu? Hivi nyie huwa mnazaliwa na binadamu kweli?
Hiyo ni mifano miwili tofauti. Tafuta mwl wa Historia akupe lecture kuhusu historia ya Rusia na Ukraini
 

Waukrain wa bongo walibisha sana pale mwanzo kuwa urussi anakaa mapeemaaa asubuhi,matokeo yake mrusi anawagaragaza pamoja na kibabu,macron chalii,sunaki chaliii,mjanja ni V.Orban na Fico pekee.
 
 
Na Russia imeharibiwa sana kuliko Ukraine ila kwakua ni taifa la kidikteita hawasemi ukweli
Ila Elensky anatutania kimsingi wanajeshi wa Ukraine hawafi
Ni vyema sisi tubakie na yetu ya kibongo,hayo makubwa makubwa tuwaachie wajanja kama akina mr.Moscovischt.
 
Hapo umeanza kueleweka.
dogo muwe mnatulia kidogo ujuwe sometimes, binadamu anaweza kutype akandika hajakikusudia alicha taka kuandika, sababu watu kama sisi tuna deal na Dubai Financial Market (DFM).

Akili zina focus kwenye minofu, afu ghafla unakutana na wafuasi wa yule alikosa hata nyumba ya kulala, akaishia kulala chini ya mti akitokea Damascus, mwenzenu kwa mchoko wa safari alimuona kwenye ndoto Shetani akasema Yesu

Pia inabidi tuwafahamishe hivi tukikosea kutype, sio kosa kwanini waliweka edit? Hamjiulizi mbona nyie kila siku mnaedit bibilia zenu.

Nasikia mmefikia mpaa ku edit Yesu anawambia kweli yeye ni Mungu wakati mwanzo alisema katumwa 😄 Afu mme edit eti Yesu ndio aliongea na Mussa, sio Mungu.

Aisay wakristo mmepiga hatua kali sana, mnataka kufika zaidi ya Jahanamu nasikia. Mpa mnabadili walicho ongea Mitume wa Mungu, Paulo asifiwe kwa jina la baba na mwana, na roho mtakatifu 3=1 😄
 
Waukrain wa bongo walibisha sana pale mwanzo kuwa urussi anakaa mapeemaaa asubuhi,matokeo yake mrusi anawagaragaza pamoja na kibabu,macron chalii,sunaki chaliii,mjanja ni V.Orban na Fico pekee.
Ndio manake Putin anaila Nato mdogo mdogo, huoni mpaa Biden kachoka katumia akili zote kuliko umri wake, sa akili zimemruka, mara awe kama wale robbat mara anajisemea hovyo Putin kiboko aisay
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…