Zelensky anatumika na wazungu kuidhoofisha Urusi , mwisho wa Siku watu innocent wanakufa , ....Urusi na Ukraine wasinge pigana bila USA kuchochea ugomvi, Uarabuni imekuwa hivyo sababu ya marekani VITA MIAKA YOTE.....South na North korea wanataka kupigana sababu ya marekani, China na Taiwan sababu ya marekani
.........marekani is the devil himself , ninyi mwasema Urusi amevamia Ukraine kwa maslahi yake...lakini nawaambie Urusi alivamia Ukraine sababu ya Marekani, ameona jirani yake anamletea maadui zake karibu .na nchi yake....