Kama Africa wote tungejali mali za wananchi wetu tungekuwa mbali sana sana nasema
Kwa majibishano yalee trump amefeli pa KUBWA tu
BBC WANAKWAMBIA haijawahii na wanahisi haitokaaa kutokea Tena RAISI WA Marekani kujibiwa simple MBELE ya ikulu yakee..........
Na iwe n HESHIMA kwa Ma RAIS WA NCHI zingine msikubali kuuza utu WENU kwa mabeberu kijinga hivyo
Nasema hiviiii kamwe Trump atothubutu kuonyesha Tena maongezi YOYOTE na zelesnky kama atafanikiwa kuongea nae Tena
Hana hamu naamini HATA kanisan Leo hajaeenda anawaza Yale majibishano
Wakihisi huyu fala tukimpa karatasi anasaini Moja kwamoja hahahaaaaa
Fyuuuuuu trump
Aijalishi ana uwezo WA kukata sijui mitandao yao ya jeshi wanayotumia atabaki best president 2025
Trump alikuwa anaenda kuongea na ndondochaa
Uwezi mwita mtu dikteta alafu umwite ikulu ukachukue MALIZAKE kingese hivyo hiyo utaipata Bara la.... Tu
KUNA SEHEMU anamwambia huwezi play with strong cards
Simple sikuja kuplay cards
Hahahaaaaaaaaaa
YAAN kuna vitu trump kajibiwa mpaka sasa anajuta kumwita yule Bwana ikuluu
Hawa mabeberu
walishazoea malofa WA Bara letu walkitaka kitu wanatoa masharti ya KISHENZI wanabebaa vyaooo
Hakuna SEHEMU amenifurahisha kama alipoambiwa una gamble na third war
Akajibiwa trump kwahiyo umeniitaa ku gamble na madini ya WA Ukraine.....nimekuja hapa kwa AJILI ya wananchi WA Ukraine na Malizao na ulinzi wao kama hakuna SEHEMU ya kuwalinda wao na malizao kwenye mkataba
Naomba niondoke
EMBU viongozi WA Africka tujifunze kwa huyu Bwana HATA kidogo tu
YAAN n somo haliitaji HATA kuwa na diplomaaaa
YAAN mwanangu mtarajiwa nasubiria may nimpe jina la Zelesnky
Na namshukuru mama yake kukubali hili jamboo
Viva Ukraine
Viva zelesky
Alimwona zelesnky kama USAID ama UNAIDS anaamua MAAMUZI yake ya ajabu kirahisi tu kakutana na motoooooo