Zidane au Xavi, nani alikuwa bora?

Zidane au Xavi, nani alikuwa bora?

Kwani xavi kachukua fifa player of the yr ngapi hadi alinganishwe na zizou?balldor ngapi?hapa tunazungumzia the most expensive player of his time agaist mchezaji ambae thamani yake haijulikani...
Poa tuangalie Xavi ana assist ngapi? Xavi ana magoli mangapi? Zizou ashawahi chukua tuzo ya player bora wa Euro? Xavi ana makombe mangapi ya carrier?
 
Poa tuangalie Xavi ana assist ngapi? Xavi ana magoli mangapi? Zizou ashawahi chukua tuzo ya player bora wa Euro? Xavi ana makombe mangapi ya carrier?
Kizazi cha miaka hii mnamatizo sana ukitaka kujua ubora wa Zizou angalia timu alizocheza na impact yake angalia kizazi tangu cha mwaka 1998 cha France hadi 2006 kacheza wachezaji wangapi na walishindwa kumfunika, Xavi alisaidiwa na kiungo kizuri cha Barca. Brazil, Portugal, Italy, wanamfahamu sana Zizou
 
Kizazi cha miaka hii mnamatizo sana ukitaka kujua ubora wa Zizou angalia timu alizocheza na impact yake angalia kizazi tangu cha mwaka 1998 cha France hadi 2006 kacheza wachezaji wangapi na walishindwa kumfunika, Xavi alisaidiwa na kiungo kizuri cha Barca. Brazil, Portugal, Italy, wanamfahamu sana Zizou
Na kizazi cha miaka ile mnamatatizo sana, hamtaki kukiri ukweli kuwa vijana wa saizi wamefunika players wa zamani...nadhani pia umeshuhudia utawala wa SPAIN kuanzia 2008 hadi 2014 muhimili ukiwa vijana wa catalunya safu ikiongozwa na XAVI MAESTRO.
 
Xavi Hernandez Creus "the pass master"
Zinedine Yazid Zidane "the ball dancer"
Never compare legends its a disrespect.
 
mpira unachanganya mashabiki kuliko hata wachezaji wenyewe. vigezo vya ubora kwenye mpira hubadilika badilika ilimradi tu kumfaa anayetakiwa. leo dunia nzima inaamini ronaldo anaenda kuchukuwa ballon d'or mwakani kutokana na kuipatia timu yake CL,lakini mwaka 2008 iniesta alifanya zaidi ya hapo lakini bado akaishia kuwa nafasi ya tatu. Ubora wa mchezaji utabaki kuwa machoni mwa watizamaji tu lakini kwa wenzetu ni biashara. mie kwangu Messi ndio mchezaji bora kabisa tokea kuumbwa kwa dunia.

Mkuu cjui nikupatie zawadi gani asise. Hapo kwenye red nimepapenda zaidi kwa maana umeonyesha ukweli usiopingika,,,na ningefulahi mno kuona wachangiaji wanaomchukia King waweke ukweli na sio kumponda.


Kwangu mimi King ndio bora hakuna wakucompare nae na dunia inamtambua kuwa yeye ni amazing player kuwahi kutokea katika uso wa dunia


Second player na ni mtukutu is Diego Armando Maradona,,,,,,huyu mhuni ni balaa hakuna asiemjua.

Wawili hawa wamenipa raha mno latika soka,,,


Na watatu ni Zinedine zizzo. Watatu hawa ni balaa aise sijapata kuona.
 
Xavi wasnt better than Zizou,ubora unaonekana hata ukihama timu moja kwenda timu nyingine.Xavi ameenda timu ipi nyingine akaproove bado ni bora?Diego folan kuna Man U alichemsha.Angalia Claude makelele hata alipohama Real kwenda Chelsea alifanya kazi yake ile ile.Zizou was the best!
kwa maana hiyo Messi siyo bora kwasababu hajahama timu moja kwenda nyengine
 
Owk sawa mkuu hayo magoli 8 ya Inzaghi amejumlisha Uefa, Uefa super cup na Fifa club world cup....sasa hebu tumuangalie Messi

UEFA finals 2 goals
UEFA supercup 3 goals
Fifa Clubworldcup 4 goals
Total 9 goals, nadhani hoja ya Inzaghi tuizime hapa..

Pia ukitaka kuongeza
SuperCup 11 goals
Copa de larey 4 goals

So inshort Messi ana total of 24 goals in Finals....haya hebu mlete huyo Inzaghi wako, lakini naamini uliongea kwa mihemko
hapo upo sahihi nimeconfirm hizo stats ila still haijajibu logic ya mwanzo ya umuhimu wa hayo magoli, mechi zote mbili za uefa ambazo messi amefunga toa magoli yako matokeo yanabaki vile vile Barcelona ameshinda. na ukiangalia record ya Messi ya magoli vs Record ya magoli fainali kubwa unaona kabisa fainali anadrop.

Uefa fainali 4
kimataifa fainali 4

jumla fainali 8 goli 2 tena zisizoamua mechi,

Tofauti na Pippo, toa goli 2 za pippo 2007 na liverpool mechi ya 2-1,

angalia fainali alizocheza Pippo utaona nyingi anaziamua yeye.
 
Kipindi hiki wangelikuwepo hao akina gaucho na wenzie wacngeonekana kwa mfalme messi. Ukweli ndio huo na wao wanalitambua hilo. Hivyo ni ngumu kuliongea wao kwenye media sababu watapata aibu. Zidane mwenyewe alikiri sembuse wakina gaucho kazi kukuza matako na starehe nyingi.😀
 
siyo kosa lako kumbe ni kosa la upeo wako.
Unajua kila mtu na vitu anavyovikubali na anavyovikataa,me simkubali Messi mkuu tutashinda tunasumbuana,wewe umeanza kuangalia mpira mwaka gani?kila mchezaji na karne yake,mifumo na uchezaji na hata jezi zilikuwa tofauti na hata Messi akiondoka miaka hiyo utamtaja Messi watu watakushangaa.Angalia Maradona enzi zake,huwezi fananisha na wakati huu!au pele huwez fananisha na wakati huu!Wewe huna Upeo hata kidogo huwezi mfananisha Nabii suleiman na Ngurumo ya Upako.
 
Na kizazi cha miaka ile mnamatatizo sana, hamtaki kukiri ukweli kuwa vijana wa saizi wamefunika players wa zamani...nadhani pia umeshuhudia utawala wa SPAIN kuanzia 2008 hadi 2014 muhimili ukiwa vijana wa catalunya safu ikiongozwa na XAVI MAESTRO.
Spain hiyo ingecheza worldcup ya 1994, 1998 au 2002 isingefika hata nusu fainali timu zilikuwa na wachezaji mahiri na wazuri
 
hapo upo sahihi nimeconfirm hizo stats ila still haijajibu logic ya mwanzo ya umuhimu wa hayo magoli, mechi zote mbili za uefa ambazo messi amefunga toa magoli yako matokeo yanabaki vile vile Barcelona ameshinda. na ukiangalia record ya Messi ya magoli vs Record ya magoli fainali kubwa unaona kabisa fainali anadrop.

Uefa fainali 4
kimataifa fainali 4

jumla fainali 8 goli 2 tena zisizoamua mechi,

Tofauti na Pippo, toa goli 2 za pippo 2007 na liverpool mechi ya 2-1,

angalia fainali alizocheza Pippo utaona nyingi anaziamua yeye.
Hahahahha we jamaa unabadili gia angani so mchezo, na nimeona huna pointi.
 
Xavi wasnt better than Zizou,ubora unaonekana hata ukihama timu moja kwenda timu nyingine.Xavi ameenda timu ipi nyingine akaproove bado ni bora?Diego folan kuna Man U alichemsha.Angalia Claude makelele hata alipohama Real kwenda Chelsea alifanya kazi yake ile ile.Zizou was the best!
Una wazimu ww ... kuhama timu sio lazma ... hao waliohama walikuwa na sabab zao na wala sio eti wakaonekane bora .... CR7 kama angeanzia soka madrid hakika man u wangemsikia tu kwnye bomba ... ila aliondoka man u kwasabab madrid walmtaka ... man u wanamtaka sana nw , ila hawez ondoka madrid eti kwasabab man u wanamtaka ... unangalia na timu unayoenda na unayotoka ... sas kwamfano CR7 akafate nn man u saivi ????
 
Back
Top Bottom