Zelensky: Ukraine iko tayari kutoa ardhi yake Kwa urusi kumaliza vita

Zelensky: Ukraine iko tayari kutoa ardhi yake Kwa urusi kumaliza vita

Taarifa inasema "Swap" means exchanging.

Yani Ukraine ipo tayari wafanye mabadilishano ya ardhi ambayo imeichukua kutoka Urusi halafu Urusi nao wakabidhi ardhi ya Ukraine ambayo waliichukua.

Ni tofauti sana na kusema Ukraine ipo tayari kukabidhi ardhi yake kwa Urusi ili kumaliza vita.
Upo sahihi 100%.
 
Taarifa inasema "Swap" means exchanging.

Yani Ukraine ipo tayari wafanye mabadilishano ya ardhi ambayo imeichukua kutoka Urusi halafu Urusi nao wakabidhi ardhi ya Ukraine ambayo waliichukua.

Ni tofauti sana na kusema Ukraine ipo tayari kukabidhi ardhi yake kwa Urusi ili kumaliza vita.
Hii imekaa vyema sana maana watu wanakufa sana kwenye vita wengi wao bila hatia.
 
Taarifa inasema "Swap" means exchanging.

Yani Ukraine ipo tayari wafanye mabadilishano ya ardhi ambayo imeichukua kutoka Urusi halafu Urusi nao wakabidhi ardhi ya Ukraine ambayo waliichukua.

Ni tofauti sana na kusema Ukraine ipo tayari kukabidhi ardhi yake kwa Urusi ili kumaliza vita.
Hii ndio habari iliyokamilika. Wengine wanaishia kati bila kumalizia alichoandika Zele.
 
Raisi WA Ukraine Vlodomir Zelensky amesema nchi yake iko tayari kutoa kipande Cha ardhi yake Kwa urusi ili kumaliza vita na uhasama baina Yao.

Chanzo: SPECTATOR INDEXView attachment 3233836
Watu wengine huwa mnapata wapi habari za uongo namna hiyo? Au kiigereza ndiyo tatizo? Au mnapotosha kwa Maksudi? Taarifa hiyo ukweli ni kuwa Ukraine italitoa jimbo la Kursk lililochukuliwa na Ukraine kutoka Russia na Russia nayo itoke kwenye maeneo waliyoyateka ya Ukraine.
 
Mwamba huyu hapa.... 🎵🎶🎶🎵mwamba huyu hapaaa🎶🎵🎵.
Alishasema hilo eneo ni la urusi forever.,😂🤣😂🤣🤣🤣👊🏿🙌
 
Taarifa inasema "Swap" means exchanging.

Yani Ukraine ipo tayari wafanye mabadilishano ya ardhi ambayo imeichukua kutoka Urusi halafu Urusi nao wakabidhi ardhi ya Ukraine ambayo waliichukua.

Ni tofauti sana na kusema Ukraine ipo tayari kukabidhi ardhi yake kwa Urusi ili kumaliza vita.
Wakalimani wetu hawa
 
Wala haichoshi ,miaka miwili TU?
Mbona Afghanistan USA alikaa miaka 20.
Ni kwamba NATO wameshindwa vita.
Wamemshindwa Putin.
NATO haipo, imeshavunjwa na Trump.

Trump anamuunga mkono Putin kutwaa ardhi ya Ukraine, huku nae akijianda kutwaa ardhi za nchi zingine kama vile Gaza, Greenland, Australia nk.

Urusi na Marekani ya Trump wameungana kufanya ubabe na uonevu, na kuchukua ardhi za wengine kibabe.
 
Hamuwajui wazungu na hamuhangaiki kulazimisha kuwajua.kazi yetu ni kulumbana tu kila wanapoanzisha jambo.
 
Taarifa inasema "Swap" means exchanging.

Yani Ukraine ipo tayari wafanye mabadilishano ya ardhi ambayo imeichukua kutoka Urusi halafu Urusi nao wakabidhi ardhi ya Ukraine ambayo waliichukua.

Ni tofauti sana na kusema Ukraine ipo tayari kukabidhi ardhi yake kwa Urusi ili kumaliza vita.
Sahihi kabisa
 
Back
Top Bottom