Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Usimtukane mkuu unakumbuka enzi za Mobutu seseseko walituambia hata cherehan n kiwanda au umesahau mkuuDuuh! Wee kilaza wee usiye na haya usoni! B460 ijenge viwanda 100? Yaani kila kimoja kijengwe kwa B4.6! Labda kujenga nyumba!
Ushindwe na ulegee shetani mtu!
Unakumbuka kauli ya Samia siku moja alisema baadhi ya wawekezaji wameanza kusita kuja kuwekeza baada ya Rais Magufuli kufariki! Nikamiuliza kweli mwekezaji Smart kwa utawala wa Magufuli ulikuwa bora maana alijua kama kafata vigezo hakuna wa kumsumbua na huduma kama maji na umeme sio tatizo! Sasa wawekezaji mwanaambiana kichaa kashika rungu kila kitu mgao maji, umeme!Hakuna muwekezaji kichaa anayeweza kukurupuka kuja kuwekeza kwa sasa hapa Tz. Nchi ambayo iko kwenye ukosefu wa umeme, maji, usalama (fikiria hadithi za serikali kutengeza suala la ugaidi), muwekezaji aje kufanya nini?
Kwanini ni lazima kuwekeza hapa Tz?
Watanzania wamezoezwa figure za kifisadi, hawaamini kiwanda kujengwa kwa gharama nafuu!!Duuh! Wee kilaza wee usiye na haya usoni! B460 ijenge viwanda 100? Yaani kila kimoja kijengwe kwa B4.6! Labda kujenga nyumba!
Ushindwe na ulegee shetani mtu!
Na wewe ni mpumbavu mwingine! Kamuulize mo mwenyewe!Kwani viwanda vya mo cola,mo energy,mo 19 ni shingap kimoja?
Umekosa weledi wa mjadala. Unge challenge kwa hoja ukitoa mfano wa aina ya kiwanda hata kama ni cha kushona kaniki za bibiako na bibiangu kijijini, kinaweza kutumia sh ngapi na kuajiri watu wangapi? Aina ya mtambo na raw materials. Unakuja kubeza bilioni 460? You can't be serious Ileje!Duuh! Wee kilaza wee usiye na haya usoni! B460 ijenge viwanda 100? Yaani kila kimoja kijengwe kwa B4.6! Labda kujenga nyumba!
Ushindwe na ulegee shetani mtu!
Kwa ivo nje tunaendaga kuomba omba auKampuni ya kimataifa kutoka nchini Misri itawekeza nchini TZS bilioni 460 katika ujenzi wa viwanda 100 vitakavyozalisha ajira za moja kwa moja 10,000 na zisizo za moja kwa moja.
Haya ni matokeo ya ziara ya Mheshimiwa Rais, Samia Suluhu Hassan nchini.
Maosemaga hizi safari ni kufuja mali, mjue kwamba mnakosea pakubwa. Kama kampuni moja inaleta bilioni 460, ni mbali sana zidi ya fedha alizoyumia Mama kwenda Misri.
Kwa ufupi, BIASHARA IMELIPA
Kampuni ya kimataifa kutoka nchini Misri itawekeza nchini TZS bilioni 460 katika ujenzi wa viwanda 100 vitakavyozalisha ajira za moja kwa moja 10,000 na zisizo za moja kwa moja.
Haya ni matokeo ya ziara ya Mheshimiwa Rais, Samia Suluhu Hassan nchini.
Maosemaga hizi safari ni kufuja mali, mjue kwamba mnakosea pakubwa. Kama kampuni moja inaleta bilioni 460, ni mbali sana zidi ya fedha alizoyumia Mama kwenda Misri.
Kwa ufupi, BIASHARA IMELIPA
Mleta uzi kajiunga jf kwa jina la uongo october 2021 , wewe pacha wake umejiunga 09/11/2021 ! uchunguzi kujua kama ni mtu mmoja au la unaendelea .Viwanda 100?!
Siyo kazi yangu kujua, ni jukumu langu kulipia hudumu na wao kutoa huduma.Umeme na maji kwa nini vimekua tatizo?!!..au unaimba tu Kama vyura
Kampuni ya kimataifa kutoka nchini Misri itawekeza nchini TZS bilioni 460 katika ujenzi wa viwanda 100 vitakavyozalisha ajira za moja kwa moja 10,000 na zisizo za moja kwa moja.
Haya ni matokeo ya ziara ya Mheshimiwa Rais, Samia Suluhu Hassan nchini.
Maosemaga hizi safari ni kufuja mali, mjue kwamba mnakosea pakubwa. Kama kampuni moja inaleta bilioni 460, ni mbali sana zidi ya fedha alizoyumia Mama kwenda Misri.
Kwa ufupi, BIASHARA IMELIPA
π«π«π«π«π«π«π«
Kampuni ya kimataifa kutoka nchini Misri itawekeza nchini TZS bilioni 460 katika ujenzi wa viwanda 100 vitakavyozalisha ajira za moja kwa moja 10,000 na zisizo za moja kwa moja.
Haya ni matokeo ya ziara ya Mheshimiwa Rais, Samia Suluhu Hassan nchini.
Maosemaga hizi safari ni kufuja mali, mjue kwamba mnakosea pakubwa. Kama kampuni moja inaleta bilioni 460, ni mbali sana zidi ya fedha alizoyumia Mama kwenda Misri.
Kwa ufupi, BIASHARA IMELIPA
You said it all mkuuItawekeza bilion 460 kwenye paper work lakini kiuhalisia karibia kila kitu mpaka vibarua watatoka kwao .. Kiasi halisi kitakachowekezwa hakizidi bilion 30 trust me