Ziara ya Kabudi ya kuomba msamaha ni nzuri kwa taifa

Ziara ya Kabudi ya kuomba msamaha ni nzuri kwa taifa

Hiyo ni trick tu waachiwe kufanya uchaguzi kwa tume hii hii. Wamtangaze mgombea wao haraka haraka halafu waseme tume iko huru haiingiliwi na sisi ni nchi huru. Wawahiwe hapo hapo kabla ya uchaguz!i
 
Ni furaha kuu jamani kuona kuwa tumejitambua kuwa sisi si kisiwa. B/up sana Kabudi kwa kuuweka kando ukaidi ukaona vyema kushuka tu ili mambo yende vizuri. Tulitaka kutengeneza Zimbabwe ya pili lakini heri wenzetu walikuwa na kaubavu kidogo kwenye uchumi. Sisi sijui tungeendesha nchi siku ngapi.

Tufuate amri zao bila shuruti. Huu si wakati wa kusema; Misaada ya masharti hatuitaki. Sii leo tena.
Kwamba Zimbabwe ina uchumi mkubwa kuliko tz mzee
 
Kwamba Zimbabwe ina uchumi mkubwa kuliko tz mzee
Sipendi mtu anayerukia kichwa cha treni. Hata kama inataka kusimama stesheni. Rudia tena usome nilicho andika. Hakuna popote niliandika kuwa uchumi wa Zimbabwe leo ni mkubwa kuliko wetu Tz.
 
Sipendi mtu anayerukia kichwa cha treni. Hata kama inataka kusimama stesheni. Rudia tena usome nilicho andika. Hakuna popote niliandika kuwa uchumi wa Zimbabwe leo ni mkubwa kuliko wetu Tz.
" Tulitaka kutengeneza Zimbabwe ya pili lakini heri wenzetu walikuwa na kaubavu kidogo kwenye uchumi. Sisi sijui tungeendesha nchi siku ngapi."
Hapo juu ni maneno ya post yako.... Kwamba hapo ulimaanisha nini?
 
Umejuaje wacha kupiga ramli hapa


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nimeamini sasa CCM wanahitaji pesa zile kwa ajili ya uchaFuzi hapo october na si vinginevyo... Wamekaa kimyakimya. ..
 
" Tulitaka kutengeneza Zimbabwe ya pili lakini heri wenzetu walikuwa na kaubavu kidogo kwenye uchumi. Sisi sijui tungeendesha nchi siku ngapi."
Hapo juu ni maneno ya post yako.... Kwamba hapo ulimaanisha nini?
Ndo maana nikakuomba uusome mstari huo taratiiib. Nimesema; Hao Zimbabwe "Walikuwa" na kaubavu kidogo kwenye uchumi wao (Siku hizoooooo) kwa sababu uchumi wao ulikuwa mzuri sana kabla ya vikwazo. Tupo pamoja??????
 
US wanasubiria ifike October 2020 kionekane kitakachotokea. Vikwazo na list ya watu wa kuwekewa vikwazo tayari vipo mezani.

US hawawezi kudanganywa na bakuli la ubwabwa kama watanzania wa vijijini.

Kaeni mkao wa kuumia, vikwazo havikwepeki mwaka huu.
 
Ndo maana nikakuomba uusome mstari huo taratiiib. Nimesema; Hao Zimbabwe "Walikuwa" na kaubavu kidogo kwenye uchumi wao (Siku hizoooooo) kwa sababu uchumi wao ulikuwa mzuri sana kabla ya vikwazo. Tupo pamoja??????
Na hapo ulipomalizia sisi sijui tungeendesha nchi siku ngapi unamaanisha nini....Unamaanisha uchumi wa Zimbabwe kabla ya vikwazo ni mzuri kuliko huu wa tz wa sasa si ndiyo?
 
Waziri Kabudi amekuja US kukutana na wawakilishi wa serikali ya Trump na World Bank.

Kwenye World bank alikuja kwa unyeyekevu na kuwahakikishia bank kwamba Tanzania itaweka shule maalumu za kulinda watoto waliopata mimba na hii wamehakikisha kapiga sahihi kabisa.

Pili amepeleka ujembe kutoka kwa Magufuli kwenda kwa Trump kuhusu uchaguzi huru, haki za binadamu na mambo mengine ambayo yamefanya Tanzania kwa mara ya kwanza kuingizwa kwenye list mbaya wa wananchi wake kusafiri kwenda US.

Kiukweli kabisa hii ziara ni ziara ya kuomba msamaha na kujaribu kurudisha uhusiano ambao Kikwete na Mkapa waliutengeneza.

Zile sera za kibabe na kuita watu mabeberu tunashukuru Kabudi ameona mwenyewe hazitupeleki mbele. Lakini amejua ukweli kwamba Dunia ni ndogo tuangalie Corana virus wote tupo kama binadamu ikipatikana kinga ambayo kampuni ya US inatengeneza ni ya Dunia nzima sio ya mabeberu pekee.

Hongereni kwa kujali taifa na kuanza kukutana na upinzani naona Magu kaona ukweli.

kwa vile uchaguzi unakaribia asante


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Na hapo ulipomalizia sisi sijui tungeendesha nchi siku ngapi unamaanisha nini....Unamaanisha uchumi wa Zimbabwe kabla ya vikwazo ni mzuri kuliko huu wa tz wa sasa si ndiyo?
Kabla ya vikwazo ulikuwa mzuri mno. Wetu sijui kama utaendesha nchi siku ngapi. Tunaomba Mola Mh Kabudi arudi na zile tril zilizorudishwa kwa mabeberu
 
Kabla ya vikwazo ulikuwa mzuri mno. Wetu sijui kama utaendesha nchi siku ngapi. Tunaomba Mola Mh Kabudi arudi na zile tril zilizorudishwa kwa mabeberu
Uchumi wao ulikuwa kiasi gani kabla hawajawekewa vikwazo?
 
Waziri Kabudi amekuja US kukutana na wawakilishi wa serikali ya Trump na World Bank.

Kwenye World bank alikuja kwa unyeyekevu na kuwahakikishia bank kwamba Tanzania itaweka shule maalumu za kulinda watoto waliopata mimba na hii wamehakikisha kapiga sahihi kabisa.

Pili amepeleka ujembe kutoka kwa Magufuli kwenda kwa Trump kuhusu uchaguzi huru, haki za binadamu na mambo mengine ambayo yamefanya Tanzania kwa mara ya kwanza kuingizwa kwenye list mbaya wa wananchi wake kusafiri kwenda US.

Kiukweli kabisa hii ziara ni ziara ya kuomba msamaha na kujaribu kurudisha uhusiano ambao Kikwete na Mkapa waliutengeneza.

Zile sera za kibabe na kuita watu mabeberu tunashukuru Kabudi ameona mwenyewe hazitupeleki mbele. Lakini amejua ukweli kwamba Dunia ni ndogo tuangalie Corana virus wote tupo kama binadamu ikipatikana kinga ambayo kampuni ya US inatengeneza ni ya Dunia nzima sio ya mabeberu pekee.

Hongereni kwa kujali taifa na kuanza kukutana na upinzani naona Magu kaona ukweli.
Anaendaje kwa mabeberu huyo wazir anatakiwa atumbuliwe haiwezekan kuwapigia magoti mabeberu
 
Back
Top Bottom