isajorsergio
Platinum Member
- Apr 22, 2018
- 4,143
- 6,560
Shukrani utakuwa umesaidia.Msela wangu huyu tunapeanaga mission za mjini ngoja nitamtafuta kwenye sm
Sent using Jamii Forums mobile app
Yupo kwenye Honey Moon alileta bandiko hpa kua anataraji kuchukua jiko,Ndugu Zero IQ mratibu, muandaaji na mtayarishaji wa JF Hardtalk umepotea ni muda sasa nini tatizo?!
Uhitaji wa hardtalk ungali upo kwa sababu ilianza kusaidia kuwatambua wana-JF uwezo, mitazamo na maono yao kwa uwazi mkubwa.
Ndugu Zero IQ kama ulisitisha muendelezo wa hardtalk tafadhari anza upya na hivi sasa. Wanachama wa JF wangelipenda kuona mijadara mizito na yenye ufikirishi wa fikra kwa wenzao.
Endapo ukiridhia itabidi uchague watayarishaji, waendeshaji na waratibu wasaidizi kusaidia kufanikisha hili endapo mmoja wao hakutokea.
cc. Zero IQ
Oh kumbeYupo kwenye Honey Moon alileta bandiko hpa kua anataraji kuchukua jiko,
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu Zero IQ mratibu, muandaaji na mtayarishaji wa JF Hardtalk umepotea ni muda sasa nini tatizo?!
Uhitaji wa hardtalk ungali upo kwa sababu ilianza kusaidia kuwatambua wana-JF uwezo, mitazamo na maono yao kwa uwazi mkubwa.
Ndugu Zero IQ kama ulisitisha muendelezo wa hardtalk tafadhari anza upya na hivi sasa. Wanachama wa JF wangelipenda kuona mijadara mizito na yenye ufikirishi wa fikra kwa wenzao.
Endapo ukiridhia itabidi uchague watayarishaji, waendeshaji na waratibu wasaidizi kusaidia kufanikisha hili endapo mmoja wao hakutokea.
cc. Zero IQ
Aah Wa Stendi bhana, vp kigari bado kinasumbua?😀Labuda keshafumuliwa marinda maana anapenda sana kumendea wake /watoto wa watu
Kile ni kila siku mkubwa hakuna siku sikisikiiAah Wa Stendi bhana, vp kigari bado kinasumbua?[emoji3]
Bado upo ofisini 😁Kile ni kila siku mkubwa hakuna siku sikisikii
Kuna tatizo dada?
@Demiss we utakua umeshakula sana chips za mshikaji.Msela wangu huyu tunapeanaga mission za mjini ngoja nitamtafuta kwenye sm
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio kazi zetu ni usiku tuuBado upo ofisini [emoji16]
Ndio najipanga kulala sasa.Ndio kazi zetu ni usiku tuu