Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,160
- 9,151
Haya mavitu yaliyoka ardhini yalishajulikana siku nyingi kabla hata ya 9 Dec 1961 na ndio msingi wa rangi ya njano kwenye bendera. Hawagundui, wana-extract na kutumia mikopo ya kudhaminiwa na serikali yetu wenyewe au kupewa mikopo hiyo na mabenki yetu hapa.
Akope kwao, awekeze hapa, faida tu ndo aruhusiwe kupeleka kwao. Sasa anakopa hapa, uendeshaji wa kampuni unafanyikia kwao, malipo yanafanyikia kwao, mauzo yanafanyikia kwao, ni akili ya wapi hii?
Wanywaji wana uwezo wa kuweka vinywaji ndani ila wa apendelea kufuata vinywaji bar, vivo hivyo kwa bidhaa adimu, unadhani ipo siku mwarabu atazuiwa kuza mafuta soko la dunia? Au sisi tutasubiri mchina alete maronyaronya yake hapa ndo tununue?
Why don't we do the extraction ourselves? If that is as easy as we talk