Uhuru24
JF-Expert Member
- May 2, 2015
- 4,112
- 4,361
Unatumia kujibu hoja kwa hasira ingawaje tukija field ndio ukweliMtoa mada ukikutana na mgawaji maisha mazuri na akataka akukate kimba nadhani hautokuwa na muda wa kufikiri marambili mbili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unatumia kujibu hoja kwa hasira ingawaje tukija field ndio ukweliMtoa mada ukikutana na mgawaji maisha mazuri na akataka akukate kimba nadhani hautokuwa na muda wa kufikiri marambili mbili.
Ndio maana tukamwambia aende field akajionee maisha watu wanavyoishiMkuu tuache chuki hawa kina msnara na ommy dimpoz wana maisha mazuri sanaaaa siyo ya kawaida income zao ni kubwa kuliko unavyodhania
Manara kila mwezi kuna bayport , tigo na utitiri mwingine huko gsm na kadhalika kote huko hela inaingia nyumba anakaa apartment ya usd 3000 per month hiyo ni 8m embu nionyeshe prof yoyote anayeishi karibia tu na maisha hayo
Maisha mazuri huanzia wapi ,labda tunaweza kupata mwangaHuyu Jamaa anasapot upumb.avu
Kwahiyo watu wasisome wawe lapili kama zembwela,wawe chawa ndo wawe na maisha mazuri?
Maisha ya kupost insta?[emoji1787][emoji1787]kula kisinia kwa shilole ndo maisha mazuri?kujenga uswazi ambako Hakuna barabara ndo maisha mazuri?
ukifatilia mtoto wa zembwela anasoma kidumu mfagio,mkewe hajui hata kusoma [emoji23][emoji23]ukoo mzima hakuna msomi,saivi wote wanamwangalia wanasema ye ndo tajiri,akiugua Figo ataanza kuomba michango insta[emoji1787]
Wakati Prof ana bima ya afya yeye na family yake,ana watoto wasomi pia,Wenye kazi zao zenye respect mjini,wanadrive,ana mke msomi,ana pensheni,akipita mtaani anasalimiwa kwa heshma Kama msomi.Prof ana maisha Bora standard.
Jamaa hakukataa elimu,ila alichosema Zembwela na Manara wanamaisha mazuri kuliko Profesa wa SUA.Sasa wapi kaipinga elimu???[emoji1787][emoji1787]Swali zuri
Kama dayamond ,juzi tu kapeleka mwanae shule ghali,kwanini asimwache aje kuwa chawa kama zembwela, wakati naye hakusoma?
Maisha mazuri ni yapi?Jamaa hakukataa elimu,ila alichosema Zembwela na Manara wanamaisha mazuri kuliko Profesa wa SUA.Sasa wapi kaipinga elimu???
Kama ya ZembwelaMaisha mazuri ni yapi?
We unayajua maisha yake? Ana kiasi gani bank? Anamiliki bima ya kiwango gani? Ana lipwa kiasi gani? Pato lake kwa mwaka ni kiasi gani? Nyumba anayoishi ina thamani ya kiasi gani? Ana asset za thamani ya kiasi gani?.Kama ya Zembwela
Naomba tafsiri ya maisha mazuri halafu nikujibu kuhusu hao watu unaowaona wanamaisha mazuriKama ya Zembwela
Tofauti yake nini ?Masters ya TUDARCO Ni sawa na ya Harvard?
Hivi mnawezaje kuifananisha elimu na pesa mm kwangu naona ni vitu viwili tofauti kabisaPamoja na kuwa na Elimu za Kuunga-unga Zembwela na Manara Wana maisha decent kuliko Maprofesa hapo SUA na kwingineko nchini
Itakusaidia nini ?Napata wapi orodha yao
Hata ivo wasio wasomi ni wengi kuliko wasomi kwaio ukicrosss multiplication unapata ulichokisemaTukizungumzia kwa %, basi wasomi wenye maisha uliyotaja hapa ni wachache ukilinganisha na wasio wasomi
hahahahah ana evaluate before doing anything, na hiyo sometimes ina leta stress sana kwenye maisha.
too much seriousness is not good in our life, we gonna die mapema looh