Ziara ya Tundu Lissu huko Ulaya inafaida kwake na kikundi cha watu wachache na si kwa Watanzania

Ziara ya Tundu Lissu huko Ulaya inafaida kwake na kikundi cha watu wachache na si kwa Watanzania

Kwa sasa sioni kitu kipya kutoka kwake, anaishi Ulaya hataki kurudi nyumbani, anasubiri tu uchaguzi ukifika ndiyo aje kutafuta hela na kuhamasisha vijana kufanya vurugu. Wengine wanapata vilema na kuozea jela baada ya uchaguzi.

Yeye anatafuna kashata Ubelgiji watoto wake wakiwa Marekani wanakula bata, mimi na wewe kutoka huko Mgeta Nanyumbu na Kazula Mimba tunatoleana macho.

Niko hapa, Lissu hana dhamira yeyote njema na nchi yetu, amejificha mbali anasubili madili ya uchaguzi.
kama haina faida kwa nini unaifuatilia? si ungewaachia CDM ya yeye wenyewe ili izidi kuwapa hasara.
 
Hivi mtu ambaye mlimshambulia kwa risasi zaidi ya kumi na tano mnamtafuta tena Serikali na chama cha mapinduzi hakuna mtu wa kujibu hoja za Tundu Lissu sasa naona mna hamu naye tena aisee jipangeni tu kujibu hoja hakuna namna mlitaka kukwepa hoja kwa risasi maana kwenye jukwaa la siasa mlimshindwa sasa haiwezekani na hayuko mbali ni hapo tu Ulaya anajipanga kuwakabili wezi na wanyanganyi wa mali za umma.
 
Kwa sasa sioni kitu kipya kutoka kwake, anaishi Ulaya hataki kurudi nyumbani, anasubiri tu uchaguzi ukifika ndiyo aje kutafuta hela na kuhamasisha vijana kufanya vurugu. Wengine wanapata vilema na kuozea jela baada ya uchaguzi.

Yeye anatafuna kashata Ubelgiji watoto wake wakiwa Marekani wanakula bata, mimi na wewe kutoka huko Mgeta Nanyumbu na Kazula Mimba tunatoleana macho.

Niko hapa, Lissu hana dhamira yeyote njema na nchi yetu, amejificha mbali anasubili madili ya uchaguzi.
Nyie mlitaka kumuua kwa kumshambulia kwa risasi zaidi ya kumi na tano bado anaendelea na matibabu yake au mnataka arudi ili mumshambulie tena.
 
Kwa sasa sioni kitu kipya kutoka kwake, anaishi Ulaya hataki kurudi nyumbani, anasubiri tu uchaguzi ukifika ndiyo aje kutafuta hela na kuhamasisha vijana kufanya vurugu. Wengine wanapata vilema na kuozea jela baada ya uchaguzi.

Yeye anatafuna kashata Ubelgiji watoto wake wakiwa Marekani wanakula bata, mimi na wewe kutoka huko Mgeta Nanyumbu na Kazula Mimba tunatoleana macho.

Niko hapa, Lissu hana dhamira yeyote njema na nchi yetu, amejificha mbali anasubili madili ya uchaguzi.
Ulikuwa unataka aje alale na mkeo?
 
Uko sahihi,ingwawa mapovu ya humu ni matokeo ya ujinga wa wafuasi wa upinzani.
Nyie wafuasi wa ccm mataahira kabisa, mumeshindwa kujibu hoja za Bashiru mnakuja kuhoji mambo ya Chadema yanawahusu nini? pumbavu kabisa
 
Kwa sasa sioni kitu kipya kutoka kwake, anaishi Ulaya hataki kurudi nyumbani, anasubiri tu uchaguzi ukifika ndiyo aje kutafuta hela na kuhamasisha vijana kufanya vurugu. Wengine wanapata vilema na kuozea jela baada ya uchaguzi.

Yeye anatafuna kashata Ubelgiji watoto wake wakiwa Marekani wanakula bata, mimi na wewe kutoka huko Mgeta Nanyumbu na Kazula Mimba tunatoleana macho.

Niko hapa, Lissu hana dhamira yeyote njema na nchi yetu, amejificha mbali anasubili madili ya uchaguzi.
Mkuu ya nini yote hayo kuandika? Si ufanye kwa vitendo tu? Chagua CCM
 
Kagame miaka ilee
Screenshot_20221128-091513_TikTok.jpg
Screenshot_20221128-091516_TikTok.jpg
Screenshot_20221128-091520_TikTok.jpg
Screenshot_20221128-091523_TikTok.jpg
Screenshot_20221128-091527_TikTok.jpg
Screenshot_20221128-091529_TikTok.jpg
 
Kwa sasa sioni kitu kipya kutoka kwake, anaishi Ulaya hataki kurudi nyumbani, anasubiri tu uchaguzi ukifika ndiyo aje kutafuta hela na kuhamasisha vijana kufanya vurugu. Wengine wanapata vilema na kuozea jela baada ya uchaguzi.

Yeye anatafuna kashata Ubelgiji watoto wake wakiwa Marekani wanakula bata, mimi na wewe kutoka huko Mgeta Nanyumbu na Kazula Mimba tunatoleana macho.

Niko hapa, Lissu hana dhamira yeyote njema na nchi yetu, amejificha mbali anasubili madili ya uchaguzi.
Ulitaka iwe na Faida kwa nchi?kwani wanakusanya kodi wao? Acha upimbi
 
Kwa sasa sioni kitu kipya kutoka kwake, anaishi Ulaya hataki kurudi nyumbani, anasubiri tu uchaguzi ukifika ndiyo aje kutafuta hela na kuhamasisha vijana kufanya vurugu. Wengine wanapata vilema na kuozea jela baada ya uchaguzi.

Yeye anatafuna kashata Ubelgiji watoto wake wakiwa Marekani wanakula bata, mimi na wewe kutoka huko Mgeta Nanyumbu na Kazula Mimba tunatoleana macho.

Niko hapa, Lissu hana dhamira yeyote njema na nchi yetu, amejificha mbali anasubili madili ya uchaguzi.
Ni ujinga kuhamsishwa vurugu na kiumbe wa uraia wa nchi mbili!

Kwa sasa ninamdharau kupita kawaida huyu mpayukaji!
 
Kwa sasa sioni kitu kipya kutoka kwake, anaishi Ulaya hataki kurudi nyumbani, anasubiri tu uchaguzi ukifika ndiyo aje kutafuta hela na kuhamasisha vijana kufanya vurugu. Wengine wanapata vilema na kuozea jela baada ya uchaguzi.

Yeye anatafuna kashata Ubelgiji watoto wake wakiwa Marekani wanakula bata, mimi na wewe kutoka huko Mgeta Nanyumbu na Kazula Mimba tunatoleana macho.

Niko hapa, Lissu hana dhamira yeyote njema na nchi yetu, amejificha mbali anasubili madili ya uchaguzi.
Hii hali ndio mnaenda kukumbana nayo watu wajinga wajinga


Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Lissu zunguka Ulaya yote, ukimaliza nenda na Amerika tafuta ukitafitacho (I don't care unachokitafuta ni kwa faida ya nani), lakini, ikifika 2025 rudi nyumbani ugombee Urais, naahidi kura yangu utaipata.

Mara elfu kura yangu iende kwa CHADEMA kuliko kwa Bibi kizee wa Kizanzibari.
 
Back
Top Bottom