Zelensky: Ukraine iko tayari kutoa ardhi yake Kwa urusi kumaliza vita

Zelensky: Ukraine iko tayari kutoa ardhi yake Kwa urusi kumaliza vita

DeepPond

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2017
Posts
41,728
Reaction score
103,997
Raisi WA Ukraine Vlodomir Zelensky amesema nchi yake iko tayari kutoa kipande Cha ardhi yake Kwa urusi ili kumaliza vita na uhasama baina Yao.

Chanzo: SPECTATOR INDEX
Screenshot_20250211-235720.png
 
Taarifa inasema "Swap" means exchanging.

Yani Ukraine ipo tayari wafanye mabadilishano ya ardhi ambayo imeichukua kutoka Urusi halafu Urusi nao wakabidhi ardhi ya Ukraine ambayo waliichukua.

Ni tofauti sana na kusema Ukraine ipo tayari kukabidhi ardhi yake kwa Urusi ili kumaliza vita.
 
Taarifa inasema "Swap" means exchanging.

Yani Ukraine ipo tayari wafanye mabadilishano ya ardhi ambayo imeichukua kutoka Urusi halafu Urusi nao wakabidhi ardhi ya Ukraine ambayo waliichukua.

Ni tofauti sana na kusema Ukraine ipo tayari kukabidhi ardhi yake kwa Urusi ili kumaliza vita.
Sikuwa najua...na Ukraine wana ardhi ya Urusi waliichukua... Kweli fita ni fita tu mura! 🙌
 
Jamaa hajui maana ya swap.
Taarifa inasema "Swap" means exchanging.

Yani Ukraine ipo tayari wafanye mabadilishano ya ardhi ambayo imeichukua kutoka Urusi halafu Urusi nao wakabidhi ardhi ya Ukraine ambayo waliichukua.

Ni tofauti sana na kusema Ukraine ipo tayari kukabidhi ardhi yake kwa Urusi ili kumaliza vita.
 
Washirika wake wamemtupa mkono/wamechoka kumsaidia. Trump hapendi kutumia rasilimali za nchi yake kwa jambo lisilo na faida kwao pia Trump anaogopa mziki wa urusi na washirika wake kama china, kiduku na brics kwa ujumla wake. Pia kwa sasa kipaumbele chake ni kuimiliki Gaza hivyo kamshauri zelensk abwage manyanga
 
Sema US wananufaika sana na hizi vita ... Wanauza silaha kabla na wakati wa vita halafu ikiisha bado wao ndio wanakuja kukujengea tena
Mibwege tu izo Pesa zao Wenyewe wao kazi kubwa Wanayofanya au Faida ni Kutakatisha Pesa kutoka Marekani!!! Silaha zao kutoka USA makampuni Yao kutoka USA yanalipwa kutoka Azina ya Marekani, inaesabiwa ni Msaada kwa Ukraine!!!!
 
Ktk mazungumzo na The guardian, zelensky kasema atayapa kandarasi makampuni ya kimarekani kuijenga upya Ukraine baada ya vita
Niliwahi kusema Vita hizi za wakubwa zina mamabo mengi nyuma ya pazia amabalo sisi kulijua na kulitambua kwa macho ya kawaida ni vigumu sana, kikbwa tungojee tuone mchezo unavyo kwenda.
 
Back
Top Bottom