Wacha uongo, unafikiri wote ni wajinga?Kampuni ya kimataifa kutoka nchini Misri itawekeza nchini TZS bilioni 460 katika ujenzi wa viwanda 100 vitakavyozalisha ajira za moja kwa moja 10,000 na zisizo za moja kwa moja.
Haya ni matokeo ya ziara ya Mheshimiwa Rais, Samia Suluhu Hassan nchini.
Maosemaga hizi safari ni kufuja mali, mjue kwamba mnakosea pakubwa. Kama kampuni moja inaleta bilioni 460, ni mbali sana zidi ya fedha alizoyumia Mama kwenda Misri.
Kwa ufupi, BIASHARA IMELIPA
Kampuni ya kimataifa kutoka nchini Misri itawekeza nchini TZS bilioni 460 katika ujenzi wa viwanda 100 vitakavyozalisha ajira za moja kwa moja 10,000 na zisizo za moja kwa moja.
Haya ni matokeo ya ziara ya Mheshimiwa Rais, Samia Suluhu Hassan nchini.
Maosemaga hizi safari ni kufuja mali, mjue kwamba mnakosea pakubwa. Kama kampuni moja inaleta bilioni 460, ni mbali sana zidi ya fedha alizoyumia Mama kwenda Misri.
Kwa ufupi, BIASHARA IMELIPA
Lete evidwnce..umeme tu umemushinda hadi maji ya kunuwa.upuuzi mkubwaKampuni ya kimataifa kutoka nchini Misri itawekeza nchini TZS bilioni 460 katika ujenzi wa viwanda 100 vitakavyozalisha ajira za moja kwa moja 10,000 na zisizo za moja kwa moja.
Haya ni matokeo ya ziara ya Mheshimiwa Rais, Samia Suluhu Hassan nchini.
Maosemaga hizi safari ni kufuja mali, mjue kwamba mnakosea pakubwa. Kama kampuni moja inaleta bilioni 460, ni mbali sana zidi ya fedha alizoyumia Mama kwenda Misri.
Kwa ufupi, BIASHARA IMELIPA
Kwani viwanda vya mo cola,mo energy,mo 19 ni shingap kimoja?Duuh! Wee kilaza wee usiye na haya usoni! B460 ijenge viwanda 100? Yaani kila kimoja kijengwe kwa B4.6! Labda kujenga nyumba!
Ushindwe na ulegee shetani mtu!
Kampuni ya kimataifa kutoka nchini Misri itawekeza nchini TZS bilioni 460 katika ujenzi wa viwanda 100 vitakavyozalisha ajira za moja kwa moja 10,000 na zisizo za moja kwa moja.
Haya ni matokeo ya ziara ya Mheshimiwa Rais, Samia Suluhu Hassan nchini.
Maosemaga hizi safari ni kufuja mali, mjue kwamba mnakosea pakubwa. Kama kampuni moja inaleta bilioni 460, ni mbali sana zidi ya fedha alizoyumia Mama kwenda Misri.
Kwa ufupi, BIASHARA IMELIPA
Hahahahaha ila CCM?!
Hata kuandika hujui!!! Evidence gani utaweza kuchambuaLete evidwnce..umeme tu umemushinda hadi maji ya kunuwa.upuuzi mkubwa
Ukweli ni upi mkuu?Wacha uongo, unafikiri wote ni wajinga?
Huyo kilaza ameshindwa kusimamia umeme na maji leo hii aweze kuleta viwanda na muda siyo mrefu usalama wa nchi utakuwa matatani siyo kwa cdc mvivu wa kisa hiki.Kampuni ya kimataifa kutoka nchini Misri itawekeza nchini TZS bilioni 460 katika ujenzi wa viwanda 100 vitakavyozalisha ajira za moja kwa moja 10,000 na zisizo za moja kwa moja.
Haya ni matokeo ya ziara ya Mheshimiwa Rais, Samia Suluhu Hassan nchini.
Maosemaga hizi safari ni kufuja mali, mjue kwamba mnakosea pakubwa. Kama kampuni moja inaleta bilioni 460, ni mbali sana zidi ya fedha alizoyumia Mama kwenda Misri.
Kwa ufupi, BIASHARA IMELIPA
Labda ni kweli unachosema,ila hivyo viwanda tutaviendesha na UMEME upi huu wa mgao au mwingine ?.Kampuni ya kimataifa kutoka nchini Misri itawekeza nchini TZS bilioni 460 katika ujenzi wa viwanda 100 vitakavyozalisha ajira za moja kwa moja 10,000 na zisizo za moja kwa moja.
Haya ni matokeo ya ziara ya Mheshimiwa Rais, Samia Suluhu Hassan nchini.
Maosemaga hizi safari ni kufuja mali, mjue kwamba mnakosea pakubwa. Kama kampuni moja inaleta bilioni 460, ni mbali sana zidi ya fedha alizoyumia Mama kwenda Misri.
Kwa ufupi, BIASHARA IMELIPA
Umeme na maji kwa nini vimekua tatizo?!!..au unaimba tu Kama vyuraHuyo kilaza ameshindwa kusimamia umeme na maji leo hii aweze kuleta viwanda na muda siyo mrefu usalama wa nchi utakuwa matatani siyo kwa cdc mvivu wa kisa hiki.
Itawekeza bilion 460 kwenye paper work lakini kiuhalisia karibia kila kitu mpaka vibarua watatoka kwao .. Kiasi halisi kitakachowekezwa hakizidi bilion 30 trust meKampuni ya kimataifa kutoka nchini Misri itawekeza nchini TZS bilioni 460 katika ujenzi wa viwanda 100 vitakavyozalisha ajira za moja kwa moja 10,000 na zisizo za moja kwa moja.
Haya ni matokeo ya ziara ya Mheshimiwa Rais, Samia Suluhu Hassan nchini.
Maosemaga hizi safari ni kufuja mali, mjue kwamba mnakosea pakubwa. Kama kampuni moja inaleta bilioni 460, ni mbali sana zidi ya fedha alizoyumia Mama kwenda Misri.
Kwa ufupi, BIASHARA IMELIPA
Kwa nini sheikh,una taarifa nyeti!!?Itawekeza bilion 460 kwenye paper work lakini kiuhalisia karibia kila kitu mpaka vibarua watatoka kwao .. Kiasi halisi kitakachowekezwa hakizidi bilion 30 trust me