Mwanzi1
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 6,000
- 4,589
Inauma Ehee??? Pole sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inauma Ehee??? Pole sana.
Udugu kati ya nchi hizo mbili na wa muda murefu sana. China iliweza kuingia Umoja wa Mataifa na baadae kubwa na kura ya Veto kutikana na juhudi kubwa zilizofanywa Salim Ahmed Salim alipokua UN kwa kadri ya maagizo ya J K Nyerere. Ndio maana China hawatosahau historia hiyo.
Napenda hiyo research yako [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Inaonekana Tanzania inaenda kuwa taifa lenye viwanda vingi East Africa and Central baada ya miaka 3, bandari ya Bagamoyo nayo yatajwa.
Wanakua sokoni? Fagan I am ili wakueleweIla kwa hii idadi kuna kila ishara Tanzania inaenda kupambana na South Africa hawa jirani zetu wanakua sokoni.
ucwe nafrika mgandoviwanda vya wafanyakazi wanne
ucwe na frikla mgandoviwanda vya wafanyakazi wanne
fikra mgando zipo ccm miaka 50+ hamna viwanda na vilivokuwepo wameua na sasa wanakuja na porojo za viwanda. labda viwanda vya kukaanga karanga.ucwe nafrika mgando
mm cyo ccm nmekupatu ushauli achakuwa nafrikla mgando kuanza mwanzo cyo kosafikra mgando zipo ccm miaka 50+ hamna viwanda na vilibokuwepo wameua na sasa wanakuja na porojo za viwanda. labda viwanda vya kukaanga karanga.
Ni vizuri kuwa na foreign investment lakini inategemea na policy ya nchi husika na nature ya watu wenyewe....pongezeni, ni vizuri tujuendeleze sote kwa pamoja kama EAC .
lakini on the other hand, leteni fine print ya details mujue ni nini hasa na ni vipi watakavyo wekeza.........
vile hio habari imeandikwa inakaa kama vile wajapani wanataka kufanya pale mombasa ama vile wachina wanapanga kufanya kule naivasha...... wanatafuta mahala pamoja wanaweka SEZ alafu wanaita kampuni zao zote za kila aina kujenga proccesing plant hapo ndani.........
tayari zile EPZ ambazo ziko kenya ziko na campuni 130 ambazo nyingi zao, wachina wamesaidia kuzijenga
Industry and Trade cabinet Secretary Adan Mohammed, who presided over the groundbreaking, said the investment is a bold step by the Chinese, adding that they would enjoy full benefits of the EPZs with a higher return on investments. EPZA CEO Fanuel Kidenda said the Sh20 billion investment was a major boost to the economy and the EPZs, which so far have investments worth $730 million. According to EPZA, 130 companies are currently operating in 66 EPZs across the country and the Sino Africa industrial park would attract more investments.
Ms Tao said the park would provide a one-stop shop for business services such as exhibitions, offices, warehouses as well as public e-commerce office services. In the first phase, the park will launch industries in medical, chemical, cosmetics, foodstuff, machinery, building materials, agricultural products, office stationery, paper, textile, auto parts, shoes and hats, furniture and household appliances
Chinese firms to set up Sh20 billion industrial park in Kenya – Business Today News
ile SEZ ikijengwa kule zaivasha hizo campuni za kichina zitajazNa sana
Hivi ni ipi part yako katika hilo!!!!!!....fikra mgando zipo ccm miaka 50+ hamna viwanda na vilivokuwepo wameua na sasa wanakuja na porojo za viwanda. labda viwanda vya kukaanga karanga.
Inaonekana Tanzania inaenda kuwa taifa lenye viwanda vingi East Africa and Central baada ya miaka 3, bandari ya Bagamoyo nayo yatajwa.
Waziri wa mambo ya nje wa china Wang Yi amewasili Tanzania kwa ziara ya siku Moja, ikiwa ni utekelezaji wa mazungumzo juu ya mpango wa maendeleo ya viwanda kati ya Tanzania na China.
Huku viwanda takriban 200 vikitarajiwa kujengwa kufikia mwaka 2020.
Munira Hussein amezungumza na Afisa habari wa wizara ya mambo ya nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mindi Kasiga juu ya ziara hiyo.
Chanzo: BBC
Mojawapo wa sababu za Watanzania kuchelewa kuamuka hadi leo ni hili la kutegemea mambo ya undugu kwa kila kitu. Dunia ya sasa haina cha undugu wala nini ila maslahi. Mchangamkie fursa kwa bidii na kujituma, hayo mambo ya undugu myaache vijijini, iwaingie kwamba mjini kila mtu mchakarikaji.
Mchina hana cha undugu wala nini, yeye hupiga mahesabu ya mbali sasa wewe ukikenua meno eti unategemea atakuja na hayo ya undugu, utaliwa hadi ukome. Cha msingi, changamkia fursa na kuwa makini kwa kila hatua.
pongezeni, ni vizuri tujuendeleze sote kwa pamoja kama EAC .
lakini on the other hand, leteni fine print ya details mujue ni nini hasa na ni vipi watakavyo wekeza.........
vile hio habari imeandikwa inakaa kama vile wajapani wanataka kufanya pale mombasa ama vile wachina wanapanga kufanya kule naivasha...... wanatafuta mahala pamoja wanaweka SEZ alafu wanaita kampuni zao zote za kila aina kujenga proccesing plant hapo ndani.........
tayari zile EPZ ambazo ziko kenya ziko na campuni 130 ambazo nyingi zao, wachina wamesaidia kuzijenga
Industry and Trade cabinet Secretary Adan Mohammed, who presided over the groundbreaking, said the investment is a bold step by the Chinese, adding that they would enjoy full benefits of the EPZs with a higher return on investments. EPZA CEO Fanuel Kidenda said the Sh20 billion investment was a major boost to the economy and the EPZs, which so far have investments worth $730 million. According to EPZA, 130 companies are currently operating in 66 EPZs across the country and the Sino Africa industrial park would attract more investments.
Ms Tao said the park would provide a one-stop shop for business services such as exhibitions, offices, warehouses as well as public e-commerce office services. In the first phase, the park will launch industries in medical, chemical, cosmetics, foodstuff, machinery, building materials, agricultural products, office stationery, paper, textile, auto parts, shoes and hats, furniture and household appliances
Chinese firms to set up Sh20 billion industrial park in Kenya – Business Today News
ile SEZ ikijengwa kule zaivasha hizo campuni za kichina zitajazNa sana