Zelensky: Tumewapa hasara kubwa hurusi

Logistic!!! Wengine nendeni shule kwanza mnatusumbua umu
 
CHUKUA HII

Tembo akimvamia Sisimizi Nyumbani kwake halafu wakapigana, Sisimizi akafa na Tembo akakatika Miguu yote na Mikono(Akabaki Kilema),Hapo Sisimizi Kashinda Vita.

Sisimizi=Ukraine
Tembo=Russia.
 
Kwanini usiende kwa vyombo husika vya ulinzi na usalama kwenda kureport kuwa jirani yangu kaleta 'Jambazi'kwake ili wao wenye hayo mamlaka wachukue hatua? Wewe binafsi huna mamlaka ya kujichukulia sheria mkononi kwenda kuvunja geti la jirani yako eti unataka kumtoa 'jambazi' vinginevyo mbele ya jamii iliyostaarabika utaonekana ni mkorofi.
 
Mwenye hasara ni yule aliyekwenda kuanzisha ugomvi bila sababu ya msingi,amesababisha askari wake wengi kufa ovyo na bado hata lengo lake halijatimia.Kaitumbukiza Nchi yake kwenye sanctions na kusababisha Uchumi wake uzorote kwa kiasi kikubwa,itamchukua miaka kadhaa kuja kucatch up walau alipokuwa amefikia.Ukraine anajilinda kwa gharama yoyote na kwake uhuru wa Taifa lake ndiyo swala la msingi zaidi,Nchi yake ikibaki na uhuru wake huo ndiyo ushindi mkubwa kwao.Maswala ya miundo mbinu kuharibiwa mbona inaeleweka,Ukraine itajengwa tena kwa mapesa ya Russia.Ile Nchi haitajengwa kwa pesa za miamala ya tozo ujue.
 
We bwashee hujui kitu kuhusu ugomvi wa Ukraine ,hivi unajua Crimea ilipokonywa na urusi wakati huo hata Ukraine hakua na mpango wa kijiunga na NATO ,Russian wakanogewa wakataka kuichukua Ukraine yote ndipo Ukraine akaona usalama wake bora ajiunge NATO.Urusi si wazuri bwashee
 
Bwa shehe unazidi kujivua nguo mkuu.
Ilivyo kwa crimea ,urusi na ukraini ni kama hivi.

Tanganyika pemba na unguja iunde Tanzania . Itokee muunga umevunjika pema na unguja zinakuwa Nchi moja Zanzibar na Tanganyika inabaki kuitwa Tanzania . Alfu kuwe na watu Unguja wanatamaduni zote za kitanzania na wanataka kujiunga na Tanzania. Raisi wa Zanzibar awe anawaua wote wanaompinga na kuhisi ni maadui zake hapo ndio Tanzania inapompiga Zanzibar na kumuweka mtu wake Unguja(crimea )

Umeelewa?
 
Kumbe unafahamu yote bwashee ,ila una mapenz na Russia sana
 
Mkuu umenena,
haohao mabeberu wanasema Moscow imepata hasara, haohao tena wanasema Moscow lengo lao limewashinda.
Sasa hao hao Mabeberu wanatoa wapi uwezo wa kuaminika, kwa kusema Moscow inataka kuivamia Moldova?
Hivi mtu uliyepigwa na mtu mmoja, unapata nguvu wap za kupigana na mtu wa pili ikiwa wa kwanza tu kakushinda?
 
Msamehe bure, hawaelewagi hao.
 
5. Hakuna sehemu ya Russia iliyoshambuliwa. Moskva ilipata hitilafu yenyewe kama ingeshambuliwa wanajeshi wasingetoka hai.
3. Russia hawakuwa na mpango na Kyiv, mpango ulikuwa kudhoofisha viwanda vya silaha na kambi za kijeshi. Muda wote walikuwa wanaitaka Donbas
7. Russia hana mikwara, unlike Marekani tangu Urusi iwe federation hajawahi kushindwa physical combat. Ref: WWII, Syria

Yote kwa yote, kuivamia Ukraine haikuwa sawa lakini unafiki wa wanaoisapoti Ukraine ndo unafanya watu wasiionee huruma hii nchi.
Marekani alivamia Iraq kwa kisingizio kuwa wana WMD lakini hakukuwa na ushahidi wa uwepo wala mipango ya uwepo mpaka wanaondoka wakiwa wameua watu mamilioni, hawa ndo marafiki wa Ukraine.
 
Ni kwel Ukraine ni dhaif kiujasus lkn umeishusha sana,kabla ya mashambuliz Ukraine ilijua fika kwamba siku si nying mashambuliz yataanza na ndio maana wanasiasa waandamiz,watendaj waandamiz wa serikal na mashirika makubwa na wafanyabiashara wakubwa wote walijificha mahali salama na ndio maana mpaka leo ktk hayo makundi niliyoyataja hakuna aliyelipuliwa na mabom ya urusi wanaohanya ni raia wa kawaida tu.


Na ndio maana mdau hapo juu anajaribu kusema kuwa Z na timu yake walipaswa kutathmin hali na kufanya maamuz kwa maslah ya raia wa Ukraine ambao mida hii wanahanya wakiwa hawajui mustakabal wao kutokana na zahma inayoendelea.
 
Hoja yako iko wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…