Chambusiso
JF-Expert Member
- Jul 11, 2007
- 2,592
- 4,640
Ungeanza kwa kutuwekea elimu ya Kikeke kwanza ndo uandike haya uloandika, jifunze kufanya tafiti mkuu.Nadhani kuna shida mahali kwenye tasnia hii. Zembwela ni wale comedian katika habari. Ivona Kamuntu na Salim Kikeke ni magwiji katika tasnia. Ikawaje Zembwela ambaye elimu yake katika habari haijulikani, akawa Mwenyekiti wao?
Hii tasnia haina seniority?
Maswali yaliyokuwa yanaulizwa pia yalianiacha na maswali badala ya majibu. Ni mkutano ambao haukuwa na mpangilio. Hakuna presentation ya utekelezaji iliyofanywa kabla ya maswali.
Bado kuna kazi ya kufanya katika kuwapika waandishi wetu.
Anyway, nadhani waandishi hao waliusoma mchezo japo kwa kuchelewa, wakaona hata kuuliza maswali ni upuuzi, wakaacha.
Sasa zembwela ana uwezo gani au hio Sauti kama kabanwa kohozi ndo inakuzinguaMkuu dunia ya sasa tunatakiwa tubadilike. Ata ukitaka kuajiri kwenye ofisi yako angalia mtu mwenye uwezo na sio mavyeti. Kuna karama kila binadamu kapewa.
Usikariri.
Kumbe huwa una post ... Nilidhani unaishia kwenye likesZembwela kawa mwenyekiti wa Jenerali Ulimwengu kweli dunia ina enda kasi
Haya nimatokeo ya waandishi kuingia na maelekezo leo tulitarajia kwa serious media personal tumuone bwana Balile ambae alikua mwenyekiti wa ile kamati ya kuvamiwa clouds mengine ni siasa tuNadhani kuna shida mahali kwenye tasnia hii. Zembwela ni wale comedian katika habari. Ivona Kamuntu na Salim Kikeke ni magwiji katika tasnia. Ikawaje Zembwela ambaye elimu yake katika habari haijulikani, akawa Mwenyekiti wao?
Hii tasnia haina seniority?
Maswali yaliyokuwa yanaulizwa pia yalianiacha na maswali badala ya majibu. Ni mkutano ambao haukuwa na mpangilio. Hakuna presentation ya utekelezaji iliyofanywa kabla ya maswali.
Bado kuna kazi ya kufanya katika kuwapika waandishi wetu.
Anyway, nadhani waandishi hao waliusoma mchezo japo kwa kuchelewa, wakaona hata kuuliza maswali ni upuuzi, wakaacha.
😀😀😀 kuna wabongo mna maneno machafu sana! Please...Acha hizo...Sasa zembwela ana uwezo gani au hio Sauti kama kabanwa kohozi ndo inakuzingua
Jokate alikuwa analiwa na magufuli na makonda ndio alikuwa anampeleka ikulu kuliwa.Jokate na chama wapi na wapi,sio swala la elimu pekee.
Mada imekukonga hadi rohoni, siku nyie mkiweka mkutano wenu Bc mlete watu kutoka UbelgijiKwi Kwi Kwi
Ww wakike au wakiume?Jokate alikuwa analiwa na magufuli na makonda ndio alikuwa anampeleka ikulu kuliwa.
Magufuli akamuonga u dc
Jojo hamna kitu kabisa
Hata wandishi wa habari walio kwenda kusikiliza mwendawazimu makonda nao ni wendawazimu. Hivi kweli jambazi ambaye hajakamatwa anaweza kuitisha press ili ahojiwe kama ni jambazi au sio jambazi na watu wenye akiri wakakubali kwenda kumuhoji?Sasa bashite na zembwela SI ndio wanaofanana. Tatizo ni Kwa hao professional kukubali Hilo litokee mbele yao
Leo form four failure mmeshikamana sana. Mtushambulie mpaka tukome.Sipo kumdharau Kikeke au Ivona, ubaya wa Zembwela kuwq pale ni nini?
Kila mtu akihoji kuna watakaotaka Charles angekuwa mwenyekiti maana nae anaweza kufanya kile anachokiweza kukifanya.
Wengine wangetaka Siza ndio awe lakini wote hao hamuhoji kuhusu taaluma zao.
Masoud Kipanya ni mwanahabari lakini pia ni mchoraji wa vibonzo, kuna kosa kuwa mwanahabari na kuwa mchekeshaji?
Fitna na Roho mbaya ndio tatizo kubwa la watanzania wa sasa.
Mnajinadi mna elimu lakini hakuna mlichoweza kukibadili katika nchi hii kwa miaka zaidi ya sitini ya tangu uhuru.
Ha ha ha.... Wanawake. Hamwezi tunZiana siri.Jokate alikuwa analiwa na magufuli na makonda ndio alikuwa anampeleka ikulu kuliwa.
Magufuli akamuonga u dc
Jojo hamna kitu kabisa
Sijibugi maswali ya kijinga , inahusu nini huku kwenye anonymous world.Ww wakike au wakiume?
Huyo zembwela..Mkuu dunia ya sasa tunatakiwa tubadilike. Ata ukitaka kuajiri kwenye ofisi yako angalia mtu mwenye uwezo na sio mavyeti. Kuna karama kila binadamu kapewa.
Usikariri.
PROFESSIONALISM ni muhimu Sana kila taaluma ina ETHICAL ISSUES.Mkuu dunia ya sasa tunatakiwa tubadilike. Ata ukitaka kuajiri kwenye ofisi yako angalia mtu mwenye uwezo na sio mavyeti. Kuna karama kila binadamu kapewa.
Usikariri.
He managed well and was brilliantNadhani kuna shida mahali kwenye tasnia hii. Zembwela ni wale comedian katika habari. Ivona Kamuntu na Salim Kikeke ni magwiji katika tasnia. Ikawaje Zembwela ambaye elimu yake katika habari haijulikani, akawa Mwenyekiti wao?
Hii tasnia haina seniority?
Maswali yaliyokuwa yanaulizwa pia yalianiacha na maswali badala ya majibu. Ni mkutano ambao haukuwa na mpangilio. Hakuna presentation ya utekelezaji iliyofanywa kabla ya maswali.
Bado kuna kazi ya kufanya katika kuwapika waandishi wetu.
Anyway, nadhani waandishi hao waliusoma mchezo japo kwa kuchelewa, wakaona hata kuuliza maswali ni upuuzi, wakaacha.