Zelesnky ni Rais bora duniani kwa mwaka 2025 na hatokaa atokee

Mkuu alipaswa kuvaa suit huo ujinga wake ni wa huko huko nchini kwake. In fact jifunze, usipende kujionesha/kujisemea matatizo yako kwa watu hakuna wa kukuonea huruma!
Nina mashaka sana kama unaelewa kilicho tokea kwenye mkutano wa Trump na Zelensky na pia kama umeuelewa uzi hu tunao changia
 
Unajiona unaakili mtu Tajiri no 1 na Trump unawaita wajinga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…