Zembwela: Watumishi wa umma si tu kwamba hawamuogopi Waziri Mkuu, bali pia wanamdharau

Angekaa kimya angepungukiwa na nini!?
Pale kwenye nyumba ya ibada kama mnavyoita wenye dini zenu, alilazimishwa kuongea vile alivyoongea!!??
Huwezi kukaa kimyaaa, kiongozi wa kitaifa anapokuwa haonekani kwenye public, you must have something to say, to fiill particular gap.

Mlitaka itanngazwe kirahisi rahisi tu, kunakuwa na maandalizi makubwa ,deep state inakuwa kazini kuhakikisha issue zote ziko constant.
 
Naona unamtetea homeboy wako mnayetoka kijiji kimoja.

Jamaa yako ni muongo mkubwa.
Anayeweza kudanganya kwenye nyumba ya ibada huyo sio binadamu timamu.
 
Huyo Waziri Mkuu hata yeye mwenyewe haamini anayoyasema.
 
Watu wanao ongea sana huwa na element za kitapeli;PM ni msanii ndiyo maana Wana mdharau!!!
 
pm Majaliwa toka alipo lidanganya taifa kuhusu JPM,alipoteza credibility kubwa sana kama kiongozi.

Mimi nampe ushauri wa bure kabisa,aache drama zake za kuunda tume za hovyo zinazo tumia pesa za umma.
Wapumbavu hamtakaa muishe hapa duniani. Ulitaka aropoke tu JPM kafa?
 
Inasemekana yeye mwenyewe ni mpigaji
 
Amekuwa anachanganya ziara za kichama na kiserikali hivyo basi mtumishi wa Umma anayejielewa hawazi kutishwa na mwanasiasa,siku akijua kutofautisha majukum ya waziri mkuu na majukuu ya mjumbe wa NEC hapo ataweza kuheshimika na maagizo yake yatafuatwa.
 
Hivi kweli una akili sawasawa wewe? Acha kutufanya Watanzania wapumbavu.
 
Maagizo ya huyu mzee huwa hayatekelezwi wala tume zake anazoziundaga huwa hazileti majibu.
 
Huyu mzee kwanza aachie mvi tuzione, aache kupaka kiwi nywele
wewe nae. u smart wa mtu na mada vina husiana nin? wewe kama huna hela paka kanta achia wezio wana hela eanapaka blue magic mafuta tu nywele inawaka hivi
 
Angekaa kimya angepungukiwa na nini!?
Pale kwenye nyumba ya ibada kama mnavyoita wenye dini zenu, alilazimishwa kuongea vile alivyoongea!!??
Angekaaje kimya wakati watanzania walikuwa wanaulizia aliko rais wao mpendwa?

Kukaa kimya maana yake uvumi uliopo ni kweli.Kwa hiyo ilikuwa inatafutwa namna ya kupoza wananchi.
 
Waziri mkuu huyu hawezi kueshimika hata kidogo lzm adharauliwe tu.
 
Mnawasingizia tu watumishi wa umma. Ukweli mnaujua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…