Ziara ya Kabudi ya kuomba msamaha ni nzuri kwa taifa

Ziara ya Kabudi ya kuomba msamaha ni nzuri kwa taifa

Uzuri kaenda kuwapiga magoti mabeberu. Kule bungeni alikuwa akitoa macho kama mjusi kabanwa na mlango huku akijiapiza kuwa hatawapigia magoti mabeberu. Mwenyewe leo kawafuata mabeberu kuwaomba msamaha kama mbwa koko mkia matakoni.


Kabudi ni failure big time
Akili fupi hizi, ndio maana Mbowe aliteremshwa jukwaani huko Hai.
 
Uzuri kaenda kuwapiga magoti mabeberu. Kule bungeni alikuwa akitoa macho kama mjusi kabanwa na mlango huku akijiapiza kuwa hatawapigia magoti mabeberu. Mwenyewe leo kawafuata mabeberu kuwaomba msamaha kama mbwa koko mkia matakoni.


Kabudi ni failure big time

Nimecheka kwa nguvu mno jaman...nionee huruma mkuu hapa macho yamejaa machoz
 
Sasa ulitaka aje kwa fujo kama makamanda wa ufipa?
Hapa ndani TZ Kabudi huongea akirusha mate huko na huko na akiwa ametoa macho vibaya mpaka yanapita nyusi zake. Nashangaa kule US alikuwa mpole kama kasisi wa dhehebu la kilokole. Dah hizi siasa za kutudanganya sisi wakulima hizi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee....yamekuwa hayo

Kwa beberu kila goti litapigwa...nimeamini

Everyday is Saturday....................... 😎
 
Boss Kamundu Na mimi nampongeza na kuwapongeza Jamhuri na Serikali, walishaona ngoma nzito. Marekani ana nguvu sana Duniani. Busara na Hekima ni nzuri kwa ustawi wa Taifa letu.


Waziri Kabudi amekuja US kukutana na wawakilishi wa serikali ya Trump na World Bank.

Kwenye World bank alikuja kwa unyeyekevu na kuwahakikishia bank kwamba Tanzania itaweka shule maalumu za kulinda watoto waliopata mimba na hii wamehakikisha kapiga sahihi kabisa.

Pili amepeleka ujembe kutoka kwa Magufuli kwenda kwa Trump kuhusu uchaguzi huru, haki za binadamu na mambo mengine ambayo yamefanya Tanzania kwa mara ya kwanza kuingizwa kwenye list mbaya wa wananchi wake kusafiri kwenda US.

Kiukweli kabisa hii ziara ni ziara ya kuomba msamaha na kujaribu kurudisha uhusiano ambao Kikwete na Mkapa waliutengeneza.

Zile sera za kibabe na kuita watu mabeberu tunashukuru Kabudi ameona mwenyewe hazitupeleki mbele. Lakini amejua ukweli kwamba Dunia ni ndogo tuangalie Corana virus wote tupo kama binadamu ikipatikana kinga ambayo kampuni ya US inatengeneza ni ya Dunia nzima sio ya mabeberu pekee.

Hongereni kwa kujali taifa na kuanza kukutana na upinzani naona Magu kaona ukweli.
 
Back
Top Bottom