Tatizo lako wewe licha ya kuyasema sema vibaya baadhi makabila hapa nchini kutokana na inbuilt inferiority complex, sioni kama unaelewa vizuri mbinu zilizo tumika kumuondoa Sepp madarakani - you have no idea kwamba mipango yote ilisukwa na Taifa fulani for Geopolitical reason kuliko masuala ya mpira - FIFA ilikuwa hijacked na wapuuzi hao ambao SOKA sio mchezo wao wa asili wanajitia kimbele mbele tu kuvuruga mchezo unaopendwa sana Duniani, wao hawajawahi ku-contribute chochote cha maana katika masuala ya kuendeleza SOKA Duniani, wao wapo kwenye Ulimwengu wa Baseball na Basketball michezo ambayo hipo confined nchini mwao tu - hakuna Mataifa yanayo chukulia seriously michezo yao.
Sepp amekuwa victim wa a well organised scheme ya mafiosa for Geopolitics reasons - all in all nina uhakika ata bounce back fighting fit - the World inapaswa kumuheshimu Sepp kwa kujitahidi kuondoa siasa kwenye michezo wa SOKA, kusaidia sana third World kuendeleza michezo ya soka kwa kuzipatia fedha za kutosha hakuwa na chembe ya u-racism au dharau - binadamu wote wenye akili timamu wanajua vizuri msimamo ya Sepp wanajua vile vile kwamba usimamizi na msimamo wake ndiyo umewezesha Africa, Asia including Arabuni kukubaliwa ku-host World Cup kwenye Continents tajwa bila ya kujali mashinikizo ya Mataifa ya magharibi kushinikiza World Cup kuchezwa Ulaya, Amerika Kaskazini na Latin Amerika - Sepp stood his ground ndiyo maana walijitahidi sana kumjengea mizengwe ya kumuondoa madarakani - najua mtakuja hapa na madai lukuki lakini ukweli ndio huo.