Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Akili fupi hizi, ndio maana Mbowe aliteremshwa jukwaani huko Hai.Uzuri kaenda kuwapiga magoti mabeberu. Kule bungeni alikuwa akitoa macho kama mjusi kabanwa na mlango huku akijiapiza kuwa hatawapigia magoti mabeberu. Mwenyewe leo kawafuata mabeberu kuwaomba msamaha kama mbwa koko mkia matakoni.
Kabudi ni failure big time
Kwani tatizo liko wapi?Kwisha habari, lazima muwe wapole.
Sasa Mbowe kuteremshwa jukwaani na Kabudu aka Prof wa jalalani kuwapigia magoti mabeberu kuna uhusiano gani? Mbona umechanganyikiwa mapema sana?Akili fupi hizi, ndio maana Mbowe aliteremshwa jukwaani huko Hai.
Uhusiano upo sema wewe huuoni tu.Sasa Mbowe kuteremshwa jukwaani na Kabudu aka Prof wa jalalani kuwapigia magoti mabeberu kuna uhusiano gani?...
Wapi huko?Nahisi Kuna mahali unaachaga akili zako!...
Uzuri kaenda kuwapiga magoti mabeberu. Kule bungeni alikuwa akitoa macho kama mjusi kabanwa na mlango huku akijiapiza kuwa hatawapigia magoti mabeberu. Mwenyewe leo kawafuata mabeberu kuwaomba msamaha kama mbwa koko mkia matakoni.
Kabudi ni failure big time
Kwenye tranka lako la bati ulilolihifadhi mvunguni mwa kitanda chako!Wapi huko?
Baada ya kuomba msamaha Kabudi ile pin ya RC wa Dar itaondolewa?
Hapa ndani TZ Kabudi huongea akirusha mate huko na huko na akiwa ametoa macho vibaya mpaka yanapita nyusi zake. Nashangaa kule US alikuwa mpole kama kasisi wa dhehebu la kilokole. Dah hizi siasa za kutudanganya sisi wakulima hizi.Sasa ulitaka aje kwa fujo kama makamanda wa ufipa?
Hiyo inaitwa diplomasia, kwani hujui?Hapa ndani TZ Kabudi huongea akirusha mate huko na huko na akiwa ametoa macho vibaya mpaka yanapita nyusi zake. Nashangaa kule US alikuwa mpole kama kasisi wa dhehebu la kilokole. Dah hizi siasa za kutudanganya sisi wakulima hizi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi kichaa cha mbwa kimeshakupanda?Kwenye tranka lako la bati ulilolihifadhi mvunguni mwa kitanda chako!
Au ccm walishaziiba Kama walivyoziiba za maprofesa na madokta?
Akili fupi hizi, ndio maana Mbowe aliteremshwa jukwaani huko Hai.
Kwa hiyo hakuteremshwa jukwaani, au?Kateremshwa jukwaani na dc Sabaya!
Baada ya kuomba msamaha Kabudi ile pin ya RC wa Dar itaondolewa?
Kwani kichaa Cha mbwa humpanda kila mtu huko kwenu? Natamani jibu liwe ndio kwa jinsi mnavyofikiri kinyumenyume nihitimishe huku!Vipi kichaa cha mbwa kimeshakupanda?
Waziri Kabudi amekuja US kukutana na wawakilishi wa serikali ya Trump na World Bank.
Kwenye World bank alikuja kwa unyeyekevu na kuwahakikishia bank kwamba Tanzania itaweka shule maalumu za kulinda watoto waliopata mimba na hii wamehakikisha kapiga sahihi kabisa.
Pili amepeleka ujembe kutoka kwa Magufuli kwenda kwa Trump kuhusu uchaguzi huru, haki za binadamu na mambo mengine ambayo yamefanya Tanzania kwa mara ya kwanza kuingizwa kwenye list mbaya wa wananchi wake kusafiri kwenda US.
Kiukweli kabisa hii ziara ni ziara ya kuomba msamaha na kujaribu kurudisha uhusiano ambao Kikwete na Mkapa waliutengeneza.
Zile sera za kibabe na kuita watu mabeberu tunashukuru Kabudi ameona mwenyewe hazitupeleki mbele. Lakini amejua ukweli kwamba Dunia ni ndogo tuangalie Corana virus wote tupo kama binadamu ikipatikana kinga ambayo kampuni ya US inatengeneza ni ya Dunia nzima sio ya mabeberu pekee.
Hongereni kwa kujali taifa na kuanza kukutana na upinzani naona Magu kaona ukweli.
Mbona unaanza unaweweseka?Kwani kichaa Cha mbwa humpanda kila mtu huko kwenu? Natamani jibu liwe ndio kwa jinsi mnavyofikiri kinyumenyume nihitimishe huku!