Ziara yangu ofisi za JamiiForums

Hakika ni jambo jema sana kuwa karibu na viongozi wetu humu kwenye social network ila tambueni siyo watanzania wote wanamiliki simu janja, hivyo basi waheshimiwa msibase humu kwenye social network, humu habari nyingi ni za burudani, social network nikimbilio la wengi walio na stress, mf ndg yangu Ushimen hapo juu masiala ni mengi sana.
 
Ofisi kali sana JF. I am longing for day nitakapo fikia hatua kama hiyo.
Hongereni sana ,sio kazi rahis.

Nb.
Mamods achen ukuda, kumbe ndio maana mnajisahau na kunogewa kupiga ban tu na kufuta nyuzi bila utaratibu
 
Msaidieni huyu mtu ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

View: https://www.instagram.com/reel/C_FtxmrCmAx/?igsh=MTJtMXVvOWp0MHZ5aA==
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ