Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Hakuna muwekezaji kichaa anayeweza kukurupuka kuja kuwekeza kwa sasa hapa Tz. Nchi ambayo iko kwenye ukosefu wa umeme, maji, usalama (fikiria hadithi za serikali kutengeza suala la ugaidi), muwekezaji aje kufanya nini?
Kwanini ni lazima kuwekeza hapa Tz?
Kwanini ni lazima kuwekeza hapa Tz?