Ziara za Rais Kanda ya Ziwa zimekuwa too much

Ziara za Rais Kanda ya Ziwa zimekuwa too much

Kusini Shaka na Chongolo wanawatosha.

Kanda ya ziwa ni kama maji-utake usitake utayanywa, oga, fulia, nawa mwacheni mfalme aoge na akitoka huko wanaomchunga wanakuwa na ndoo za sangara.

Kusini atatoka na samaki nchanga au kuku jiko
🤣🤣🤣🤣🤣
Kusini kusikie tu,siku moja nilitoa macho baada ya kukuta ngozi ya ng'ombe imepikwa Kama mboga lol.

Si kwa umasikini huo.
 
Kiukweli Rais Samia mpaka sasa tangu aingie madarakani ameenda Mwanza zaidi ya mara tano.

Sasa sisi wa Kusini tunauliza ni lini tutapokea baraka za kutembelewa na Rais? Au ule Moshi wa Ruangwa kipindi kileee ndio unamtia hofu?
Historia ya BMC ni kubwa katika nchi za maziwa makuu, ndio maana kwenye tukio na matukio mengine ya namna hiyo Wakuu wa nchi wame /walialikwa kuhudhulia.

Ni hivyo tu labda kama kuna jambo jingine Ndugu.
 
Ukweli uliopo upende usipende unapozungumzia Tanzania kisiasa unazungumzia kanda ya ziwa kwa maana ya mikoa ya Mara,Kagera, Shinyanga,Simiyu,Mara,Geita na Mwanza usipo pata kura za Mikoa hiyo nafasi ya Urais utaisikilizia kwenye bombs.pia robo 3 ya Watanzania wote wanaishi hiyo Mikoa.
Usipende kufurahia ujinga. Nenda kwenye vitabu vya sensa halafu ujidharau kwa kuwa mwongo. Kanda ya ziwa ni 27% ya population ya Tanzania. Hiyo robo 3, sijui umeokota wapi!

Mwanza - 2.7m
Kigoma - 2.1m
Mara - 1.7m
Simiyu - 1.5m
Kagera - 2.4m
Geita - 2.3m
Tabora - 1.7m

TOTAL 17m.

Hivi 17m ni asilimia ngapi ya 62m? Msiwe mnakurupuka. Kanda ya Ziwa ina watu wengi lakini siyo wengi kiasi cha kuamua wao pekee yao nani awe kiongozi. Mgombea wa kiti cha urais akiweza kupata 50% ya kura zote za mikoa iliyobakia, atapata 22.5m votes, ambazo hata watu wa kanda ya ziwa wakimpa, hawezi kupata. Hiyo ni assumption kama watu wote including watoto, watapiga kura.

Watu wanajilisha ujinga eti kanda ya Ziwa pekee ina uwezo wa kuamua nani awe kiongozi Tanzania.
 
Machawa wake wameshamwambia kuwa hakubaliki kanda ya ziwa hivyo itampashida 2025 ukizingatia mama yenu yeye mawazo yake yote ni uchaguzi ujao hivyo inambidi aende kuomba kura
 
Watu wa kanda hiyo ni waungwana sana na hawana unafiki ni wachapakazi.
 
Kiukweli Rais Samia mpaka sasa tangu aingie madarakani ameenda Mwanza zaidi ya mara tano.

Sasa sisi wa Kusini tunauliza ni lini tutapokea baraka za kutembelewa na Rais? Au ule Moshi wa Ruangwa kipindi kileee ndio unamtia hofu?

Huko kuna mtaji wa 2025
 
Ukweli uliopo upende usipende unapozungumzia Tanzania kisiasa unazungumzia kanda ya ziwa kwa maana ya mikoa ya Mara,Kagera, Shinyanga,Simiyu,Mara,Geita na Mwanza usipo pata kura za Mikoa hiyo nafasi ya Urais utaisikilizia kwenye bombs.pia robo 3 ya Watanzania wote wanaishi hiyo Mikoa.
Machadema yanwatukana wasukuma alafu 2025 utakuta yanaenda na mipua yao kuomba kura
 
Population ya Kanda ya Ziwa
Mwanza - 2.7m
Kigoma - 2.1m
Mara - 1.7m
Simiyu - 1.5m
Kagera - 2.4m
Geita - 2.3m
Tabora - 1.7m

TOTAL 17m.

Hivi 17m ni asilimia ngapi ya 62m? Msiwe mnakurupuka. Kanda ya Ziwa ina watu wengi lakini siyo wengi kiasi cha kuamua wao pekee yao nani awe kiongozi. Mgombea wa kiti cha urais akiweza kupata 50% ya kura zote za mikoa iliyobakia, atapata 22.5m votes, ambazo hata watu wa kanda ya ziwa wakimpa wote, hawezi kupata. Hiyo ni assumption kama watu wote including watoto, watapiga kura.

Watu wanajilisha ujinga eti kanda ya Ziwa pekee ina uwezo wa kuamua nani awe kiongozi Tanzania.
 
Population ya Kanda ya Ziwa
Mwanza - 2.7m
Kigoma - 2.1m
Mara - 1.7m
Simiyu - 1.5m
Kagera - 2.4m
Geita - 2.3m
Tabora - 1.7m

TOTAL 17m.

Hivi 17m ni asilimia ngapi ya 62m? Msiwe mnakurupuka. Kanda ya Ziwa ina watu wengi lakini siyo wengi kiasi cha kuamua wao pekee yao nani awe kiongozi. Mgombea wa kiti cha urais akiweza kupata 50% ya kura zote za mikoa iliyobakia, atapata 22.5m votes, ambazo hata watu wa kanda ya ziwa wakimpa wote, hawezi kupata. Hiyo ni assumption kama watu wote including watoto, watapiga kura.

Watu wanajilisha ujinga eti kanda ya Ziwa pekee ina uwezo wa kuamua nani awe kiongozi Tanzania.
Bado Haitoi uhalisia kuwa ndo kanda inayaamua matokeo ya urais kama unabisha baki unavyoamini!
 
Ukweli uliopo upende usipende unapozungumzia Tanzania kisiasa unazungumzia kanda ya ziwa kwa maana ya mikoa ya Mara,Kagera, Shinyanga,Simiyu,Mara,Geita na Mwanza usipo pata kura za Mikoa hiyo nafasi ya Urais utaisikilizia kwenye bombs.pia robo 3 ya Watanzania wote wanaishi hiyo Mikoa.
Magufuli ameharibu kweli hii nchi, ameigawa, watu wamejaa uongo sifa za kijinga kusifiana kijinga. Eti kanda ya ziwa ni robo 3. Hujishughulishi hata kutafuta data za sensa ya 2012. Kwa taarifa yako we ngedere mwongo kwa mujibu wa sensa ya mwaka 2012 taarifa sahihi ni kama ifuatavyo;
Jumla ya population Tanzania bara - 43,625,354
Mara - 1,743,830
Kagera - 2,458,023
Shinyanga - 1,534,808
Simiyu - 1,584,157
Geita - 1,739,530
Mwanza - 2,772,509
Jumla - 11,832,857 sawa na asilimia 27.12 ya watanzania wote. Kwa hiyo 27.12% ndiyo robo 3? Au hujui hisabati kwa kiwango hicho?
 
Wanasahau na tume ya uchaguzi pia ndio kila kitu.
Population ya Kanda ya Ziwa
Mwanza - 2.7m
Kigoma - 2.1m
Mara - 1.7m
Simiyu - 1.5m
Kagera - 2.4m
Geita - 2.3m
Tabora - 1.7m

TOTAL 17m.

Hivi 17m ni asilimia ngapi ya 62m? Msiwe mnakurupuka. Kanda ya Ziwa ina watu wengi lakini siyo wengi kiasi cha kuamua wao pekee yao nani awe kiongozi. Mgombea wa kiti cha urais akiweza kupata 50% ya kura zote za mikoa iliyobakia, atapata 22.5m votes, ambazo hata watu wa kanda ya ziwa wakimpa wote, hawezi kupata. Hiyo ni assumption kama watu wote including watoto, watapiga kura.

Watu wanajilisha ujinga eti kanda ya Ziwa pekee ina uwezo wa kuamua nani awe kiongozi Tanzania.
 
Kiukweli Rais Samia mpaka sasa tangu aingie madarakani ameenda Mwanza zaidi ya mara tano.

Sasa sisi wa Kusini tunauliza ni lini tutapokea baraka za kutembelewa na Rais? Au ule Moshi wa Ruangwa kipindi kileee ndio unamtia hofu?
Subiri arobaini iishe.
 
Back
Top Bottom