Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
Hovyo kabisa...HATA vicoba Wana HESHIMA yule n mwehu trump
Kabisa mkuu huyo jamaa ni mtu na nusu wanamdharau bure tu ila IPO siku watampa heshima yake si unajua duniani tumejaa wanafiki wanasubiri mpaka siku ukate roho ndio wakupe sifa zako.Kama Africa wote tungejali mali za wananchi wetu tungekuwa mbali sana sana nasema
Kwa majibishano yalee trump amefeli pa KUBWA tu
BBC WANAKWAMBIA haijawahii na wanahisi haitokaaa kutokea Tena RAISI WA Marekani kujibiwa simple MBELE ya ikulu yakee..........
Na iwe n HESHIMA kwa Ma RAIS WA NCHI zingine msikubali kuuza utu WENU kwa mabeberu kijinga hivyo
Nasema hiviiii kamwe Trump atothubutu kuonyesha Tena maongezi YOYOTE na zelesnky kama atafanikiwa kuongea nae Tena
Hana hamu naamini HATA kanisan Leo hajaeenda anawaza Yale majibishano
Wakihisi huyu fala tukimpa karatasi anasaini Moja kwamoja hahahaaaaa
Fyuuuuuu trump
Aijalishi ana uwezo WA kukata sijui mitandao yao ya jeshi wanayotumia atabaki best president 2025
Trump alikuwa anaenda kuongea na ndondochaa
Uwezi mwita mtu dikteta alafu umwite ikulu ukachukue MALIZAKE kingese hivyo hiyo utaipata Bara la.... Tu
KUNA SEHEMU anamwambia huwezi play with strong cards
Simple sikuja kuplay cards
Hahahaaaaaaaaaa
YAAN kuna vitu trump kajibiwa mpaka sasa anajuta kumwita yule Bwana ikuluu
Hawa mabeberu
walishazoea malofa WA Bara letu walkitaka kitu wanatoa masharti ya KISHENZI wanabebaa vyaooo
Hakuna SEHEMU amenifurahisha kama alipoambiwa una gamble na third war
Akajibiwa trump kwahiyo umeniitaa ku gamble na madini ya WA Ukraine.....nimekuja hapa kwa AJILI ya wananchi WA Ukraine na Malizao na ulinzi wao kama hakuna SEHEMU ya kuwalinda wao na malizao kwenye mkataba
Naomba niondoke
EMBU viongozi WA Africka tujifunze kwa huyu Bwana HATA kidogo tu
YAAN n somo haliitaji HATA kuwa na diplomaaaa
YAAN mwanangu mtarajiwa nasubiria may nimpe jina la Zelesnky
Na namshukuru mama yake kukubali hili jamboo
Viva Ukraine
Viva zelesky
Alimwona zelesnky kama USAID ama UNAIDS anaamua MAAMUZI yake ya ajabu kirahisi tu kakutana na motoooooo
100 perc mkuuKabisa mkuu huyo jamaa ni mtu na nusu wanamdharau bure tu ila IPO siku watampa heshima yake si unajua duniani tumejaa wanafiki wanasubiri mpaka siku ukate roho ndio wakupe sifa zako.
Watu kama nyinyi mko radhi mbakwe familia nzima kisa jambazi lililoingia ndani ya nyumba yenu Lina nguvu na silaha.Sana mkuu tena huyo mtu ni jinga jinga halijui kitu. Can you imagine watu waliokufa kwa vita ya kijinga
KabisaaaaaaaWatu kama nyinyi mko radhi mbakwe familia nzima kisa jambazi lililoingia ndani ya nyumba yenu Lina nguvu na silaha.
Msimamo na kupambana mpaka mwisho ndio sifa ya mwanaume rijali haijalishi adui yako ana nguvu kiasi Gani
Weka hoja na sio vihoja matusi ya nini sasaworst president ever na lijinga halijuu diplomacy. Alipaswa asiende kama alijua atabarazwa. Analeta uanaharakati wa kishoga hahaha na bado he will be disposed through impeachment jinga hilo. Limekubali watu wake wafe kisa kuwafurahisha marekani na USA
Kumbuka ZelensikkySasa kama wenyewe walituonyesha Elon yupo Ikulu na Tshirt..nije na Suti isaidie nini?Kubeba madini?
Zelensky amefanya kama ilovyostahili.
Na ndipo wakaonekana wajinga hata kama wana hoja za maana.
Kuna respect flani hivi imepungua kwa Superpower...tusipiane moyo..sio jibwa tena linabweka kama zamani.
Oval office imekuwa kijiwe cha kahawa na misuto fullstop...wakajifunze kwa PUTIN huko namna ya kuheshimisha Nchi na Uongozi...
Marco Polo haujanielewa. Kilichopo ni kuwa Russia hataki vita, mi sijashabikia russia kuikalia ukraine. Ni sawa na Zanzibar ajiunge na waislamu halafu pawe makao makuu ya ugaidi, hahaha bara haitaruhusu na watapigwa tu wanajifanyw kuleta uislamu wa kigaidiWatu kama nyinyi mko radhi mbakwe familia nzima kisa jambazi lililoingia ndani ya nyumba yenu Lina nguvu na silaha.
Msimamo na kupambana mpaka mwisho ndio sifa ya mwanaume rijali haijalishi adui yako ana nguvu kiasi Gani
Ukraine kumbuka walikuwa na rais aliyekataa kabisa kuwa kibaraka wa usa na eu, ila alipinduliwa akaja huyu shoga na ndiyo vita unayoionaVita ya kijinga russia ndo aliyoivamia ukraine kwa hiyo ulitaka waukraine waikimbie nchi yao baada ya kuvamiwa ili wakufurahishe wewe mshabiki wa putin
Acha uongo tokea 2014 ukraine kuna vita ndo crimea ilichukuliwa na russia na ukraine kukaliwa na waasi zelensky amekua rais 2019 unasemaje vita vilianza wakati wa zelensky kama sio uongoUkraine kumbuka walikuwa na rais aliyekataa kabisa kuwa kibaraka wa usa na eu, ila alipinduliwa akaja huyu shoga na ndiyo vita unayoiona
Mojawapo ya Vijana wenye misimamo thabiti ni Zele.Kama Africa wote tungejali mali za wananchi wetu tungekuwa mbali sana sana nasema
Kwa majibishano yalee trump amefeli pa KUBWA tu
BBC WANAKWAMBIA haijawahii na wanahisi haitokaaa kutokea Tena RAISI WA Marekani kujibiwa simple MBELE ya ikulu yakee..........
Na iwe n HESHIMA kwa Ma RAIS WA NCHI zingine msikubali kuuza utu WENU kwa mabeberu kijinga hivyo
Nasema hiviiii kamwe Trump atothubutu kuonyesha Tena maongezi YOYOTE na zelesnky kama atafanikiwa kuongea nae Tena
Hana hamu naamini HATA kanisan Leo hajaeenda anawaza Yale majibishano
Wakihisi huyu fala tukimpa karatasi anasaini Moja kwamoja hahahaaaaa
Fyuuuuuu trump
Aijalishi ana uwezo WA kukata sijui mitandao yao ya jeshi wanayotumia atabaki best president 2025
Trump alikuwa anaenda kuongea na ndondochaa
Uwezi mwita mtu dikteta alafu umwite ikulu ukachukue MALIZAKE kingese hivyo hiyo utaipata Bara la.... Tu
KUNA SEHEMU anamwambia huwezi play with strong cards
Simple sikuja kuplay cards
Hahahaaaaaaaaaa
YAAN kuna vitu trump kajibiwa mpaka sasa anajuta kumwita yule Bwana ikuluu
Hawa mabeberu
walishazoea malofa WA Bara letu walkitaka kitu wanatoa masharti ya KISHENZI wanabebaa vyaooo
Hakuna SEHEMU amenifurahisha kama alipoambiwa una gamble na third war
Akajibiwa trump kwahiyo umeniitaa ku gamble na madini ya WA Ukraine.....nimekuja hapa kwa AJILI ya wananchi WA Ukraine na Malizao na ulinzi wao kama hakuna SEHEMU ya kuwalinda wao na malizao kwenye mkataba
Naomba niondoke
EMBU viongozi WA Africka tujifunze kwa huyu Bwana HATA kidogo tu
YAAN n somo haliitaji HATA kuwa na diplomaaaa
YAAN mwanangu mtarajiwa nasubiria may nimpe jina la Zelesnky
Na namshukuru mama yake kukubali hili jamboo
Viva Ukraine
Viva zelesky
Alimwona zelesnky kama USAID ama UNAIDS anaamua MAAMUZI yake ya ajabu kirahisi tu kakutana na motoooooo
Shoga gani Sasa hapo wewe fala.Ukraine kumbuka walikuwa na rais aliyekataa kabisa kuwa kibaraka wa usa na eu, ila alipinduliwa akaja huyu shoga na ndiyo vita unayoiona
Zelenskyy ni punga, hana akili. Yaani unakubali watu wako wafe kisa USA na EU, itβs only an idiot anaweza fanya huo ujingaShoga gani Sasa hapo wewe fala.
Zele anaegemea siasa za Ulaya ,huyo mjini unaemtaja alikuwa anaegemea Russia so hapo unaongea nini hasa?
View: https://x.com/Labella_Mafia95/status/1895912848586686748?t=oexxPgBpow2L07i0FCNsAA&s=19
Mkuu huyu amekurupuka. Anajibu kwa hisia rather than facts. Hakika ushoga unahusiana nini kwenye hili?Vita ya kijinga russia ndo aliyoivamia ukraine kwa hiyo ulitaka waukraine waikimbie nchi yao baada ya kuvamiwa ili wakufurahishe wewe mshabiki wa putin
Zelensky ameonyesha Uzalendo wa kuifia nchi kwa ulimwengu huu wa Sasa.Kama Africa wote tungejali mali za wananchi wetu tungekuwa mbali sana sana nasema
Kwa majibishano yalee trump amefeli pa KUBWA tu
BBC WANAKWAMBIA haijawahii na wanahisi haitokaaa kutokea Tena RAISI WA Marekani kujibiwa simple MBELE ya ikulu yakee..........
Na iwe n HESHIMA kwa Ma RAIS WA NCHI zingine msikubali kuuza utu WENU kwa mabeberu kijinga hivyo
Nasema hiviiii kamwe Trump atothubutu kuonyesha Tena maongezi YOYOTE na zelesnky kama atafanikiwa kuongea nae Tena
Hana hamu naamini HATA kanisan Leo hajaeenda anawaza Yale majibishano
Wakihisi huyu fala tukimpa karatasi anasaini Moja kwamoja hahahaaaaa
Fyuuuuuu trump
Aijalishi ana uwezo WA kukata sijui mitandao yao ya jeshi wanayotumia atabaki best president 2025
Trump alikuwa anaenda kuongea na ndondochaa
Uwezi mwita mtu dikteta alafu umwite ikulu ukachukue MALIZAKE kingese hivyo hiyo utaipata Bara la.... Tu
KUNA SEHEMU anamwambia huwezi play with strong cards
Simple sikuja kuplay cards
Hahahaaaaaaaaaa
YAAN kuna vitu trump kajibiwa mpaka sasa anajuta kumwita yule Bwana ikuluu
Hawa mabeberu
walishazoea malofa WA Bara letu walkitaka kitu wanatoa masharti ya KISHENZI wanabebaa vyaooo
Hakuna SEHEMU amenifurahisha kama alipoambiwa una gamble na third war
Akajibiwa trump kwahiyo umeniitaa ku gamble na madini ya WA Ukraine.....nimekuja hapa kwa AJILI ya wananchi WA Ukraine na Malizao na ulinzi wao kama hakuna SEHEMU ya kuwalinda wao na malizao kwenye mkataba
Naomba niondoke
EMBU viongozi WA Africka tujifunze kwa huyu Bwana HATA kidogo tu
YAAN n somo haliitaji HATA kuwa na diplomaaaa
YAAN mwanangu mtarajiwa nasubiria may nimpe jina la Zelesnky
Na namshukuru mama yake kukubali hili jamboo
Viva Ukraine
Viva zelesky
Alimwona zelesnky kama USAID ama UNAIDS anaamua MAAMUZI yake ya ajabu kirahisi tu kakutana na motoooooo
Unadhani ni kwa nini Ukrein walitaka kujiunga NATO?No Trump na team yake wapo poa. Sema wewe na wenzako mmekaririshwa uongo uongo. Yaani ni mjinga pekee atakayeshabikia ukrain kuendeleza vita kwa maslahi ya usa na eu. Ukraine has benefited nothing kabisa kwenye hii vita. Na kauli yake ilipaswa kusema no NATO wala psingekuwa na vita