Ziara ya Rais Samia nchini Kenya, Mama anakosea

Ziara ya Rais Samia nchini Kenya, Mama anakosea

Napenda kuandika kidogo tu kulingana na uwelewa wangu juu ya Ziara ya Mama nchi Kenya na mikataba mlio tiana sign.

1. Ujenzi wa bomba la gas kutoka Tanzania kwenda Mombasa kwa ajili ya matumizi ya viwanda nchini Kenya,hapa mama unefail pakubwa sana maana yake nikwamba bidhaa za Kenya zitakuwa zinazalishwa kwa gharama nafuu zaidi na kuteka soko la Africa Mashariki kuliko Tanzania. Tutarudi miaka ya nyuma tena kila kitu Made in Kenya.

a. Hii sera yetu ya viwanda itakufa maana hatuweza kushindana tena na product kutoka Kenya na vijana wetu watazidi kuwa wachuuzi wa bidhaa kutoka nje.

b. Kenya itatumia mwanya huu kuvutia wawekezaji kutoka nje kuwekeza Kenya kuliko kuja kuwekeza Tanzania.

c. Tunasafirisha gas kama kuna surplus ya viwanda vyetu na matumizi yetu kama Taifa.Viwanda vyetu bado vinahitaji nishati ya gas lakini bado upatikanaji wake umekuwa mgumu na kwa gharama kubwa

d. Kenyatta amecheza karata yake vizuri katika ujenzi wa gas kuliko Mama sijui washauri wake wamekwama wapi natarajia kuona Kenya ikinufaika zaidi katika utawala wa Mama kuliko kipindi chochote kile katika historia ya Tanzania na Kenya.

2. Ushirikiano wa anga..hapa Kenyatta anatafuta namna ya kuisaidia Kenya airways..inakwenda ku dominate soko na anga tena kama huko nyuma.hapa kumbuka faidia kubwa ya Kenya Airways inatokana na safari za Tanzania. Dsm, Zanzibar na Kilimanjaro.

Hapa tutalajie Air Tanzania ikifa kifo cha mende kutokana kutoweza kumudu ushindani na Kenya airways. Otherwise kufanyike changes za haraka katika Management ya Air Tanzania.

3. Soko la utalii hapa Kenyatta amecheza vizuri kama pele.
Tutalajie kuona vijana wetu wakiwa watazamaji kama kipindi cha nyuma na soko la utalii nikirudi mikononi mwa wakenya tena.(hapa kwenye utalii wenye fan zao wanaweza kudadavua kwanini Kenyatta amecheza kama Pela)

4. Biashara sioni jipya ni yale yale, hapa Mama ametoka 0-0

Note: Mama washuri wake wamshauri vizuri kabla yakwenda kufanya mikataba kwa niaba ya Watanganyika. Otherwise akubali kutuachia Tanganyika yetu!
Mimi binafsi sioni shida ya hayo yote ulioyataja. Uhusiano kati ya taifa moja na jingine ni muhimu cha msingi ni kujali maslahi yenye usawa kwa manufaa ya raia wa hizo nchi. Cha msingi ni kuzitazama upya sera zetu za mahusiano na ushirikiano dhidi ya mataifa mengine ziwe zenye kuleta manufaa kwa umma. Wawekezaji sio shida au kuuza raslimali sio shida. Shida inakuja unauza kwa sababu gani? Tena kwa shilingi ngapi? Na nani mnufaika wa hayo mauzo? Je taifa limeridhia kufanya hayo mauzo? Taifa letu limekuwa likipigwa na wajanja wachache ambao sio wazalendo kwa taifa hili.
Dunia ya sasa ni ya ushindani na ukishindana unakwenda mbele ila usiposhindana wewe unakuwa hoehae. Cha msingi tuboreshe na tutekeleze sera mazubuti na safi katika sekta za elimu,viwanda,kilimo,usafirishaji na nishati.
 
Note: Mama washuri wake wamshauri vizuri kabla yakwenda kufanya mikataba kwa niaba ya Watanganyika. Otherwise akubali kutuachia Tanganyika yetu!
Hapa unamaanisha nini?
 
Hili suala la kuweka restriction za corona na kujipendekeza kwa watu sijajua mshauri ni nani, inatuletea picha ya udhaifu! Akimaliza hii ya Magufuli, itakuwa ngumu sana mimi kumpigia kura, niwe mkweli, nachukia udhaifu dhaifu kwenye uongozi! Tunarudi tena enzi za msoga sasa.
Nyie watu ni wajinga sana.
 
Ukisoma baadhi ya michango humu unabaki kujiuliza hivi hawa watu waneenda shule au walikuwa wanasindikiza wenzao ?
 
Napenda kuandika kidogo tu kulingana na uwelewa wangu juu ya Ziara ya Mama nchi Kenya na mikataba mlio tiana sign.

1. Ujenzi wa bomba la gas kutoka Tanzania kwenda Mombasa kwa ajili ya matumizi ya viwanda nchini Kenya,hapa mama unefail pakubwa sana maana yake nikwamba bidhaa za Kenya zitakuwa zinazalishwa kwa gharama nafuu zaidi na kuteka soko la Africa Mashariki kuliko Tanzania. Tutarudi miaka ya nyuma tena kila kitu Made in Kenya.

a. Hii sera yetu ya viwanda itakufa maana hatuweza kushindana tena na product kutoka Kenya na vijana wetu watazidi kuwa wachuuzi wa bidhaa kutoka nje.

b. Kenya itatumia mwanya huu kuvutia wawekezaji kutoka nje kuwekeza Kenya kuliko kuja kuwekeza Tanzania.

c. Tunasafirisha gas kama kuna surplus ya viwanda vyetu na matumizi yetu kama Taifa.Viwanda vyetu bado vinahitaji nishati ya gas lakini bado upatikanaji wake umekuwa mgumu na kwa gharama kubwa

d. Kenyatta amecheza karata yake vizuri katika ujenzi wa gas kuliko Mama sijui washauri wake wamekwama wapi natarajia kuona Kenya ikinufaika zaidi katika utawala wa Mama kuliko kipindi chochote kile katika historia ya Tanzania na Kenya.

2. Ushirikiano wa anga..hapa Kenyatta anatafuta namna ya kuisaidia Kenya airways..inakwenda ku dominate soko na anga tena kama huko nyuma.hapa kumbuka faidia kubwa ya Kenya Airways inatokana na safari za Tanzania. Dsm, Zanzibar na Kilimanjaro.

Hapa tutalajie Air Tanzania ikifa kifo cha mende kutokana kutoweza kumudu ushindani na Kenya airways. Otherwise kufanyike changes za haraka katika Management ya Air Tanzania.

3. Soko la utalii hapa Kenyatta amecheza vizuri kama pele.
Tutalajie kuona vijana wetu wakiwa watazamaji kama kipindi cha nyuma na soko la utalii nikirudi mikononi mwa wakenya tena.(hapa kwenye utalii wenye fan zao wanaweza kudadavua kwanini Kenyatta amecheza kama Pela)

4. Biashara sioni jipya ni yale yale, hapa Mama ametoka 0-0

Note: Mama washuri wake wamshauri vizuri kabla yakwenda kufanya mikataba kwa niaba ya Watanganyika. Otherwise akubali kutuachia Tanganyika yetu!
Unaikumbuka ile ahadi ya Tanzania ya viwanda? Iliishia wapi?
Unajua maana ya protection policy?
Kama ni hivyo basi Holland wasingekuwa wanauza gas yao kwa nchi majirani zake huko ulaya? Yaani nchi iache kushirikiana na majirani KISA kulinda gas???
 
Hili suala la kuweka restriction za corona na kujipendekeza kwa watu sijajua mshauri ni nani, inatuletea picha ya udhaifu! Akimaliza hii ya Magufuli, itakuwa ngumu sana mimi kumpigia kura, niwe mkweli, nachukia udhaifu dhaifu kwenye uongozi! Tunarudi tena enzi za msoga sasa.
Kama kura ingekuwa ndio inachagua viongozi usingeruhusiwa kupiga. Lakini kura yako ni tafrija tu mama hadi 2030

Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
 
Napenda kuandika kidogo tu kulingana na uwelewa wangu juu ya Ziara ya Mama nchi Kenya na mikataba mlio tiana sign.

1. Ujenzi wa bomba la gas kutoka Tanzania kwenda Mombasa kwa ajili ya matumizi ya viwanda nchini Kenya,hapa mama unefail pakubwa sana maana yake nikwamba bidhaa za Kenya zitakuwa zinazalishwa kwa gharama nafuu zaidi na kuteka soko la Africa Mashariki kuliko Tanzania. Tutarudi miaka ya nyuma tena kila kitu Made in Kenya.

a. Hii sera yetu ya viwanda itakufa maana hatuweza kushindana tena na product kutoka Kenya na vijana wetu watazidi kuwa wachuuzi wa bidhaa kutoka nje.

b. Kenya itatumia mwanya huu kuvutia wawekezaji kutoka nje kuwekeza Kenya kuliko kuja kuwekeza Tanzania.

c. Tunasafirisha gas kama kuna surplus ya viwanda vyetu na matumizi yetu kama Taifa.Viwanda vyetu bado vinahitaji nishati ya gas lakini bado upatikanaji wake umekuwa mgumu na kwa gharama kubwa

d. Kenyatta amecheza karata yake vizuri katika ujenzi wa gas kuliko Mama sijui washauri wake wamekwama wapi natarajia kuona Kenya ikinufaika zaidi katika utawala wa Mama kuliko kipindi chochote kile katika historia ya Tanzania na Kenya.

2. Ushirikiano wa anga..hapa Kenyatta anatafuta namna ya kuisaidia Kenya airways..inakwenda ku dominate soko na anga tena kama huko nyuma.hapa kumbuka faidia kubwa ya Kenya Airways inatokana na safari za Tanzania. Dsm, Zanzibar na Kilimanjaro.

Hapa tutalajie Air Tanzania ikifa kifo cha mende kutokana kutoweza kumudu ushindani na Kenya airways. Otherwise kufanyike changes za haraka katika Management ya Air Tanzania.

3. Soko la utalii hapa Kenyatta amecheza vizuri kama pele.
Tutalajie kuona vijana wetu wakiwa watazamaji kama kipindi cha nyuma na soko la utalii nikirudi mikononi mwa wakenya tena.(hapa kwenye utalii wenye fan zao wanaweza kudadavua kwanini Kenyatta amecheza kama Pela)

4. Biashara sioni jipya ni yale yale, hapa Mama ametoka 0-0

Note: Mama washuri wake wamshauri vizuri kabla yakwenda kufanya mikataba kwa niaba ya Watanganyika. Otherwise akubali kutuachia Tanganyika yetu!
Nonesense ….. Wapinga kristo …..Wanaoteseka …..Wafuasi wa ……..
 
Mama Rais Samia Suluhu Hassan ametimiza kiu yetu ya muda mrefu ya kuona Kenya na Tanzania tukiishi kama Majirani na ndugu. Kenya ni kama Zanzibar tu hatuwezi kuikwepa.

Gas yetu imeka ardhini huko Mtwara ni wakati sasa iende Kenya na sisi tukafaidi njiani. Itakapopita kwenda Kenya kwenye njia Nzima Viwanda vitawekezwa na wananchi wetu watapata ajira.

Uganda wanaitaka pia itafuata Bomba hilo hilo la mafuta toka Tanga itaenda Uganda sisi tunakuwa na bidhaa mpya ya kuuza nje.

Jana amesema wazi tunakalia Uchumi ni wakati wa kuamka.

Rais Samia anataka tushurikiane na Kenya kwenye Utalii ni jambo kubwa mno tutapata watalii wengi sana kama wataweza kujua kwamba anaweza kupanda mlima Kilimanjaro na akaenda kufurahia Bahari kule Mombasa kwa kampuni ile ile

Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
 
Shida sio kuuza nje..Tunauza nje kwa faida ipi je sisi wenyewe imetutosheleza kwanza?

Kama uwekejazi wa gas ulitokana na kodi za watanzania basi watanzania hao hao kwanza ndio wafaidike na kodi zao.

Tuuze gas baada ya sisi kuwa imetutosheleza kile kinachozidi (surplus)ndio kiuuzwe.

Viwanda vyetu wenyewe vinahitaji gas lakini gas hiyo hiyo hawapewi..inakuwaje unakwenda kumpa jirani yako!
Mkuu pamoja na yote....wasiwasi wangu mkubwa ni jinsi tunavyopeleka natura gas kenya....wanaweza wakajenga kiwanda cha kuiprocess na kutuuzia tena huku tz....upuuzi huu hauvumiliki kwa kweli...

Issue za utalii...mambo ya free visa na mambo mengine ya biashara yatupasa kushirikiana nao kwa akili.....bora equal competition ukawepo na si unequal terms

Mfano issue ya ardhi...asilimia kubwa kenya ni ghali na haipo imemilikiwa....tofauti na Tz......hivyo kuna baadhi ya mambo hayatakiwi yaruhusiwe....kufanya hivyo ni kuuza nchi hii
 
Mama Rais Samia Suluhu Hassan ametimiza kiu yetu ya muda mrefu ya kuona Kenya na Tanzania tukiishi kama Majirani na ndugu. Kenya ni kama Zanzibar tu hatuwezi kuikwepa.

Gas yetu imeka ardhini huko Mtwara ni wakati sasa iende Kenya na sisi tukafaidi njiani. Itakapopita kwenda Kenya kwenye njia Nzima Viwanda vitawekezwa na wananchi wetu watapata ajira.

Uganda wanaitaka pia itafuata Bomba hilo hilo la mafuta toka Tanga itaenda Uganda sisi tunakuwa na bidhaa mpya ya kuuza nje.

Jana amesema wazi tunakalia Uchumi ni wakati wa kuamka.

Rais Samia anataka tushurikiane na Kenya kwenye Utalii ni jambo kubwa mno tutapata watalii wengi sana kama wataweza kujua kwamba anaweza kupanda mlima Kilimanjaro na akaenda kufurahia Bahari kule Mombasa kwa kampuni ile ile

Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
Vipi wakiifanyia biashara na kuunza kuuza nje ya nchi kupitia mombasa port?...
 
Mama Rais Samia Suluhu Hassan ametimiza kiu yetu ya muda mrefu ya kuona Kenya na Tanzania tukiishi kama Majirani na ndugu. Kenya ni kama Zanzibar tu hatuwezi kuikwepa.

Gas yetu imeka ardhini huko Mtwara ni wakati sasa iende Kenya na sisi tukafaidi njiani. Itakapopita kwenda Kenya kwenye njia Nzima Viwanda vitawekezwa na wananchi wetu watapata ajira.

Uganda wanaitaka pia itafuata Bomba hilo hilo la mafuta toka Tanga itaenda Uganda sisi tunakuwa na bidhaa mpya ya kuuza nje.

Jana amesema wazi tunakalia Uchumi ni wakati wa kuamka.

Rais Samia anataka tushurikiane na Kenya kwenye Utalii ni jambo kubwa mno tutapata watalii wengi sana kama wataweza kujua kwamba anaweza kupanda mlima Kilimanjaro na akaenda kufurahia Bahari kule Mombasa kwa kampuni ile ile

Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
Hatuna haraka....ni bora ikae kuliko kutumiwa isivyo....mbeleni huko yamkini tuta.............
 
Unaandika vizungu viiingiii ushuzi mtupu!

Monopolistik sijui manini nini!

Uhuru Kenyatta ni mjanja wa mjini yule.

Kashampiga bao Bibi SASHA.

Umesababisha nimecheka sana, ila mwenzako anakuambia ukweli haswa. Kwa mfano sisi huku tunauza maua kwenda Ulaya, haimaanishi ni yapo surplus kwetu.
 
Kuna wajinga wa CCM wameanza kampeni ya chini kwa chini eti Mama Samia awe Raisi wa Muhula mmoja na wanataka yule Waziri Mkuu Bogus awe Raisi
Tunasema hivi hatutaki kuwa Korea ya Kaskazini
Mkuu Imhotep, ni vyema tukawaambia mapema! Sote tunasema kwa mwendo huu wa Mama ni MITANO TENA. Wakulima wa Kaskazini Mashariki sote tupo kwa mama.
 
Back
Top Bottom