Wizoo umeanzaaa!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Suti ya mama imenyooka kweli kweli ni kama upanga wa kimasai.
Akipita karibu yako na hiyo suti unachanwa ugoko.
Tabasamu la BLAZA Maxence Melo ni kiboko ati
Aliwaka sana, suti za namna hiyo zinakupendeza sanaLeo ulipendeza sana mh waziri, maana hiyo suti sijui ndio kaunda mnaita ilikukaa mujarabu kabisa...π
Dahh! Kidume kizima na ndevu zangu, nimenyoa mpaka kidevu kimekomaa kama sugu ya sufuria kutokana na moto mkali na ukoko... Leo hii nafananishwa na mrembo π³mbona umeweka emoji zakike wewe nimrembo eti?
yingyang nimkorofi toka utotoni
Huyo ni mod ujue ππMh hongera Kwa kazi nzuri unayofanya!
Mama huyo binti aliesimama jirani yako(picha number tatu) ana nusu ya Moyo wangu na nusu iliyobaki kwangu yote inampenda yeye
πππDahNaomba kutumia kifungu cha sheria ya Tanzania ibara ya 6
Access to Information Act, 2016 (No. 6 of 2016).
(1) Every person shall have the right of access to information which is under the control of information holders.
(2) The information holder shall, subject to the provisions of section 6 and any other written laws, make available to the public or, on request, to any person, information which is under his control.
Nataka kujua idadi ya waajiriwa wa JF kufuatana na maswali yafuatayo
Kuna waajiriwa wakristo wangapi?
Kuna waajiriwa waislamu wangapi?
Maxence Melo
View attachment 3040644
Ngoja anitafutie angle Nile ban flan hv amazingHuyo ni mod ujue ππ
Hujambo? Huwa najibu Sana, na mtu akiona nimechelewa na ni dharura, huwa nimetoa namba zangu za 0765345777 na nakala 0734124191 (KUANDIKA UJUMBE). Ahsante Sana kwa mchango wako, karibu tushirikiane π€ππ½Mkuu hawa viongozi wengi huwa hawajibu ni kupoteza muda tu kuwauliza maswali au kuwaeleza changamoto za wananchi.
Inasikitisha zaidi machawa wanapiga tu vigelegele Humu.VERY SAD MAN!
Weka na email itapendeza.Hujambo? Huwa najibu Sana, na mtu akiona nimechelewa na ni dharura, huwa nimetoa namba zangu za 0765345777 na nakala 0734124191 (KUANDIKA UJUMBE). Ahsante Sana kwa mchango wako, karibu tushirikiane π€ππ½
Ulivyo muona tu ukamuelewa!Kwamba
Ahsante Sana, nitaanda mahsusi kwa ajili ya jamii nitatangaza. Shukrani kwa maoni ππ½Weka na email itapendeza.
emoji zakiume nihizi πβΉοΈπͺππππ·π hio ulioweka hapo yakike Tena badirika mkuuDahh! Kidume kizima na ndevu zangu, nimenyoa mpaka kidevu kimekomaa kama sugu ya sufuria kutokana na moto mkali na ukoko... Leo hii nafananishwa na mrembo π³
Kweli dunia hadaa!... Kwani mkuu kwenye hizi emoji za wenyewe walisemaga hizi ni za kike na Za kiume?
π€£π€£Sema hii bonge moja la picha..
View attachment 3040641
Kama kwenye hii picha Active upo, Jumapili mnapigwa na Spain. Shahidi Greatest Of All Time na Dr Restart
Kwamba ni jirani yakoNimemuona YinYang kwa pembeni pale amenuna balaaππ