Marekani vile vichwa vinavyotegemewa vipo Silicon Valey na area 51, hiyo serikali muhuni yeyote kama Trump anaachiwa tu aendeshe.
Hao jamaa ni genious kweli, lakini wa wapumbavu kama Trump na makamu wake humohumo.
Hata huyo Elon Musk ni walewale tu wajingawajinga fulani tu.