imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Wasiwasi wako tuWatu gani Sasa wakati fursa anazigawa kwa jirani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasiwasi wako tuWatu gani Sasa wakati fursa anazigawa kwa jirani
Kinacholalamikiwa ni viwanda vya ndani kunyimwa gesi halafu unaenda kumpa mtu wa nje, kwani ukatumia hata 1% tu ya ubongo wako, utapungukiwa na nini?Wewe miaka yote gesi uliifanyia nini??
Ustaarabu sio udhaifu, na Kiburi sio uimara.Hili suala la kuweka restriction za corona na kujipendekeza kwa watu sijajua mshauri ni nani, inatuletea picha ya udhaifu! Akimaliza hii ya Magufuli, itakuwa ngumu sana mimi kumpigia kura, niwe mkweli, nachukia udhaifu dhaifu kwenye uongozi! Tunarudi tena enzi za msoga sasa..
Predecessor wa MAMA kawachia ujenga mkubwa sn Wa-Tanzania walikuwa wengi.Ustaarabu sio udhaifu, na Kiburi sio uimara.
hawa hawakunyimwa mkuu. hivi kwa akili ya kawaidavtu serikali inaweza mmnyima muwekezaji gesi. issue ni kuwa hawa walitaka gesi kwa bei ya chini mno ndio waliposhindwana. katika biashara hivi ni vitu vya kawaida sana.Uliposema viwanda na gesi, nimekumbuka, Dangote alinyimwa gesi akaamua kutumia Makaa, wakamkatalia pia.
Bakhresa, akanyimwa gesi pale Mwandege.
Gesi ya serikali iliyobaki imesambazwa majumbani kwa staffs wa TPDC na Kinyerezi Tanesco.
Ngoja tuone viwanda vyetu hivi vya mikocheni(TPDC) na Kinyerezi vitakavyoshindana na vile vya urithi vya Kenya vitakavyozalisha kwa urahisi wa gesi yetu wenyewe.
Kwahiyo kuwa pushover ndio ustaarabu sio?Ustaarabu sio udhaifu, na Kiburi sio uimara.
Interesting!!Kinachonishangaza Zanzibar waliondoa maswala ya gesi na mafuta kuwa siyo vitu vya muungano lakini leo hii mzanzibar anaenda kusaini mkataba wa gesi ya Tanganyika hii siyo halali
Kwahili kweli tutamkumbuka JPM"Najua mtanikumbuka kwa mazuri tu na si mabaya"
(Mwenda zake 2021AD)
Tembea nchi za wenzetu ujionee, tatizo mmezaliwa Mbalizi, mkakulia ilula na hata passport ya kusafiria huna, huwezi jua nchi za wenzetu wanaishije. Watanzania mnahisi tuko zama za ujamaa kwamba uchumi wetu ni wa state owned control. Tembeeni muone hata China huko wameingia mikataba mingi kuuza bidhaa zao nje ndio umeona maendeleo. Huwezi kuwa na bidhaa ukakaa nayo eti kisa mtu atakupita uzalishaji.Kwahiyo kuwa pushover ndio ustaarabu sio?
Hayo maneno ya mkosaji !!fikra za miaka ya 50!!, wanawake wameongoza wazungu na kuleta maendeleo makubwa itakuwa kwa mwafrika, tena mtanzania?!!huyo mwanaume aliyeongoza miaka mitano , maendeleo gani ameyaleta?hao kina mseveni, mugabe, derby, biya, sasongweso zaidi ya miaka 30, madarakani walifanya nini?!acheni hizo muhukumuni mtu kwa uwezo wake na sio JINSI, yake.MAMA KANYAJA TWENDE,Mwanamke huongozwa na mwanaume!eti leo hi mwanamke anaongoza wanaume zaidi ya milion,kadili muda unavyozidi kwenda tutegemee kufeli zaidi
Siasa za ki magufuli za kishamba zilishapitwa na wakati huu sio muda wake, haya miaka yote hiyo alifanya figisu nini cha maana alikipata?waulize wakulima wa mikoa ya kaskazini nini kiliwapata baada ya mazao yao kukuosa soko, kisa wakenya hawaji kuyanunua!!nchi ya tano duniani kwa kuwekeza Tz, badala ya kuweka mikakati ili uone na wewe unatoka vipi, unawaza kumkwamisha!!sasa rafiki yako awe burundi kuna faida gani hapo?Kwahili kweli tutamkumbuka JPM
Mama Samia asijilegeze kwa Wakenya, Hawa watu sio wazuri wanataka tuendelee kuwa soko la viwanda vyao ilihali products zingine tunaweza kuzitengeneza wwnyewe
Mama awe makini sana na aendelee kuwapiga pini kama JPM alivyofanya.
Shauri yetu Wadanganyika
Usitufanye watoto wadogo, hiyo gesi hapo azam mwandege imewekwa lini?hadi jana 4.5.2021, cjaiona?kwa mbagala kiwanda walichounganishiwa gesi kilikuwa ni kile cha KTM, pale misheni tu.hapo mwandege hadi jana kiwanda kinatumia umeme tu, tena ameunganishiwa line kubwa yake tu.Nashangaa wanaosema viwanda havijaunganishwa. Nenda kaulize Azam mwandege na viwanda vya bidhaa mbalimbali ambavyo viko barabara ya kwenda mkuranga vinatumia nini kama siyo gesi. Mpaka maeneo y mwandege zimewekwa outlets za gesi kwa ajili ya viwanda vinavyotegewa kujengwa kwamba siku vikijengwa tu wanaunga moja kwa moja kwenye gesi
Washamba na malimbukeni enzi zenu zimeisha !!!! Nasimama na Mama Samia"Najua mtanikumbuka kwa mazuri tu na si mabaya"
(Mwenda zake 2021AD)
Heri Mama kuliko Mwendazake hamtwambiii kitu kabisa ushamba na ulimbukeni tupa kuleeeee shimoniHili suala la kuweka restriction za corona na kujipendekeza kwa watu sijajua mshauri ni nani, inatuletea picha ya udhaifu! Akimaliza hii ya Magufuli, itakuwa ngumu sana mimi kumpigia kura, niwe mkweli, nachukia udhaifu dhaifu kwenye uongozi! Tunarudi tena enzi za msoga sasa..