Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunashabikia kwa sababu hatujui mateso wapatayo wasio na hisiaSasa nyinyi mnaomlaumu zelensky kupambania nchi yake mlitaka zelensky afanye nini?
Kila siku huko wanaume zaidi ya 500 hupoteaMi nadhani hii vita haihusiki roho za watu kupotea.kama watu wanakufa,aisee binadamu kweli hatuna huruma.[emoji24][emoji24][emoji24]
Hivi anakosa gani mpaka ashikwe? aliwakosea nini warusi mpaka wawanyonge Raia badala yakumsakanya huyo Raisi mwenyewe?Mataifa ya nato zaidi wanapeleka silaha zao kimajaribio na kusafisha maghala yao.Silaha kadhaa zinasifiwa sana zikifika zinashindwa kufanya kazi.Bado hajatia akili tu huyu Zelensky.Siku yake ya kushikwa haiko mbali.
Hata wakiingia Front hana shida nao.Hapana aisee huyu Putin ni K kabisa sasa yeye hajui kufanya hivyo kuna sababisha mataifa yaendelee kuipa misaada zaidi ukraine ya kibinadamu na kijeshi
Sheria haziruhusuMataifa ya nato zaidi wanapeleka silaha zao kimajaribio na kusafisha maghala yao.Silaha kadhaa zinasifiwa sana zikifika zinashindwa kufanya kazi.Bado hajatia akili tu huyu Zelensky.Siku yake ya kushikwa haiko mbali.
Kwa hiyo ukiwa raisi wa Tanzania ukivamiwa tuseme na Marekani utawakabidhi nchi maana unaogopa raia watakufa?hanaakili kabisa☹️siraha huna unategemea misada halafu unajitia kiburi☹️hao marekani wanao kuponza wananchi wao wanakula bata wewe unawaponza wakwako kwaakili zakushikiwa?wakupe siraha zakutosha Basi sio mdomdo.kwani ukikubali yaishe kunanini☹️na unajijua kabisa uwezo huna
Hiyo ndio akili ya MwambaNinachokiona huyu jamaa ataadhoofishwa kijeshi na kiuchumi, ipo siku atatimuka kwa kudhoofika kisha Urusi wanasimika rais wao na vita kwisha
hivi kwanza unaakili timamu kabla sijajisumbua kujibu?Kwa hiyo ukiwa raisi wa Tanzania ukivamiwa tuseme na Marekani utawakabidhi nchi maana unaogopa raia watakufa?
Urusi inachofanya kwa Sasa ni ugaidi, wameshindwa huko Frontline wameamua kushambulia maeneo ya kiraia......Katika hotuba yake ya usiku wa jana raisi Zelensky wa Ukraine amesifu uzalendo wa wananchi wake ambao wameshiriki katika shughuli ya uokoaji wa wahanga wa shambulio hilo.
Ameshambulia maeneo ya raia, shule, mpaka hospitali.Urusi inachofanya kwa Sasa ni ugaidi, wameshindwa huko Frontline wameamua kushambulia maeneo ya kiraia......
Ni bora wange deal na wanajeshi lakini dah hadi raia wa kawaida wanaua tena bila hurumaUrusi inachofanya kwa Sasa ni ugaidi, wameshindwa huko Frontline wameamua kushambulia maeneo ya kiraia......
pita hivi👈maneno mengi sitakiAcha dharau. Jibu kama unaweza kw huwezi acha matusi. Hakuna popote nilipokutukana. Nimekuuliza swali rahisi tu ukiwa wewe ni raisi utaachia nchi kisa adui ana nguvu kukuzidi? Hakuna nilikokuvunjia heshima so acha dharau
Anajua ndio maana anaitwangaHapana aisee huyu Putin ni K kabisa sasa yeye hajui kufanya hivyo kuna sababisha mataifa yaendelee kuipa misaada zaidi ukraine ya kibinadamu na kijeshi
NATO wakamtoe RUSSIA huko maana hata LIBYA walimtoa alivyokua akiua RAIAUrusi inachofanya kwa Sasa ni ugaidi, wameshindwa huko Frontline wameamua kushambulia maeneo ya kiraia......
Someni makwenuMrusi ni mchoyo, kweli ana technology lakini hapendi kuogawa.
Ukienda kusoma kwao wakikuona kichwa mwisho wanakufyatua.
Angalia wengia walioenda kusoma urusi walivyo
Hawa majamaa hawafai na hata walitaka kutuchelewesha bahati nzuri tulishtuka mapema.
Acha dawa iwaingie raisi wao mwenyewe choko. Unafikiri kuna nchi hapoTunashabikia kwa sababu hatujui mateso wapatayo wasio na hisia