Zembwela: Watumishi wa umma si tu kwamba hawamuogopi Waziri Mkuu, bali pia wanamdharau

Zembwela: Watumishi wa umma si tu kwamba hawamuogopi Waziri Mkuu, bali pia wanamdharau

Akitoa maoni yake kuhusu Waziri Mkuu kuwasema watumishi wabadhirifu, mtangazaji wa wasafi fm amesema tangu aanze kumskiliza Waziri Mkuu katika ziara zake kila mara utamsikia akikutana na ubadhirifu wa aina ileile jambo linalotoa tafsiri kwamba hao watumishi wa umma hawana hofu yoyote wa kufanya wanachotaka.

Ameenda mbali na kusema hata hayo maagizo aliyoyatoa ya kuweka taa wataenda pale na kuweka taa mbili au tatu story itakuwa imeishia hapo.
Hicho kiti wanamlazimisha tu kukikalia
 
Hakuwahi kulidanganya, Ali fill gape inayoitwa communication gap, hakuwa mtu sahihi, hakuwa
na mamlaka bya kutangaza japo alijua ukweli!!!

Lazima kuwe na maandalizi kiongozi mkuu anapofariki, ulitaka aseme kwamba KAMBALE KAFARIKI???

kwa sababu kulikuwa na tetesi na kiu ya watu kujua ilipaswa kauli flani itoke.
Kwa iyo rais kufa ni jambo la ajabu yani ni ajabu katoba na sheria zipo kwa ajiro ya nn kwann alisimama mbele ya msikiti japo yeye mkristo kidini na kusema rais yuko fit si angekausha au ndo akitaka kuwa prove wrong wapinzan shame on him.
 
Sasa huu ndo ukomavu wa akili.
Inashangaza watu wanamlaumu sana Majaliwa alidanganya wananchi kuhusu afya ya Magufuli.

Swali ni je,alikuwa na power ya kutangaza "MUHESHIMIWA RAIS MAGUFULI HUTUNAE"

Magufuli alikuwa ni rais so haikuwa simpo kiasi hicho kutangaza kufa kwake.
Ndiyo mnajidanganyaga hivyo eti!Kifo hakina siri,hakina madaraka,hakina ulinzi,hakina sifa tena.
 
Majaliwa kaamua kuwa mpole asije kumzidi umaarufu aliye juu yake ila madudu yote serikalini anayaona Tu yakiwemo ya bosi wake....
Majaliwa WA enzi za Magufuli alikuwa anaogopwa na watumishi WA serikali kuliko hata JPM,
IPO siku atakuwa Rais wa Tanzania....narudia atakuwa Rais wa Tanzania!
 
Majaliwa kaamua kuwa mpole asije kumzidi umaarufu aliye juu yake ila madudu yote serikalini anayaona Tu yakiwemo ya bosi wake....
Majaliwa WA enzi za Magufuli alikuwa anaogopwa na watumishi WA serikali kuliko hata JPM,
IPO siku atakuwa Rais wa Tanzania....narudia atakuwa Rais wa Tanzania!
Nasema hv bora makamu wa raisi philip mpango japo yeye sio mwanasiasa awe raisi sio majaliwa(mzee wa tume ya uchunguzi) waziri mkuu mwendo kasi tu ulimshinda kutatua mgogoro tusifanye uraisi sehemu ya kujaribishia watu km waziri mkuu tu kashindwa kusolve mambp mengi u rais uatauweza wapi
 
Akitoa maoni yake kuhusu Waziri Mkuu kuwasema watumishi wabadhirifu, mtangazaji wa wasafi fm amesema tangu aanze kumskiliza Waziri Mkuu katika ziara zake kila mara utamsikia akikutana na ubadhirifu wa aina ileile jambo linalotoa tafsiri kwamba hao watumishi wa umma hawana hofu yoyote wa kufanya wanachotaka.

Ameenda mbali na kusema hata hayo maagizo aliyoyatoa ya kuweka taa wataenda pale na kuweka taa mbili au tatu story itakuwa imeishia hapo.
Tatizo hata akifanya ubadhilifu anahamishwa akafanye kungine
 
Kwa iyo rais kufa ni jambo la ajabu yani ni ajabu katoba na sheria zipo kwa ajiro ya nn kwann alisimama mbele ya msikiti japo yeye mkristo kidini na kusema rais yuko fit si angekausha au ndo akitaka kuwa prove wrong wapinzan shame on him.
Hujaelewa kaka!! Kuna protocol, hawezi kukurupuka.

Kuna mazingira ya kulisemeae jambo!!

Kutangaza msiba bwa kitaifa ni tofauti na kutangaza msiba wa level ya familia Kaka yangu Maji ya Pwani.

Nakupa msemo mmoja wa busara
" A TALKATIVE PERSON CAN NOT BE NOMINATED TO HOLD BIG OFFICE, HE WILL COME TO REVEAL TOP SECRET OF AN ORGANIZATION/INSTITUTION AND CAUSE CHAOS..."
By HON Kashushu District Magistrate of Masasi.

Kauli ambayo aliitoa Mh Waziri Mkuu ilikuwa ni busara ya kiongozi kwa sababu kulikuwa na INFORMATION VACUUM, and Nature does not allow vacuum .

Usifikiri alitamka vile bahati mbaya, la hasha ni kwa sababu ya sounding an official news,, akapaswa ku fiil ile gap.

Wakati ikisubiriwa wakati rasmi ufike!!! wa kutangaza.
Hiyo ilikuwa Sehemu ya majibu ya ki protocol , kwa msiba mkubwa wa mkuu wa Nchi.

Alijua alichokuwa anakifanya!!!

Vipi kijana wetu anaendeleaje??? Kimasomo??
 
Sasa huu ndo ukomavu wa akili.
Inashangaza watu wanamlaumu sana Majaliwa alidanganya wananchi kuhusu afya ya Magufuli.

Swali ni je,alikuwa na power ya kutangaza "MUHESHIMIWA RAIS MAGUFULI HUTUNAE"

Magufuli alikuwa ni rais so haikuwa simpo kiasi hicho kutangaza kufa kwake.
Angekaa kimya angepungukiwa na nini!?
Pale kwenye nyumba ya ibada kama mnavyoita wenye dini zenu, alilazimishwa kuongea vile alivyoongea!!??
 
pm Majaliwa toka alipo lidanganya taifa kuhusu JPM,alipoteza credibility kubwa sana kama kiongozi.

Mimi nampe ushauri wa bure kabisa,aache drama zake za kuunda tume za hovyo zinazo tumia pesa za umma.
Alitakiwa kukaa kando mapema sana.
 
Hakuwahi kulidanganya, Ali fill gape inayoitwa communication gap, hakuwa mtu sahihi, hakuwa
na mamlaka bya kutangaza japo alijua ukweli!!!

Lazima kuwe na maandalizi kiongozi mkuu anapofariki, ulitaka aseme kwamba KAMBALE KAFARIKI???

kwa sababu kulikuwa na tetesi na kiu ya watu kujua ilipaswa kauli flani itoke.
Kaka communication gap inatokana na comm failure between party husika.
Na hilo ni kosa litabaki kuwa kosa, hakuna kulipaka rangi. Maybe now watakuwa wamejirekebisha but otherwise thats was his mistake
 
Hujaelewa kaka!! Kuna protocol, hawezi kukurupuka.

Kuna mazingira ya kulisemeae jambo!!

Kutangaza msiba bwa kitaifa ni tofauti na kutangaza msiba wa level ya familia Kaka yangu Maji ya Pwani.

Nakupa msemo mmoja wa busara
" A TALKATIVE PERSON CAN NOT BE NOMINATED TO HOLD BIG OFFICE, HE WILL COME TO REVEAL TOP SECRET OF AN ORGANIZATION/INSTITUTION AND CAUSE CHAOS..."
By HON Kashushu District Magistrate of Masasi.

Kauli ambayo aliitoa Mh Waziri Mkuu ilikuwa ni busara ya kiongozi kwa sababu kulikuwa na INFORMATION VACUUM, and Nature does not allow vacuum .

Usifikiri alitamka vile bahati mbaya, la hasha ni kwa sababu ya sounding an official news,, akapaswa ku fiil ile gap.

Wakati ikisubiriwa wakati rasmi ufike!!! wa kutangaza.
Hiyo ilikuwa Sehemu ya majibu ya ki protocol , kwa msiba mkubwa wa mkuu wa Nchi.

Alijua alichokuwa anakifanya!!!

Vipi kijana wetu anaendeleaje??? Kimasomo??
Katika maeneo yoye akachagua msikitini mkuu
 
Yeye mwenyewe ni Mwizi JPM alimweka kikaangoni kwa kuwaibia wakulima, mke wake ni MWIZI aliiba shule ya UWT hivyo anakutana na wezi wenzake kwenye ziara.
 
Akitoa maoni yake kuhusu Waziri Mkuu kuwasema watumishi wabadhirifu, mtangazaji wa wasafi fm amesema tangu aanze kumskiliza Waziri Mkuu katika ziara zake kila mara utamsikia akikutana na ubadhirifu wa aina ileile jambo linalotoa tafsiri kwamba hao watumishi wa umma hawana hofu yoyote wa kufanya wanachotaka.

Ameenda mbali na kusema hata hayo maagizo aliyoyatoa ya kuweka taa wataenda pale na kuweka taa mbili au tatu story itakuwa imeishia hapo.
Yuko sahihi 100%
 
Kaka communication gap inatokana na comm failure between party husika.
Na hilo ni kosa litabaki kuwa kosa, hakuna kulipaka rangi. Maybe now watakuwa wamejirekebisha but otherwise thats was his mistake
Kama PM alikuwa anajua kila kitu, issue kubwa ni protocol, msiba wa mkuu wa nchi,hauwi msiba rahisi kuutangaza!!!
 
Akitoa maoni yake kuhusu Waziri Mkuu kuwasema watumishi wabadhirifu, mtangazaji wa wasafi fm amesema tangu aanze kumskiliza Waziri Mkuu katika ziara zake kila mara utamsikia akikutana na ubadhirifu wa aina ileile jambo linalotoa tafsiri kwamba hao watumishi wa umma hawana hofu yoyote wa kufanya wanachotaka.

Ameenda mbali na kusema hata hayo maagizo aliyoyatoa ya kuweka taa wataenda pale na kuweka taa mbili au tatu story itakuwa imeishia hapo.
Apewe pongezi kwa kutumia uhuru wake kutoa maoni.
 
Back
Top Bottom