Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Alikua anataka kwenda mpaka Kiev ila kipigo ndio kimesababisha abadili gia angani.Ninachojua hilo ndilo lililokuwa lengo la Urusi tangu alipotangaza kuyatambua majimbo hayo mawili na kufanya opereshen ya demilitarization ilikuwa ni kumdhohofisha Ukraine ili asipate nguvu ya kwenda kuyapambania/kuyaokoa majimbo yaliyotambuliwa na Urusi.
Exactly! Kipigo kimemchanganya. Ile ndoto ya kuteka Kyiv ndani ya masaa 72 imeyeyukaUkraine kakata supply route ya russia and russia kaona analoose wanajeshi tu kuingia Kiev so kestuka kuwa ni waste of time bora akajichimie kona ili aonekane kashida dhamira yake ila kiev imemtoa jasho so kaona no need ndio hali ishakuwa tete baada ya putin now ni putout
[emoji1][emoji1] UKRAINE iko inashinda Vita aisee.Ukraine kakata supply route ya russia and russia kaona analoose wanajeshi tu kuingia Kiev so kestuka kuwa ni waste of time bora akajichimie kona ili aonekane kashida dhamira yake ila kiev imemtoa jasho so kaona no need ndio hali ishakuwa tete baada ya putin now ni putout
Ila Urusi anawachanganya Sana wazungu,Jana alisema anahamishia Operation yake Donbass jamaa wakadhani Ni kweli,alichokifanya akaenda kushambulia mji mwingine uitwao LvivMariupol ndo ulikua mji strategic kwa donbass akishaubeba huo anaweza akahamia odessa .............mashambulizi ya huko kwingine ilikua tu ku divert attention asipate kazi nzito sana kuyamega hayo majimbo.......anachofanya ni kama kwa crimea......lengo la mrusi ni kuizunguka ukraine na kuifanya isipate access yeyote na blacksea(iwe landlocked ) akishamega hivyo vipande maisha yataendelea kama kawaidaView attachment 2165482View attachment 2165483View attachment 2165484
Mbona alisema anataka Serikali ya Zelewinsky ijiuzulu na iwe neutral , leo kabadili gear?Sasa unatakiwa ulete ukweli ulionao sio kusema tu uongo la sivyo utaonekana una shida ya maarifa sahii.
hujaelewa, baridi Ulaya itakavyokua gesi ya mrusi ikiondoka...hii wap?
πππππKupata vichekesho hivi tunabonyeza ngapi?
Na alisema yeyote atakaesaidia Ukraine atakiona cha mtema kuni haya poland na NATO wanamsaidia Ukraine mbona Russia kaufyata