Upo sahihi 100%.Taarifa inasema "Swap" means exchanging.
Yani Ukraine ipo tayari wafanye mabadilishano ya ardhi ambayo imeichukua kutoka Urusi halafu Urusi nao wakabidhi ardhi ya Ukraine ambayo waliichukua.
Ni tofauti sana na kusema Ukraine ipo tayari kukabidhi ardhi yake kwa Urusi ili kumaliza vita.
Hii imekaa vyema sana maana watu wanakufa sana kwenye vita wengi wao bila hatia.Taarifa inasema "Swap" means exchanging.
Yani Ukraine ipo tayari wafanye mabadilishano ya ardhi ambayo imeichukua kutoka Urusi halafu Urusi nao wakabidhi ardhi ya Ukraine ambayo waliichukua.
Ni tofauti sana na kusema Ukraine ipo tayari kukabidhi ardhi yake kwa Urusi ili kumaliza vita.
Hii ndio habari iliyokamilika. Wengine wanaishia kati bila kumalizia alichoandika Zele.Taarifa inasema "Swap" means exchanging.
Yani Ukraine ipo tayari wafanye mabadilishano ya ardhi ambayo imeichukua kutoka Urusi halafu Urusi nao wakabidhi ardhi ya Ukraine ambayo waliichukua.
Ni tofauti sana na kusema Ukraine ipo tayari kukabidhi ardhi yake kwa Urusi ili kumaliza vita.
Watu wengine huwa mnapata wapi habari za uongo namna hiyo? Au kiigereza ndiyo tatizo? Au mnapotosha kwa Maksudi? Taarifa hiyo ukweli ni kuwa Ukraine italitoa jimbo la Kursk lililochukuliwa na Ukraine kutoka Russia na Russia nayo itoke kwenye maeneo waliyoyateka ya Ukraine.Raisi WA Ukraine Vlodomir Zelensky amesema nchi yake iko tayari kutoa kipande Cha ardhi yake Kwa urusi ili kumaliza vita na uhasama baina Yao.
Chanzo: SPECTATOR INDEXView attachment 3233836
Wenzake wanataka pesa zao 200b lakini yeye anadai amepokea 75bMy take:
Vita inachosha Sana wakuu😢
Wala haichoshi ,miaka miwili TU?My take:
Vita inachosha Sana wakuu😢
Huo ndio ukweli wenyewe.🏋️🏋️🏋️unga umezidi maji
Atafanyaje sasaUnyonge huo asikubali hapo shoo shoo tu
swap - means kubadilishana sio vyenginevyo🏋️🏋️🏋️unga umezidi maji
Aongeze nguvu apambaneAtafanyaje sasa
Wakalimani wetu hawaTaarifa inasema "Swap" means exchanging.
Yani Ukraine ipo tayari wafanye mabadilishano ya ardhi ambayo imeichukua kutoka Urusi halafu Urusi nao wakabidhi ardhi ya Ukraine ambayo waliichukua.
Ni tofauti sana na kusema Ukraine ipo tayari kukabidhi ardhi yake kwa Urusi ili kumaliza vita.
NATO haipo, imeshavunjwa na Trump.Wala haichoshi ,miaka miwili TU?
Mbona Afghanistan USA alikaa miaka 20.
Ni kwamba NATO wameshindwa vita.
Wamemshindwa Putin.
Sahihi kabisaTaarifa inasema "Swap" means exchanging.
Yani Ukraine ipo tayari wafanye mabadilishano ya ardhi ambayo imeichukua kutoka Urusi halafu Urusi nao wakabidhi ardhi ya Ukraine ambayo waliichukua.
Ni tofauti sana na kusema Ukraine ipo tayari kukabidhi ardhi yake kwa Urusi ili kumaliza vita.