Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Ndio nani??Professor Rwegoshora
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio nani??Professor Rwegoshora
Unajuaje kama hajajenga? Kwani mzee reginald mengi alivyokuwa anaishi apartment za haidary plaza ulidhania hana nyumba ?ni preferences tu na life style , au tajiri wa nchi jitu patel anavyokaa kwenye apartment posta huku akiwa mlipa kodi top ten nchiniSasa hio nayo ni akili? Badala ajenge kwake anaona fahari kuishi kwenye apartment?🤣
Kwanini umesema wa SUA tu?Pamoja na kuwa na Elimu za Kuunga-unga Zembwela na Manara Wana maisha decent kuliko Maprofesa hapo SUA na kwingineko nchini
YapUDSM?
Tupe chanzo Cha utafiti na vipengele vyake!Pamoja na kuwa na Elimu za Kuunga-unga Zembwela na Manara Wana maisha decent kuliko Maprofesa hapo SUA na kwingineko nchini
Hahahahahah huyo ni tajiri usifananishe na mchumia tumbo manara ambaye figo zikifeli tu lazma atatembeza bakuli kabla ya miezi miwili haijatimia.Unajuaje kama hajajenga? Kwani mzee reginald mengi alivyokuwa anaishi apartment za haidary plaza ulidhania hana nyumba ?ni preferences tu na life style , au tajiri wa nchi jitu patel anavyokaa kwenye apartment posta huku akiwa mlipa kodi top ten nchini
Maisha mazuri yanapimwa kwanvigezo gani? Neno 'zuri' ni relative so unachokiona kizuri kwako sio na wengine wataona hivyo. Mnataka kila mtu awe mropokaji redioni na kwenye social media eti ndio maisha mazuri.Pamoja na kuwa na Elimu za Kuunga-unga Zembwela na Manara Wana maisha decent kuliko Maprofesa hapo SUA na kwingineko nchini
Atakuwa alidisko!🤣🤣SUA wamekufanya nini mkuu mpaka uwafanye mfano?.
Kudisco mwaka wa kwanza tena semister ya kwanza sio poa ujue. Lazima ubongo uchanganyike na damuAtakuwa alidisko!
Usikariri,wape maua Yao maproff!Mkuu tuache chuki hawa kina msnara na ommy dimpoz wana maisha mazuri sanaaaa siyo ya kawaida income zao ni kubwa kuliko unavyodhania
Manara kila mwezi kuna bayport , tigo na utitiri mwingine huko gsm na kadhalika kote huko hela inaingia nyumba anakaa apartment ya usd 3000 per month hiyo ni 8m embu nionyeshe prof yoyote anayeishi karibia tu na maisha hayo
thinking hiyo hiyo ya kununua! as long as unanunua , basi maisha yameisha....Social recognition utanunua nn?
Kama ajali ya bodaboda!Kudisco mwaka wa kwanza tena semister ya kwanza sio poa ujue. Lazima ubongo uchanganyike na damu
Ndilo tulikofika, as long a unapata hela, basi unakuwa chawa, mpuuzi, mropokaji, kuvaa hovy/uchi kukosa heshima......wale watu wa Bukoba wanaita "enjanga za amayaga" Chachu Ombarakila mtu awe mropokaji redioni na kwenye social media
Elimu,ufahamu na sayansi ya kutengeneza pesa inafanya hoja yako kuwa ya hovyo.Pamoja na kuwa na Elimu za Kuunga-unga Zembwela na Manara Wana maisha decent kuliko Maprofesa hapo SUA na kwingineko nchini
Hii inatokana na uongozi tangu alipofariki JK Nyerere umekuwa unadhamni mambo ya ajabu na kudharau wenye elimu.Pamoja na kuwa na Elimu za Kuunga-unga Zembwela na Manara Wana maisha decent kuliko Maprofesa hapo SUA na kwingineko nchini
Hakuna kitu kama hicho mtoe hata professor wa uchumi mpe biashara kama ataweza kufanya kama kishimba au bakhressa , maprofessor wengi ni bookworm ukiwatoa kwenye kufundisha huwa hata social life zao za shida sana... Kama Profweza akiamua kujikita Katika media na kujitoa ufahamu mimi sina shaka kwamba atawazidi hao kina Zembwela kwa kiwango cha lami dhidi ya changalawe!