Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Kusini Shaka na Chongolo wanawatosha.
Kanda ya ziwa ni kama maji-utake usitake utayanywa, oga, fulia, nawa ... mwacheni mfalme aoge na akitoka huko wanaomchunga wanakuwa na ndoo za sangara.
Kusini atatoka na samaki nchanga au kuku jiko
Ukweli uliopo upende usipende unapozungumzia Tanzania kisiasa unazungumzia kanda ya ziwa kwa maana ya mikoa ya Mara,Kagera, Shinyanga,Simiyu,Mara,Geita na Mwanza usipo pata kura za Mikoa hiyo nafasi ya Urais utaisikilizia kwenye bombs.pia robo 3 ya Watanzania wote wanaishi hiyo Mikoa.
Lazima akabembeleze huko kwa sababu Team Magu inatikisa.Kiukweli Rais Samia mpaka sasa tangu aingie madarakani ameenda Mwanza zaidi ya mara tano.
Sasa sisi wa Kusini tunauliza ni lini tutapokea baraka za kutembelewa na Rais? Au ule Moshi wa Ruangwa kipindi kileee ndio unamtia hofu?
Usipende kufurahia ujinga. Nenda kwenye vitabu vya sensa halafu ujidharau kwa kuwa mwongo. Kanda ya ziwa ni 27% ya population ya Tanzania. Hiyo robo 3, sijui umeokota wapi!
Mwanza - 2.7m
Kigoma - 2.1m
Mara - 1.7m
Simiyu - 1.5m
Kagera - 2.4m
Geita - 2.3m
Tabora - 1.7m
TOTAL 17m.
Hivi 17m ni asilimia ngapi ya 62m? Msiwe mnakurupuka. Kanda ya Ziwa ina watu wengi lakini siyo wengi kiasi cha kuamua wao pekee yao nani awe kiongozi. Mgombea wa kiti cha urais akiweza kupata 50% ya kura zote za mikoa iliyobakia, atapata 22.5m votes, ambazo hata watu wa kanda ya ziwa wakimpa, hawezi kupata. Hiyo ni assumption kama watu wote including watoto, watapiga kura.
Watu wanajilisha ujinga eti kanda ya Ziwa pekee ina uwezo wa kuamua nani awe kiongozi Tanzania.
Hiyo 2.7m sio pop ya Mwanza labda hiyo ni pop ya Mwanza jiji, mkoa wa Mwanza ina about 5m.
Wew huwajui wasukuma kengeAnajishtukia tu...
Anahisi WASUKUMA ni threat ktk urais wake. Kumbe hamna lolote.
Mna impact gani kwenye uchaguzi kama kanda ya ziwa?Kiukweli Rais Samia mpaka sasa tangu aingie madarakani ameenda Mwanza zaidi ya mara tano.
Sasa sisi wa Kusini tunauliza ni lini tutapokea baraka za kutembelewa na Rais? Au ule Moshi wa Ruangwa kipindi kileee ndio unamtia hofu?
Una uhakika?Kwingine kuna nini ? huu woga wa kura umetoka wapi? Iwapo mgombea yeyote wa CCM lazima ashinde hakuna haja ya kutafuta kura kwa watu ni kujipanga tu na Policcm habari kwisha. Tume inamuandalia matokeo kinachobaki kuapishwa.