Whitesmith
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 387
- 517
Sasa kwann mlimuweka awe makamu wa Rais aise,niambieni nyie CCM mlikuwa na maana gani?Mwanamke huongozwa na mwanaume! Eti leo hi mwanamke anaongoza wanaume zaidi ya milion, kadili muda unavyozidi kwenda tutegemee kufeli zaidi.
Aisee embu kunywa fanta orangeKwanini msisubiri muwe na taarifa rasmi kuliko kupotosha watu? Ni lini umeambiwa gesi itafika huko kabla ya Tanzania kupata? Kuna futi za ujazo zaidi ya trillion 50 unadhani hakuna surplus ya kuuzwa nje?
By the way hilo bomba tutawapa gesi bure au wananunua? Urusi pamoja ma kuwa na vita ya kiuchumi na EU bado wanawauzia gesi? Maana kuna faida inaingia kwao hafanyi bure pale.
Dunia inaelekea kwenye economic intergration na Common market kupitia regional integration na digital markets ila sisi tunawaza mambo ya kuisolate kiuchumi eti kuogopa ushindani!?
JPM alituharibu sana akili
Shida yenu UVCCM elimu ndogo ni vizuri masuala ya kitaaluma muachie wenye taaluma zako mtu anakuja na concept za kiuchumi unajibu kwa mipasho.Unaandika vizungu viiingiii ushuzi mtupu!
Monopolistik sijui manini nini!
Uhuru Kenyatta ni mjanja wa mjini yule.
Kashampiga bao Bibi SASHA.
Elewa logic ya hoja.Kwa hiyo Samia ni Rais wa Zanzibar s
Swali la kwanza nakubali kweli kuwa sina draft ya hiyo alliance agreement, lakini history never lies, and time will tell. Anayofanya ni marudia ya history. Hakuna draft itakayosmea kuwa KQ itaisadia ATCL ipate fiada ilihali wao wenyewe kwa miaka zaidi ya 15 hawajahi kupata faida. Labda useme tu kuwa hakuna drafta hiyo ila hayo yalikuwa maongezi ya kufurahisha umma tu.Unayo draft nzima ya hiyo strategic alliance ama unatumia speculations tu?
Kampuni iliingiza hasara kubwa kipindi cha JPM (Na usiseme kuna investment imefanyika coz ndege zinakodiwa) but still haikua profitable enough.
Anakuja Mama kujaribu kutafuta namna ya ku offset hasara mnaanza kumlinganisha na JPM. Hivi JPM kafanikiwa nini kwenye aviation industry zaidi ya kununua ndege ambazo hazikuleta faida?
Kuishi na majirani ni kitu kimoja, lakini usaiche nyumba yako mlango wazi wakati jirani yako anafunga mlango kwake. Sihi na majirani kwa busara ukijirinda maslahi yako, usiishi ukitegemea jirani yako ndiye awe mlizni wa msalahi yakoTujifunze kuishi vizuri na majirani. Dunia ni kijiji sasa. Ni vema kuimarisha diplomasia ya uchumi kuliko kutunishiana misuri. Tuunge mkono Mhe. Samia Suluhu Hassan na Mhe. Uhuru Kenyatta kuongoza vema nchi zetu mbili.
Tusiwe na roho za ubinafsi katika kufikiria kuhusu biashara na kujiona sisi ndiyo sisi kama mwendazake.Napenda kuandika kidogo tu kulingana na uwelewa wangu juu ya Ziara ya Mama nchi Kenya na mikataba mlio tiana sign.
1. Ujenzi wa bomba la gas kutoka Tanzania kwenda Mombasa kwa ajili ya matumizi ya viwanda nchini Kenya,hapa mama unefail pakubwa sana maana yake nikwamba bidhaa za Kenya zitakuwa zinazalishwa kwa gharama nafuu zaidi na kuteka soko la Africa Mashariki kuliko Tanzania. Tutarudi miaka ya nyuma tena kila kitu Made in Kenya.
a. Hii sera yetu ya viwanda itakufa maana hatuweza kushindana tena na product kutoka Kenya na vijana wetu watazidi kuwa wachuuzi wa bidhaa kutoka nje.
b. Kenya itatumia mwanya huu kuvutia wawekezaji kutoka nje kuwekeza Kenya kuliko kuja kuwekeza Tanzania.
c. Tunasafirisha gas kama kuna surplus ya viwanda vyetu na matumizi yetu kama Taifa.Viwanda vyetu bado vinahitaji nishati ya gas lakini bado upatikanaji wake umekuwa mgumu na kwa gharama kubwa
d. Kenyatta amecheza karata yake vizuri katika ujenzi wa gas kuliko Mama sijui washauri wake wamekwama wapi natarajia kuona Kenya ikinufaika zaidi katika utawala wa Mama kuliko kipindi chochote kile katika historia ya Tanzania na Kenya.
2. Ushirikiano wa anga..hapa Kenyatta anatafuta namna ya kuisaidia Kenya airways..inakwenda ku dominate soko na anga tena kama huko nyuma.hapa kumbuka faidia kubwa ya Kenya Airways inatokana na safari za Tanzania. Dsm, Zanzibar na Kilimanjaro.
Hapa tutalajie Air Tanzania ikifa kifo cha mende kutokana kutoweza kumudu ushindani na Kenya airways. Otherwise kufanyike changes za haraka katika Management ya Air Tanzania.
3. Soko la utalii hapa Kenyatta amecheza vizuri kama pele.
Tutalajie kuona vijana wetu wakiwa watazamaji kama kipindi cha nyuma na soko la utalii nikirudi mikononi mwa wakenya tena.(hapa kwenye utalii wenye fan zao wanaweza kudadavua kwanini Kenyatta amecheza kama Pela)
4. Biashara sioni jipya ni yale yale, hapa Mama ametoka 0-0
Note: Mama washuri wake wamshauri vizuri kabla yakwenda kufanya mikataba kwa niaba ya Watanganyika. Otherwise akubali kutuachia Tanganyika yetu!
Kwan hiyo gesi inatolewa bure, Bali inauzwaTanzania ghafla inakuwa nchi ya ajabu ni aibu kubwa sana.
Ulichoongea ni kweli watu Wana akili za kimaskin, kikubwa kuwe na win win situationTusiwe na roho za ubinafsi katika kufikiria kuhusu biashara na kujiona sisi ndiyo sisi kama mwendazake.
Kwani hilo bomba la gas kujengwa ndiyo kupeleka bure hiyo gas.?
Hofu ya nini kuhusu viwanda vya kenya? Kama hatuwezi kuwawezesha watu wetu acha wao wafanye.
Tuache kulalamika hizi nishati asilia ni kwa manufaa ya dunia yote.
Ni sawa leo nchi za uzalishaji wa mafuta petrol/dizel zione sisi tunafaidi kuliko wao.
Mi naumia mno basi tu sina la kufanyaHili suala la kuweka restriction za corona na kujipendekeza kwa watu sijajua mshauri ni nani, inatuletea picha ya udhaifu! Akimaliza hii ya Magufuli, itakuwa ngumu sana mimi kumpigia kura, niwe mkweli, nachukia udhaifu dhaifu kwenye uongozi! Tunarudi tena enzi za msoga sasa.
Kwani strategic alliance ni necessarily kutafuta faida ama kupunguza operational costs? Mbona mandege makubwa huko ulimwenguni yanashirikiana kwenye kufanya safari na masuala mengine ya logistics? Kwanini unaona ku isolate ndio kutatusaidia wakati umetupelekea mabilion 60 ya hasara!!Swali la kwanza nakubali kweli kuwa sina draft ya hiyo alliance agreement, lakini history never lies, and time will tell. Anayofanya ni marudia ya history. Hakuna draft itakayosmea kuwa KQ itaisadia ATCL ipate fiada ilihali wao wenyewe kwa miaka zaidi ya 15 hawajahi kupata faida. Labda useme tu kuwa hakuna drafta hiyo ila hayo yalikuwa maongezi ya kufurahisha umma tu.
Hapa pia unapotosha mkuu hizi tabia za JPM hazikufai kwa msomi kama wewe. Hiyo hasara ya KQ ni kubwa hivyo sababu pia Mtaji wao ni mkubwa sana kuliko ATCL. Maana huwezi pata hasara kubwa hivyo kama hauna mtaji au operating expenses kubwa. So unapofanya comparison ya hasara pia pima na level ya uwekezaji/Mtaji, na gharama za uendeshaji.Sentensi zako za pili na tatu ni B/S tupu kwani unarudia nyimbo za tangu 1995; blah blah blah! shirika halipati faida tutafute mwekezaji kutoka nje atusadie ili shirika lianza kujiendesha kwa faida. Nani alikwambia kuwa KQ inapata faida? Watu kama wewe hamuoni faida za kuwa na shirkika la ndege mnaangalia financial statements tu. Africa nzima ni Ethipian tu inayopata faida, hao wengine wote including KQ wanaoperate kwa hasara kwa huwasemi bali ATCL ndiyo iwe Nongwa. KQ ilipata hasara ya zaidi ya $330 na hizo siyo kwa sababu sawa na za ATCL ambazo mitigable.
Jibu wewe uliifanyia nini? Au unafikiri yote tungetumia sisi bila kutafuta mas
Wazee wa ndio "mama" utawajua tuKwani ulisikia Samia katoka Kolomije? Naye ni wa mjini kuliko Kenyatta kwahiyo ngoma droo. Aliyekuwa wa shamba now anaongoza malaika huko nchi ipo kwa mtoto wa mjini sasa hivi.
Alikuwa makamu wa rais na aliongozwa na mwanaumeSasa kwann mlimuweka awe makamu wa Rais aise,niambieni nyie CCM mlikuwa na maana gani?
Who the hell is Kitila Mkumbo? — To begin with.Hivi ww una akili kuliko Kina Kitila Mkumbo?.
Nonsense!Napenda kuandika kidogo tu kulingana na uwelewa wangu juu ya Ziara ya Mama nchi Kenya na mikataba mlio tiana sign.
1. Ujenzi wa bomba la gas kutoka Tanzania kwenda Mombasa kwa ajili ya matumizi ya viwanda nchini Kenya,hapa mama unefail pakubwa sana maana yake nikwamba bidhaa za Kenya zitakuwa zinazalishwa kwa gharama nafuu zaidi na kuteka soko la Africa Mashariki kuliko Tanzania. Tutarudi miaka ya nyuma tena kila kitu Made in Kenya.
a. Hii sera yetu ya viwanda itakufa maana hatuweza kushindana tena na product kutoka Kenya na vijana wetu watazidi kuwa wachuuzi wa bidhaa kutoka nje.
b. Kenya itatumia mwanya huu kuvutia wawekezaji kutoka nje kuwekeza Kenya kuliko kuja kuwekeza Tanzania.
c. Tunasafirisha gas kama kuna surplus ya viwanda vyetu na matumizi yetu kama Taifa.Viwanda vyetu bado vinahitaji nishati ya gas lakini bado upatikanaji wake umekuwa mgumu na kwa gharama kubwa
d. Kenyatta amecheza karata yake vizuri katika ujenzi wa gas kuliko Mama sijui washauri wake wamekwama wapi natarajia kuona Kenya ikinufaika zaidi katika utawala wa Mama kuliko kipindi chochote kile katika historia ya Tanzania na Kenya.
2. Ushirikiano wa anga..hapa Kenyatta anatafuta namna ya kuisaidia Kenya airways..inakwenda ku dominate soko na anga tena kama huko nyuma.hapa kumbuka faidia kubwa ya Kenya Airways inatokana na safari za Tanzania. Dsm, Zanzibar na Kilimanjaro.
Hapa tutalajie Air Tanzania ikifa kifo cha mende kutokana kutoweza kumudu ushindani na Kenya airways. Otherwise kufanyike changes za haraka katika Management ya Air Tanzania.
3. Soko la utalii hapa Kenyatta amecheza vizuri kama pele.
Tutalajie kuona vijana wetu wakiwa watazamaji kama kipindi cha nyuma na soko la utalii nikirudi mikononi mwa wakenya tena.(hapa kwenye utalii wenye fan zao wanaweza kudadavua kwanini Kenyatta amecheza kama Pela)
4. Biashara sioni jipya ni yale yale, hapa Mama ametoka 0-0
Note: Mama washuri wake wamshauri vizuri kabla yakwenda kufanya mikataba kwa niaba ya Watanganyika. Otherwise akubali kutuachia Tanganyika yetu!
Who are you? Una impact gani kwenye jamii wewe? at least mwenzio ni Prof. Kazalisha wasomi wanaolijenga taifa. Kazi yako kujifanya kukosoa tu ila nna uhakika ukipewa hata NGO hakuna jipya utakalofanya.Who the hell is Kitila Mkumbo? — To begin with.
Sioni tatizo kwenye ujenzi wa bomba la gesi endapo serikali itamaliza mivutano iliyopo kati yake na makampuni ya LNG na gesi ikaanza kusafirishwa.Napenda kuandika kidogo tu kulingana na uwelewa wangu juu ya Ziara ya Mama nchi Kenya na mikataba mlio tiana sign.
1. Ujenzi wa bomba la gas kutoka Tanzania kwenda Mombasa kwa ajili ya matumizi ya viwanda nchini Kenya,hapa mama unefail pakubwa sana maana yake nikwamba bidhaa za Kenya zitakuwa zinazalishwa kwa gharama nafuu zaidi na kuteka soko la Africa Mashariki kuliko Tanzania. Tutarudi miaka ya nyuma tena kila kitu Made in Kenya.
a. Hii sera yetu ya viwanda itakufa maana hatuweza kushindana tena na product kutoka Kenya na vijana wetu watazidi kuwa wachuuzi wa bidhaa kutoka nje.
b. Kenya itatumia mwanya huu kuvutia wawekezaji kutoka nje kuwekeza Kenya kuliko kuja kuwekeza Tanzania.
c. Tunasafirisha gas kama kuna surplus ya viwanda vyetu na matumizi yetu kama Taifa.Viwanda vyetu bado vinahitaji nishati ya gas lakini bado upatikanaji wake umekuwa mgumu na kwa gharama kubwa
d. Kenyatta amecheza karata yake vizuri katika ujenzi wa gas kuliko Mama sijui washauri wake wamekwama wapi natarajia kuona Kenya ikinufaika zaidi katika utawala wa Mama kuliko kipindi chochote kile katika historia ya Tanzania na Kenya.
2. Ushirikiano wa anga..hapa Kenyatta anatafuta namna ya kuisaidia Kenya airways..inakwenda ku dominate soko na anga tena kama huko nyuma.hapa kumbuka faidia kubwa ya Kenya Airways inatokana na safari za Tanzania. Dsm, Zanzibar na Kilimanjaro.
Hapa tutalajie Air Tanzania ikifa kifo cha mende kutokana kutoweza kumudu ushindani na Kenya airways. Otherwise kufanyike changes za haraka katika Management ya Air Tanzania.
3. Soko la utalii hapa Kenyatta amecheza vizuri kama pele.
Tutalajie kuona vijana wetu wakiwa watazamaji kama kipindi cha nyuma na soko la utalii nikirudi mikononi mwa wakenya tena.(hapa kwenye utalii wenye fan zao wanaweza kudadavua kwanini Kenyatta amecheza kama Pela)
4. Biashara sioni jipya ni yale yale, hapa Mama ametoka 0-0
Note: Mama washuri wake wamshauri vizuri kabla yakwenda kufanya mikataba kwa niaba ya Watanganyika. Otherwise akubali kutuachia Tanganyika yetu!
"Impact" yangu ni kushughulika na wajuaji wasiojua kitu kama wewe hususani kwenye mitandao.Una impact gani kwenye jamii wewe?
Wewe ulikuwa ndio "nani"??Wazee wa ndio "mama" utawajua tu
Alikuwa makamu wa rais na aliongozwa na mwanaume