Zembwela: Watumishi wa umma si tu kwamba hawamuogopi Waziri Mkuu, bali pia wanamdharau

Hicho kiti wanamlazimisha tu kukikalia
 
Kwa iyo rais kufa ni jambo la ajabu yani ni ajabu katoba na sheria zipo kwa ajiro ya nn kwann alisimama mbele ya msikiti japo yeye mkristo kidini na kusema rais yuko fit si angekausha au ndo akitaka kuwa prove wrong wapinzan shame on him.
 
Ndiyo mnajidanganyaga hivyo eti!Kifo hakina siri,hakina madaraka,hakina ulinzi,hakina sifa tena.
 
Majaliwa kaamua kuwa mpole asije kumzidi umaarufu aliye juu yake ila madudu yote serikalini anayaona Tu yakiwemo ya bosi wake....
Majaliwa WA enzi za Magufuli alikuwa anaogopwa na watumishi WA serikali kuliko hata JPM,
IPO siku atakuwa Rais wa Tanzania....narudia atakuwa Rais wa Tanzania!
 
Nasema hv bora makamu wa raisi philip mpango japo yeye sio mwanasiasa awe raisi sio majaliwa(mzee wa tume ya uchunguzi) waziri mkuu mwendo kasi tu ulimshinda kutatua mgogoro tusifanye uraisi sehemu ya kujaribishia watu km waziri mkuu tu kashindwa kusolve mambp mengi u rais uatauweza wapi
 
Tatizo hata akifanya ubadhilifu anahamishwa akafanye kungine
 
Kwa iyo rais kufa ni jambo la ajabu yani ni ajabu katoba na sheria zipo kwa ajiro ya nn kwann alisimama mbele ya msikiti japo yeye mkristo kidini na kusema rais yuko fit si angekausha au ndo akitaka kuwa prove wrong wapinzan shame on him.
Hujaelewa kaka!! Kuna protocol, hawezi kukurupuka.

Kuna mazingira ya kulisemeae jambo!!

Kutangaza msiba bwa kitaifa ni tofauti na kutangaza msiba wa level ya familia Kaka yangu Maji ya Pwani.

Nakupa msemo mmoja wa busara
" A TALKATIVE PERSON CAN NOT BE NOMINATED TO HOLD BIG OFFICE, HE WILL COME TO REVEAL TOP SECRET OF AN ORGANIZATION/INSTITUTION AND CAUSE CHAOS..."
By HON Kashushu District Magistrate of Masasi.

Kauli ambayo aliitoa Mh Waziri Mkuu ilikuwa ni busara ya kiongozi kwa sababu kulikuwa na INFORMATION VACUUM, and Nature does not allow vacuum .

Usifikiri alitamka vile bahati mbaya, la hasha ni kwa sababu ya sounding an official news,, akapaswa ku fiil ile gap.

Wakati ikisubiriwa wakati rasmi ufike!!! wa kutangaza.
Hiyo ilikuwa Sehemu ya majibu ya ki protocol , kwa msiba mkubwa wa mkuu wa Nchi.

Alijua alichokuwa anakifanya!!!

Vipi kijana wetu anaendeleaje??? Kimasomo??
 
Angekaa kimya angepungukiwa na nini!?
Pale kwenye nyumba ya ibada kama mnavyoita wenye dini zenu, alilazimishwa kuongea vile alivyoongea!!??
 
pm Majaliwa toka alipo lidanganya taifa kuhusu JPM,alipoteza credibility kubwa sana kama kiongozi.

Mimi nampe ushauri wa bure kabisa,aache drama zake za kuunda tume za hovyo zinazo tumia pesa za umma.
Alitakiwa kukaa kando mapema sana.
 
Kaka communication gap inatokana na comm failure between party husika.
Na hilo ni kosa litabaki kuwa kosa, hakuna kulipaka rangi. Maybe now watakuwa wamejirekebisha but otherwise thats was his mistake
 
Katika maeneo yoye akachagua msikitini mkuu
 
Yeye mwenyewe ni Mwizi JPM alimweka kikaangoni kwa kuwaibia wakulima, mke wake ni MWIZI aliiba shule ya UWT hivyo anakutana na wezi wenzake kwenye ziara.
 
Yuko sahihi 100%
 
Kaka communication gap inatokana na comm failure between party husika.
Na hilo ni kosa litabaki kuwa kosa, hakuna kulipaka rangi. Maybe now watakuwa wamejirekebisha but otherwise thats was his mistake
Kama PM alikuwa anajua kila kitu, issue kubwa ni protocol, msiba wa mkuu wa nchi,hauwi msiba rahisi kuutangaza!!!
 
Apewe pongezi kwa kutumia uhuru wake kutoa maoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…