Nandagala One
JF-Expert Member
- Aug 19, 2020
- 1,913
- 2,286
Huwezi kukaa kimyaaa, kiongozi wa kitaifa anapokuwa haonekani kwenye public, you must have something to say, to fiill particular gap.Angekaa kimya angepungukiwa na nini!?
Pale kwenye nyumba ya ibada kama mnavyoita wenye dini zenu, alilazimishwa kuongea vile alivyoongea!!??
Mlitaka itanngazwe kirahisi rahisi tu, kunakuwa na maandalizi makubwa ,deep state inakuwa kazini kuhakikisha issue zote ziko constant.