Ziara ya Makonda mikoani inamjenga sana yeye kuliko Chama

Ziara ya Makonda mikoani inamjenga sana yeye kuliko Chama

..wananchi wana changamoto nyingi mno.

..mikutano ya Makonda haichukui zaidi ya masaa mawili kwa wilaya moja.

..huo sio muda wa kutosha kusikiliza matatizo ya wananchi na kuyapatia ufumbuzi.

..wananchi wanakuwa na hamasa kuhusu ujio wa Makonda ktk maeneo yao lakini nina hakika baada ya muda mfupi watagundua wako palepale na matatizo yaleyale kama alivyowakuta Makonda.
Ni mfano, Sio perfect by all means, lakini it send a message huyu akitembelea mkoa wako hakikisha huna dhuruma yoyote au wananchi wataisema.

Itasaidia viongozi wengi kusikiliza kero. Viongozi wote / wengi wakiwajibika na wakiwajibishwa kutakuwa na uwajibikaji. Kero zitapungua. Kila senti itaonyeshwa, muda wao utaonyeshwa umetumikaje kazini kwa uwazi.
 
Ni mfano, Sio perfect by all means, lakini it send a message huyu akitembelea mkoa wako hakikisha huna dhuruma yoyote au wananchi wataisema.

Itasaidia viongozi wengi kusikiliza kero. Viongozi wote / wengi wakiwajibika na wakiwajibishwa kutakuwa na uwajibikaji. Kero zitapungua. Kila senti itaonyeshwa, muda wao utaonyeshwa umetumikaje kazini kwa uwazi.

..tusitegemee mtu.

..tutegemee mfumo.

..nini kitatokea ikiwa atateuliwa Mwenezi mwingine?
 
Habari,

Nimeona Ziara ya Katibu wa itikadi, uenezi na mafunzo wa CCM Taifa Paul Makonda mikoani ni kama inamjenga sana yeye kuliko chama na huenda ikamfanya kuwa na ushawishi mkubwa sana ndani ya CCM na nje ya CCM.
Mara nyingi amekuwa akitumia jukwaa kujielezea yeye zaidi kuliko chama.

Nilitegemea kwenye ziara hii angejikita zaidi katika kutoa mwelekeo wa kisiasa kwa wanachama na umma. Hii ni pamoja na kuelezea sera za chama, kutoa mwelekeo wa maendeleo ya kisiasa, na kueleza msimamo wa chama katika masuala mbalimbali.

Vilevile angetumia fursa hii kusikiliza moja kwa moja mahitaji, maoni, na matarajio ya wanachama wa chama. Hii inaweza kusaidia kuunda sera na mikakati inayojibu mahitaji halisi ya wanachama na jamii kwa ujumla.

Take it or leave it
Uki-local na ujinga ni janga letu Bongo.
1. Hivi dunia ya leo yenye kila aina ya teknolojia unasikiliza mahitaji, maoni na matarajio ya wanachama kwa kuzunguka na msafara wa magari mengi nchi nzima?
2. Hivi matatizo ya nchi yanatatuliwa kwa msafara wa kiongozi mmoja mjinga anayepita kufanya maigizo?
3. Huko alikokwisha pita matatizo yameisha?
 
Habari,

Nimeona Ziara ya Katibu wa itikadi, uenezi na mafunzo wa CCM Taifa Paul Makonda mikoani ni kama inamjenga sana yeye kuliko chama na huenda ikamfanya kuwa na ushawishi mkubwa sana ndani ya CCM na nje ya CCM.
Mara nyingi amekuwa akitumia jukwaa kujielezea yeye zaidi kuliko chama.

Nilitegemea kwenye ziara hii angejikita zaidi katika kutoa mwelekeo wa kisiasa kwa wanachama na umma. Hii ni pamoja na kuelezea sera za chama, kutoa mwelekeo wa maendeleo ya kisiasa, na kueleza msimamo wa chama katika masuala mbalimbali.

Vilevile angetumia fursa hii kusikiliza moja kwa moja mahitaji, maoni, na matarajio ya wanachama wa chama. Hii inaweza kusaidia kuunda sera na mikakati inayojibu mahitaji halisi ya wanachama na jamii kwa ujumla.

Take it or leave it
😂😂😂
 
Uki-local na ujinga ni janga letu Bongo.
1. Hivi dunia ya leo yenye kila aina ya teknolojia unasikiliza mahitaji, maoni na matarajio ya wanachama kwa kuzunguka na msafara wa magari mengi nchi nzima?
2. Hivi matatizo ya nchi yanatatuliwa kwa msafara wa kiongozi mmoja mjinga anayepita kufanya maigizo?
3. Huko alikokwisha pita matatizo yameisha?

..halafu Bashite tayari katembelea Kilimanjaro, Arusha, Manyara, na sasa hivi yuko Singida.

..mimi siamini kama anatatua kero za wananchi.
 
..tusitegemee mtu.

..tutegemee mfumo.

..nini kitatokea ikiwa atateuliwa Mwenezi mwingine?
Mfumo unajengwa na kiongozi thabiti. Mageuzi, mapinduzi yote yana kiongozi kama chuma.

Hiyo ni process kwa nchi maskini, iliyojaa wanafiki, wachumia tumbo, maslahi binafsi, wakabila, mafisadi, wezi kama hii Tanzania.
 
Ni mfano, Sio perfect by all means, lakini it send a message huyu akitembelea mkoa wako hakikisha huna dhuruma yoyote au wananchi wataisema.

Itasaidia viongozi wengi kusikiliza kero. Viongozi wote / wengi wakiwajibika na wakiwajibishwa kutakuwa na uwajibikaji. Kero zitapungua. Kila senti itaonyeshwa, muda wao utaonyeshwa umetumikaje kazini kwa uwazi.
Ni kutotumia akili tu. Magufuli alitembea na kutumbua watu miaka mitano, ina maana kero bado zipo? Yaani uwajibikaji bado tu pamoja na zunguka yote ile ya Magufuli?
 
Mkiambiwa CCM wameishiwa maarifa ndio haya matokeo yake. Sehemu ambazo uongozi wote ni wa CCM tokea wenyeviti wa mtaa mpaka wabunge.... eti bado wanategemea mwenezi ndio apite kusikiliza kero za wananchi.
Tuna safari ndefu sana mpaka kufikia nchi ya asali... tunaweza watu kwenye uongozi kwa kufuata fame badala ya vision.
Ziara ya mwenezi ni full comic na nafikiri raia wanakwenda kusikiliza na kupata viburudisho na sio kutegema matatuzi halisi ya kero zao.
Naona pia anatembelea nyota ya Mbowe... bila ya hivyo ni blah blah tuu... time will tell...
 
..wananchi wana changamoto nyingi mno.

..mikutano ya Makonda haichukui zaidi ya masaa mawili kwa wilaya moja.

..huo sio muda wa kutosha kusikiliza matatizo ya wananchi na kuyapatia ufumbuzi.

..wananchi wanakuwa na hamasa kuhusu ujio wa Makonda ktk maeneo yao lakini nina hakika baada ya muda mfupi watagundua wako palepale na matatizo yaleyale kama alivyowakuta Makonda.
Comment yako ilikuwa mbele ya muda
 
Acha chuki zako na hofu zako kwa Mheshimiwa Makonda.usitake kumkatisha tamaa na kuleta uzushi wako hapa.hayo uliyoyaandika kuwa unataka afanye ni kuwa Mheshimiwa Makonda amefanya zaidi ya hayo unayoyataka wewe.

Mheshimiwa Makonda anasikiliza kero za wananchi,anatoa suluhisho kwa kuwahoji watendaji wa serikali na wahusika wote,anaelezea kwa undani sera za chama, utekelezaji wa ilani, mambo ambayo serikali imefanya na inatarajia kufanya,msimamo wa chama katika mambo mbalimbali na mengine mengi sanaaa .

Sasa wewe unataka afanyeje? Hata hivyo ningependa kukwambia kuwa jina la Mheshimiwa Makonda ni kubwa sana katika Taifa letu.hata kabla ya uteuzi huo Mheshimiwa Makonda alikuwa ni mkubwa sana na mwenye jina kubwa sana kitumishi ,kuichapa kazi ,kiuzalendo, kijasiri,kiupeo,kiubunifu n.k.

Ndio maana uteuzi wake katika nafasi aliyopo kwa sasa ilipokelewa kwa shangwe, nderemo na vifijo vikubwa sana mitaani.ndio maana aliteka habari zote hapa nchini na ndio maana Anaendelea Kuitetemesha nchi kila siku huku macho na masikio ya watanzania yakiwa katika ziara zake.
😂😂😂😂🚮
 
Acha chuki zako na hofu zako kwa Mheshimiwa Makonda.usitake kumkatisha tamaa na kuleta uzushi wako hapa.hayo uliyoyaandika kuwa unataka afanye ni kuwa Mheshimiwa Makonda amefanya zaidi ya hayo unayoyataka wewe.

Mheshimiwa Makonda anasikiliza kero za wananchi,anatoa suluhisho kwa kuwahoji watendaji wa serikali na wahusika wote,anaelezea kwa undani sera za chama, utekelezaji wa ilani, mambo ambayo serikali imefanya na inatarajia kufanya,msimamo wa chama katika mambo mbalimbali na mengine mengi sanaaa .

Sasa wewe unataka afanyeje? Hata hivyo ningependa kukwambia kuwa jina la Mheshimiwa Makonda ni kubwa sana katika Taifa letu.hata kabla ya uteuzi huo Mheshimiwa Makonda alikuwa ni mkubwa sana na mwenye jina kubwa sana kitumishi ,kuichapa kazi ,kiuzalendo, kijasiri,kiupeo,kiubunifu n.k.

Ndio maana uteuzi wake katika nafasi aliyopo kwa sasa ilipokelewa kwa shangwe, nderemo na vifijo vikubwa sana mitaani.ndio maana aliteka habari zote hapa nchini na ndio maana Anaendelea Kuitetemesha nchi kila siku huku macho na masikio ya watanzania yakiwa katika ziara zake.
🤔🙄
 
Back
Top Bottom