Zelesnky ni Rais bora duniani kwa mwaka 2025 na hatokaa atokee

Zelesnky ni Rais bora duniani kwa mwaka 2025 na hatokaa atokee

No Trump na team yake wapo poa. Sema wewe na wenzako mmekaririshwa uongo uongo. Yaani ni mjinga pekee atakayeshabikia ukrain kuendeleza vita kwa maslahi ya usa na eu. Ukraine has benefited nothing kabisa kwenye hii vita. Na kauli yake ilipaswa kusema no NATO wala psingekuwa na vita
Mkuu alipaswa kuvaa suit huo ujinga wake ni wa huko huko nchini kwake. In fact jifunze, usipende kujionesha/kujisemea matatizo yako kwa watu hakuna wa kukuonea huruma!
Nina mashaka sana kama unaelewa kilicho tokea kwenye mkutano wa Trump na Zelensky na pia kama umeuelewa uzi hu tunao changia
 
Marekani vile vichwa vinavyotegemewa vipo Silicon Valey na area 51, hiyo serikali muhuni yeyote kama Trump anaachiwa tu aendeshe.

Hao jamaa ni genious kweli, lakini wa wapumbavu kama Trump na makamu wake humohumo.

Hata huyo Elon Musk ni walewale tu wajingawajinga fulani tu.
Unajiona unaakili mtu Tajiri no 1 na Trump unawaita wajinga?
 
Back
Top Bottom