Zembwela/ Manara Wana maisha mazuri kuliko Profesa wa Tanzania

Na professor kabudi na mruma mbona hawa walikua machawa pro max wa magufuli
 
Wanaiba hela za research wanaenda kujenga nyumba za kupanga
 
Kabudi alisema kule vyuoni ni jalalani
 
Uje SUA tuyafanyie uchunguzi mavi yako kama yanafaa kuwa mbolea.Mimi profesa EvilSpirit ndio nitafanya huo uchunguzi
 
Iundwe kamati kuchunguza chanzo cha mapato ya Mwijaku

Hamjui vipato vya hawa wasanii mkuu ,jamaa wanapiga pesa sana hasa kwenye matangazo ,ubalozi ,youtube ,cameo(appearance) ,hao kina mwijaku matangazo wanalamba sana hizo 50m hadi 100m kwa kipindi fulani...sasa kama dotto magari analamba hadi tatu kukurusha tu kwenye instagram yake ,je hao ni mwijaku wanavuta ngapi? Zamani mapapaa walikuwa wanawalipa wasananii wawataje kwenye nyimbi ila kwasasa matajiri wanawalipa machawa kuwataja kwenye page za insta/facebook ....Wewe fikiria Mwijaku kaalikwa na Melly barabuu na pia Ali Sayeed matajiri wa morogoro hao unafikiri kakunja ngapi?
 
Pamoja na kuwa na Elimu za Kuunga-unga Zembwela na Manara Wana maisha decent kuliko Maprofesa hapo SUA na kwingineko nchini
Usidanganywe na maisha ya, mtandaoni,kama maisha mazuri kwako, ni, ka mshahara ka milioni mbili,ka nyumba, na kagsri, hapo sawa,
"Maisha, mazuri" Ni, relative Kati ya mtu na mtu, Mond na Bakheresa, au, mtoto wa samia, nani,ana maisha mazuri?
Kijana wa, chuo kikuu anayepokea boom, na kijana wa boda boda, nani ana maisha mazuri!
 
Alafu hawa maprofessor na phd za hapa tanzania wanaozipata kwa shida hakuna cha maana wanachofanya zaidi ya kuwa machawa

Ila mnao watuhumu elimu yao rais wanavumbua vitu kila siku
Elimu ni beyond kufaulu ndo maana kwa wazungu wewe kufaulu au kukupa phd sio ishu sababu wanajua kuna mambo unatakiwa ufanye ndo yatakupa heshima na vyeti ndo maana ni ngumu kuona mzungu jiba lake anaanza na phd huo ushamba hawana
 
Profesa analamba ngapi kila akiingia lecture?
 
Profesa analamba not more than 3m per month ambazo Dotto magari anakunja kwa siku moja tu akimpa promo Chino-wana-mani.
Watu mnadanganyana humu,huyo sijui Doto magari angekua na hizo pesa asingeshindwa kumpa mwanae just elfu 50 pekee ya matumizi kwa mwezi mpaka kaenda kudhalilishwa.
 
Sijajua kipimo chako cha maisha mazuri ni kipi ila nilipenda nikukaribishe Moro ucheki wa mzumbe maisha yao
Au udom pita wangalie udsm mbali sana

Inawezekana ukiamuangalia prof wenu wa kansani mpiga kinanda unahis wote wanaishi vile

Huyu zembwela na manara mitandao tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…