Zembwela: Watumishi wa umma si tu kwamba hawamuogopi Waziri Mkuu, bali pia wanamdharau

Acheni dharau,kwa sasa mtu pekee anayefaa kuwa Rais Tanzania kutoka CCM ni Kassim Majaliwa pekee yake.
 
Heshima is a two way traffic
 
1. Majaliwa hajiamini kila saa kumtaja rais pasipokujua kuwa yeye ana nguvu kufanya maamuzi kama pm

2. Majaliwa na babalevo au Mwijaku tofauti yao ni kuwa pm analindwa na ana msafara lkn wote ni machawa
 
pm Majaliwa toka alipo lidanganya taifa kuhusu JPM,alipoteza credibility kubwa sana kama kiongozi.

Mimi nampe ushauri wa bure kabisa,aache drama zake za kuunda tume za hovyo zinazo tumia pesa za umma.
kanuni za kiuongozi yaani itifaki,haimruhusu kabisa mtu asiye makamu wa rais kutangaza kifo cha raisi aaliyekuwa madarakani,kwa hili asilaumiwe alikuwa kazini

shida ilianza baada ya bi arafa kuchukua usukani,ikaonekana watu wote waliokuwa wanategemewa na mwendazake wanatakiwa watolewe upepo,waache makeke.
kwa sasa kambale ni mmoja tu,kama una vinasaba naye basi nawewe ni kambale kama yeye.
 
shida sio pm. Bali boss wake
kumbuka maneno: "mama yenu analea wezi"

JESUS IS LORD&SAVIOR
 

sawa japo angesema kuwa anaumwa, anapata tiba!

YESU NI BWANA&MWOKOZI
 
Mie sio mwanafunzi am tax payer km ww diaspora
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…