Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo hivyo mkuu[emoji23]Hahahahaha kwa mbali kama kweli hivi
Ila kadri unavyotazama Kwa ukaribu unagundua ni ukweli mtupu
Shallow thinking, kwa hiyo as long as unamaisha mazuri, basi inatosha! Hivyo hata "anayefanywa nyuma", anayejiuza (ashukumu si matusi) akalipwa mamilioni ana maisha mazuri is Ok, mtu aangalie maisha mazuri tu!!Pamoja na kuwa na Elimu za Kuunga-unga Zembwela na Manara Wana maisha decent kuliko Maprofesa hapo SUA na kwingineko nchini
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sup SUA kawaida usichukie professa.
Huu ndo uongo mkubwa nimewahi kusikiaPamoja na kuwa na Elimu za Kuunga-unga Zembwela na Manara Wana maisha decent kuliko Maprofesa hapo SUA na kwingineko nchini
Ni bora nibaki na Umasikini wangu huu huu kuliko kuwa Shoga na Kuwadi wa Wanawake kwa Viongozi na Matajiri huku nikilelewa na Bibi wa Kizungu nchini Sweden.Pamoja na kuwa na Elimu za Kuunga-unga Zembwela na Manara Wana maisha decent kuliko Maprofesa hapo SUA na kwingineko nchini
Huyu Jamaa anasapot upumb.avuShallow thinking, kwa hiyo as long as unamaisha mazuri, basi inatosha! Hivyo hata "anayefanywa nyuma", anayejiuza (ashukumu si matusi) akalipwa mamilioni ana maisha mazuri is Ok, mtu aangalie maisha mazuri tu!!
One of the criteria for social respect and recognition is EDUCATION!
Umenipata vema kabisa! Kwa andiko zuri kama hili, nadhani umesoma UDSM miaka ya 80 na kurudi nyuma. (kama siyo hivyo, basi you attended a good school!)! ambapo msingi wa elimu ilikuwa na kufikiri, reasoning.....kuchanganua mambo, ...logically, intuitively and common sense in the right perspective!Huyu Jamaa anasapot upumb.avu
Kwahiyo watu wasisome wawe lapili kama zembwela,wawe chawa ndo wawe na maisha mazuri?
Maisha ya kupost insta?🤣🤣kula kisinia kwa shilole ndo maisha mazuri?kujenga uswazi ambako Hakuna barabara ndo maisha mazuri?
ukifatilia mtoto wa zembwela anasoma kidumu mfagio,mkewe hajui hata kusoma 😂😂ukoo mzima hakuna msomi,saivi wote wanamwangalia wanasema ye ndo tajiri,akiugua Figo ataanza kuomba michango insta🤣
Wakati Prof ana bima ya afya yeye na family yake,ana watoto wasomi pia,Wenye kazi zao zenye respect mjini,wanadrive,ana mke msomi,ana pensheni,akipita mtaani anasalimiwa kwa heshma Kama msomi.Prof ana maisha Bora standard.
🤣🤣Swali zuriJiulize kwanini hao waliofanikiwa bila elimu huwapeleka watoto wao kusoma tena shule nzuri kweli kweli😁
😂😂Sijasoma themaniniUmenipata vema kabisa! Kwa andiko zuri kama hili, nadhani umesoma UDSM miaka ya 80 na kurudi nyuma. (kama siyo hivyo, basi you attended a good school!)! ambapo msingi wa elimu ilikuwa na kufikiri, reasoning.....kuchanganua mambo, ...logically, intuitively and common sense in the right perspective!
UDSM?😂😂Sijasoma themanini
Nimesoma 2013
Sasa hio nayo ni akili? Badala ajenge kwake anaona fahari kuishi kwenye apartment?🤣Mkuu tuache chuki hawa kina msnara na ommy dimpoz wana maisha mazuri sanaaaa siyo ya kawaida income zao ni kubwa kuliko unavyodhania
Manara kila mwezi kuna bayport , tigo na utitiri mwingine huko gsm na kadhalika kote huko hela inaingia nyumba anakaa apartment ya usd 3000 per month hiyo ni 8m embu nionyeshe prof yoyote anayeishi karibia tu na maisha hayo
Social recognition utanunua nn?Shallow thinking, kwa hiyo as long as unamaisha mazuri, basi inatosha! Hivyo hata "anayefanywa nyuma", anayejiuza (ashukumu si matusi) akalipwa mamilioni ana maisha mazuri is Ok, mtu aangalie maisha mazuri tu!!
One of the criteria for social respect and recognition is EDUCATION!
Professor RwegoshoraWewe soma fanya vizuri na uweke maisha yako yawe vizuri yaache ya kuhangaika na ya watu