Zelesnky ni Rais bora duniani kwa mwaka 2025 na hatokaa atokee

Zelesnky ni Rais bora duniani kwa mwaka 2025 na hatokaa atokee

Zelenskyy: Tutajiunga na NATO.
Trump: Hakuna kujiunga na NATO.

Sijui vita vya Ukreni vimemsaidia nini Zelenskyy?
 
Kama Africa wote tungejali mali za wananchi wetu tungekuwa mbali sana sana nasema

Kwa majibishano yalee trump amefeli pa KUBWA tu


BBC WANAKWAMBIA haijawahii na wanahisi haitokaaa kutokea Tena RAISI WA Marekani kujibiwa simple MBELE ya ikulu yakee..........

Na iwe n HESHIMA kwa Ma RAIS WA NCHI zingine msikubali kuuza utu WENU kwa mabeberu kijinga hivyo

Nasema hiviiii kamwe Trump atothubutu kuonyesha Tena maongezi YOYOTE na zelesnky kama atafanikiwa kuongea nae Tena

Hana hamu naamini HATA kanisan Leo hajaeenda anawaza Yale majibishano

Wakihisi huyu fala tukimpa karatasi anasaini Moja kwamoja hahahaaaaa

Fyuuuuuu trump

Aijalishi ana uwezo WA kukata sijui mitandao yao ya jeshi wanayotumia atabaki best president 2025

Trump alikuwa anaenda kuongea na ndondochaa

Uwezi mwita mtu dikteta alafu umwite ikulu ukachukue MALIZAKE kingese hivyo hiyo utaipata Bara la.... Tu

KUNA SEHEMU anamwambia huwezi play with strong cards

Simple sikuja kuplay cards
Hahahaaaaaaaaaa

YAAN kuna vitu trump kajibiwa mpaka sasa anajuta kumwita yule Bwana ikuluu

Hawa mabeberu
walishazoea malofa WA Bara letu walkitaka kitu wanatoa masharti ya KISHENZI wanabebaa vyaooo

Hakuna SEHEMU amenifurahisha kama alipoambiwa una gamble na third war

Akajibiwa trump kwahiyo umeniitaa ku gamble na madini ya WA Ukraine.....nimekuja hapa kwa AJILI ya wananchi WA Ukraine na Malizao na ulinzi wao kama hakuna SEHEMU ya kuwalinda wao na malizao kwenye mkataba

Naomba niondoke

EMBU viongozi WA Africka tujifunze kwa huyu Bwana HATA kidogo tu

YAAN n somo haliitaji HATA kuwa na diplomaaaa


YAAN mwanangu mtarajiwa nasubiria may nimpe jina la Zelesnky

Na namshukuru mama yake kukubali hili jamboo

Viva Ukraine
Viva zelesky

Alimwona zelesnky kama USAID ama UNAIDS anaamua MAAMUZI yake ya ajabu kirahisi tu kakutana na motoooooo
Kabisa mkuu huyo jamaa ni mtu na nusu wanamdharau bure tu ila IPO siku watampa heshima yake si unajua duniani tumejaa wanafiki wanasubiri mpaka siku ukate roho ndio wakupe sifa zako.
 
Kabisa mkuu huyo jamaa ni mtu na nusu wanamdharau bure tu ila IPO siku watampa heshima yake si unajua duniani tumejaa wanafiki wanasubiri mpaka siku ukate roho ndio wakupe sifa zako.
100 perc mkuu
BBC wachambuxi wameapa hatotokea RAISI kama yule kukiwasha white house bila kuangalia Yuko na nani
Kwa MASLAHI ya watu wake

Nkashangaa mapopompo wanamshabikia trump n ujuha

We unaweza itaa kagamae aende USA umwambie Saini hapa nataka madini yakoo atakufyonza anaamka anaondoka

Kwanza amemheshimu sana kujibishana KOTE woii

Ee Mungu nyanyua watu kama Hawa DUNIAN

Nimekumbuka sana magu mwemdazake alivyokuwa akiwapasha hahahaahaa
 
Sana mkuu tena huyo mtu ni jinga jinga halijui kitu. Can you imagine watu waliokufa kwa vita ya kijinga
Watu kama nyinyi mko radhi mbakwe familia nzima kisa jambazi lililoingia ndani ya nyumba yenu Lina nguvu na silaha.

Msimamo na kupambana mpaka mwisho ndio sifa ya mwanaume rijali haijalishi adui yako ana nguvu kiasi Gani
 
Watu kama nyinyi mko radhi mbakwe familia nzima kisa jambazi lililoingia ndani ya nyumba yenu Lina nguvu na silaha.

Msimamo na kupambana mpaka mwisho ndio sifa ya mwanaume rijali haijalishi adui yako ana nguvu kiasi Gani
Kabisaaaaaaa
Hawa paka wameondolewaaa USAID kidogooooo wanapigaa kelelee kila Kona

Mwamba hayo mambooo hayaajuii Wala hayategemeiiii.....
 
Tapeli akishirikiana na mwenzie WA Russia wakajipanga
Kufanya sherehe kukamata madini ya Ukraine hahahaaabila hatia


Kwa kifupii tu MKIWA na akili timamu
Hili Dili la madini n la Russia na wenzie

Dogo kanusa kama UNATAKA madini nihakikishie ulinzi

Dogo angejitosa kusaini NAKWAMBIA Russia wangeingia kama chooni palee

Rooho WA Bwana yu juu ya Zelesnky umempaka mafuta KICHWANI mwkae
Na kikombe chake kikafurikee

Ameen
Ameen
Ameenn
 
worst president ever na lijinga halijuu diplomacy. Alipaswa asiende kama alijua atabarazwa. Analeta uanaharakati wa kishoga hahaha na bado he will be disposed through impeachment jinga hilo. Limekubali watu wake wafe kisa kuwafurahisha marekani na USA
Weka hoja na sio vihoja matusi ya nini sasa
 
Trump ni Gemini na Zelensky ni Aquarius.

Ukishajua udhaifu wa Gemini, Gemini hawawezi kukusumbua. Udhaifu wa Gemini ulishawahi kuletwa humu JF na Likud, Likud alikiri kuwa yeye ni Gemini na kunena namna ambavyo udhaifu ule huwa unawatesa Gemini kisiri siri.

Udhaifu huo wa ki-Gemini pia nimeuona kwa Trump na Bantu Lady

Udhaifu wa Gemini ni kwamba Gemini huwa wanaendeshwa na ego(Gemini are being driven by ego most of the time).

Infact,themes around ego-death are strong in aquarian energy of Zelensky.

All the world is looking at Zelensky in his conflict with Trump,Rais Zelensky asimamie kile anachokiamini kuwa ni kweli and that is enough for him.
 
Trump sio kiongozi na Hana sifa za uongozi na Hilo lilidhihirika Toka alivyokuwa rais kwa mara ya kwanza, sijui kwa Nini wamarekani walimludisha Tena ikulu.

Ni mtu mjeuri,mbabe asietumia busara hata kidogo, mtu wa visasi sana yani kama mswahili. Hebu fikiria kwenye mkutano wanamuuliza zelensky "eti kwa Nini ulikuwa timu ya Kamala na ulimfanyia kampain Kamala?? Seriously?? Maswali ya kijinga kama hayo tumezoea kuyasikia kwa wanasiasa wetu wa huku uswekeni wakiwaadhibu watu ambao hawakuwaunga mkono pengine kwa kupishana mitazamo, ajabu juzi taifa kubwa kama marekani viongozi wake wanauliza maswali ya kitoto kabisa...! Hawa wazungu tunawakuza tu lkn pengene Iq zao ni kama zetu tu.
 
Sasa kama wenyewe walituonyesha Elon yupo Ikulu na Tshirt..nije na Suti isaidie nini?Kubeba madini?
Zelensky amefanya kama ilovyostahili.

Na ndipo wakaonekana wajinga hata kama wana hoja za maana.
Kuna respect flani hivi imepungua kwa Superpower...tusipiane moyo..sio jibwa tena linabweka kama zamani.

Oval office imekuwa kijiwe cha kahawa na misuto fullstop...wakajifunze kwa PUTIN huko namna ya kuheshimisha Nchi na Uongozi...
Kumbuka Zelensikky
Watu kama nyinyi mko radhi mbakwe familia nzima kisa jambazi lililoingia ndani ya nyumba yenu Lina nguvu na silaha.

Msimamo na kupambana mpaka mwisho ndio sifa ya mwanaume rijali haijalishi adui yako ana nguvu kiasi Gani
Marco Polo haujanielewa. Kilichopo ni kuwa Russia hataki vita, mi sijashabikia russia kuikalia ukraine. Ni sawa na Zanzibar ajiunge na waislamu halafu pawe makao makuu ya ugaidi, hahaha bara haitaruhusu na watapigwa tu wanajifanyw kuleta uislamu wa kigaidi
 
Vita ya kijinga russia ndo aliyoivamia ukraine kwa hiyo ulitaka waukraine waikimbie nchi yao baada ya kuvamiwa ili wakufurahishe wewe mshabiki wa putin
Ukraine kumbuka walikuwa na rais aliyekataa kabisa kuwa kibaraka wa usa na eu, ila alipinduliwa akaja huyu shoga na ndiyo vita unayoiona
 
Ukraine kumbuka walikuwa na rais aliyekataa kabisa kuwa kibaraka wa usa na eu, ila alipinduliwa akaja huyu shoga na ndiyo vita unayoiona
Acha uongo tokea 2014 ukraine kuna vita ndo crimea ilichukuliwa na russia na ukraine kukaliwa na waasi zelensky amekua rais 2019 unasemaje vita vilianza wakati wa zelensky kama sio uongo
 
Kama Africa wote tungejali mali za wananchi wetu tungekuwa mbali sana sana nasema

Kwa majibishano yalee trump amefeli pa KUBWA tu


BBC WANAKWAMBIA haijawahii na wanahisi haitokaaa kutokea Tena RAISI WA Marekani kujibiwa simple MBELE ya ikulu yakee..........

Na iwe n HESHIMA kwa Ma RAIS WA NCHI zingine msikubali kuuza utu WENU kwa mabeberu kijinga hivyo

Nasema hiviiii kamwe Trump atothubutu kuonyesha Tena maongezi YOYOTE na zelesnky kama atafanikiwa kuongea nae Tena

Hana hamu naamini HATA kanisan Leo hajaeenda anawaza Yale majibishano

Wakihisi huyu fala tukimpa karatasi anasaini Moja kwamoja hahahaaaaa

Fyuuuuuu trump

Aijalishi ana uwezo WA kukata sijui mitandao yao ya jeshi wanayotumia atabaki best president 2025

Trump alikuwa anaenda kuongea na ndondochaa

Uwezi mwita mtu dikteta alafu umwite ikulu ukachukue MALIZAKE kingese hivyo hiyo utaipata Bara la.... Tu

KUNA SEHEMU anamwambia huwezi play with strong cards

Simple sikuja kuplay cards
Hahahaaaaaaaaaa

YAAN kuna vitu trump kajibiwa mpaka sasa anajuta kumwita yule Bwana ikuluu

Hawa mabeberu
walishazoea malofa WA Bara letu walkitaka kitu wanatoa masharti ya KISHENZI wanabebaa vyaooo

Hakuna SEHEMU amenifurahisha kama alipoambiwa una gamble na third war

Akajibiwa trump kwahiyo umeniitaa ku gamble na madini ya WA Ukraine.....nimekuja hapa kwa AJILI ya wananchi WA Ukraine na Malizao na ulinzi wao kama hakuna SEHEMU ya kuwalinda wao na malizao kwenye mkataba

Naomba niondoke

EMBU viongozi WA Africka tujifunze kwa huyu Bwana HATA kidogo tu

YAAN n somo haliitaji HATA kuwa na diplomaaaa


YAAN mwanangu mtarajiwa nasubiria may nimpe jina la Zelesnky

Na namshukuru mama yake kukubali hili jamboo

Viva Ukraine
Viva zelesky

Alimwona zelesnky kama USAID ama UNAIDS anaamua MAAMUZI yake ya ajabu kirahisi tu kakutana na motoooooo
Mojawapo ya Vijana wenye misimamo thabiti ni Zele.

Amekataa kupelekeshwa na Lile zee Lenye sura kama mdoli 😂😂

Saizi Zele ndio shujaa wa Ulaya 😂😂👇👇

View: https://x.com/millardayo/status/1896120635442573389?t=6Q2x-U4Oxsfz6iXexntXXQ&s=19
 
Vita ya kijinga russia ndo aliyoivamia ukraine kwa hiyo ulitaka waukraine waikimbie nchi yao baada ya kuvamiwa ili wakufurahishe wewe mshabiki wa putin
Mkuu huyu amekurupuka. Anajibu kwa hisia rather than facts. Hakika ushoga unahusiana nini kwenye hili?

Haijui historia ya hii vita. Rais wa Ukraine anaitetea anaisemea anailinda nchi yake na watu wake kwa heshima nyingi mno. Yupo humble respectful na makini.

USA wanalikoroga wenyewe. Let them feel the pinch tukuwaambia tawala za Afrika ni mtihani watuelewe.
 
Kama Africa wote tungejali mali za wananchi wetu tungekuwa mbali sana sana nasema

Kwa majibishano yalee trump amefeli pa KUBWA tu


BBC WANAKWAMBIA haijawahii na wanahisi haitokaaa kutokea Tena RAISI WA Marekani kujibiwa simple MBELE ya ikulu yakee..........

Na iwe n HESHIMA kwa Ma RAIS WA NCHI zingine msikubali kuuza utu WENU kwa mabeberu kijinga hivyo

Nasema hiviiii kamwe Trump atothubutu kuonyesha Tena maongezi YOYOTE na zelesnky kama atafanikiwa kuongea nae Tena

Hana hamu naamini HATA kanisan Leo hajaeenda anawaza Yale majibishano

Wakihisi huyu fala tukimpa karatasi anasaini Moja kwamoja hahahaaaaa

Fyuuuuuu trump

Aijalishi ana uwezo WA kukata sijui mitandao yao ya jeshi wanayotumia atabaki best president 2025

Trump alikuwa anaenda kuongea na ndondochaa

Uwezi mwita mtu dikteta alafu umwite ikulu ukachukue MALIZAKE kingese hivyo hiyo utaipata Bara la.... Tu

KUNA SEHEMU anamwambia huwezi play with strong cards

Simple sikuja kuplay cards
Hahahaaaaaaaaaa

YAAN kuna vitu trump kajibiwa mpaka sasa anajuta kumwita yule Bwana ikuluu

Hawa mabeberu
walishazoea malofa WA Bara letu walkitaka kitu wanatoa masharti ya KISHENZI wanabebaa vyaooo

Hakuna SEHEMU amenifurahisha kama alipoambiwa una gamble na third war

Akajibiwa trump kwahiyo umeniitaa ku gamble na madini ya WA Ukraine.....nimekuja hapa kwa AJILI ya wananchi WA Ukraine na Malizao na ulinzi wao kama hakuna SEHEMU ya kuwalinda wao na malizao kwenye mkataba

Naomba niondoke

EMBU viongozi WA Africka tujifunze kwa huyu Bwana HATA kidogo tu

YAAN n somo haliitaji HATA kuwa na diplomaaaa


YAAN mwanangu mtarajiwa nasubiria may nimpe jina la Zelesnky

Na namshukuru mama yake kukubali hili jamboo

Viva Ukraine
Viva zelesky

Alimwona zelesnky kama USAID ama UNAIDS anaamua MAAMUZI yake ya ajabu kirahisi tu kakutana na motoooooo
Zelensky ameonyesha Uzalendo wa kuifia nchi kwa ulimwengu huu wa Sasa.
 
No Trump na team yake wapo poa. Sema wewe na wenzako mmekaririshwa uongo uongo. Yaani ni mjinga pekee atakayeshabikia ukrain kuendeleza vita kwa maslahi ya usa na eu. Ukraine has benefited nothing kabisa kwenye hii vita. Na kauli yake ilipaswa kusema no NATO wala psingekuwa na vita
Unadhani ni kwa nini Ukrein walitaka kujiunga NATO?

Jimbo la Crimea limetekwa na nani?
 
Back
Top Bottom