Zelensky wa Ukraine alia tena, asifu ujasiri wa watu wake

Zelensky wa Ukraine alia tena, asifu ujasiri wa watu wake

Mataifa ya NATO zaidi wanapeleka silaha zao kimajaribio na kusafisha maghala yao. Silaha kadhaa zinasifiwa sana zikifika zinashindwa kufanya kazi. Bado hajatia akili tu huyu Zelensky. Siku yake ya kushikwa haiko mbali.
Atashikwa lini???Mbona toka mwaka juzi mnasema hivyo kaka
 
Zelensky anatumika na wazungu kuidhoofisha Urusi , mwisho wa Siku watu innocent wanakufa , ....Urusi na Ukraine wasinge pigana bila USA kuchochea ugomvi, Uarabuni imekuwa hivyo sababu ya marekani VITA MIAKA YOTE.....South na North korea wanataka kupigana sababu ya marekani, China na Taiwan sababu ya marekani
.........marekani is the devil himself , ninyi mwasema Urusi amevamia Ukraine kwa maslahi yake...lakini nawaambie Urusi alivamia Ukraine sababu ya Marekani, ameona jirani yake anamletea maadui zake karibu .na nchi yake....
Marekani hana tofauti na saudia au irani au yeye tu kafir ndio devil kaka??
 
Kama umeamini hyo video basi ww bado sn au mgeni wa propaganda za magharibi hzo video zinatengenezwa tu kuchafuana kama unakumbuka kabla iraq haijavamiwa usa walitoa hadi video kuonyesha iraq wanamiliki silaha za wmd lakini mpk leo mwaka wa ngapi tangu waivamie iraq ushatangaziwa kuna silaha iliyokutwa iraq?na wamekiri walidanganya na kama wamekiri walidanganya zile video walizitoa wapi ndio maana nnakwambia hayo mavideo propaganda huwa wanatengezwa tu.
Anhaa mimi sio mtaalamu sana wa mambo ya politics lakini hicho ndo nilichokiona na ilikuwa ni documentary

Kama ni ya kweli au ya kutengenezwa basi sifahamu
 
Kama umeamini hyo video basi ww bado sn au mgeni wa propaganda za magharibi hzo video zinatengenezwa tu kuchafuana kama unakumbuka kabla iraq haijavamiwa usa walitoa hadi video kuonyesha iraq wanamiliki silaha za wmd lakini mpk leo mwaka wa ngapi tangu waivamie iraq ushatangaziwa kuna silaha iliyokutwa iraq?na wamekiri walidanganya na kama wamekiri walidanganya zile video walizitoa wapi ndio maana nnakwambia hayo mavideo propaganda huwa wanatengezwa tu.
Vipi zile propaganda za waziri wa mambo ya nje wa Iraq kipindi cha Saddam um3zisahau kaka🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Bas vijana wangu msigombane🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣CCM oyeeee
Hauna akili hivi wewe unaona huyu shujaa aisalimishe nchi kwa maadui wavamizi ndio akili?

Mbona anapambana nao tangia mwanzo?

Wewe naona akili zako ni za kuazima na ndio maana hata shule ulifeli
angalia unavyoandika siraha

Sijui una elimu gani hapo kiingereza ndio kabisaa hata haujui neno 1
 
Kama umeamini hyo video basi ww bado sn au mgeni wa propaganda za magharibi hzo video zinatengenezwa tu kuchafuana kama unakumbuka kabla iraq haijavamiwa usa walitoa hadi video kuonyesha iraq wanamiliki silaha za wmd lakini mpk leo mwaka wa ngapi tangu waivamie iraq ushatangaziwa kuna silaha iliyokutwa iraq?na wamekiri walidanganya na kama wamekiri walidanganya zile video walizitoa wapi ndio maana nnakwambia hayo mavideo propaganda huwa wanatengezwa tu.
Huyu atakuwa anaamini Marekani walikwenda mwezini 1969 kwa ile video ya uongo.Usicheze na America kwa propaganda na kujitutumua kutaka kuonesha watu wao ndio watawala wa dunia.
 
Back
Top Bottom