Zidane au Xavi, nani alikuwa bora?

kwa kizazi chetu cha 80`s hatutokaa tumuone mchezaji mwingine ka ZIZOU,acheni kumlinganisha ZIDANE na vitu vya kijinga,hasa kama umewahi kumwona anvyochezea ngozi ya ng`ombe ila kama umesimuliwa tu hauwezi kutuelewa hapa tunachomaanisha...
Hahahahahaha we ndo bure kabisa....kwa kizazi hicho kwahiyo Maradona si kitu? Johan Cruyff si kitu? Delima si kitu? Najua hiyo ni mihemko tu
 
Ferguson alisema, "Nipe mbao 10 na Zidane, nitashinda Champions League"
 
Hahahahahaha we ndo bure kabisa....kwa kizazi hicho kwahiyo Maradona si kitu? Johan Cruyff si kitu? Delima si kitu? Najua hiyo ni mihemko tu
acha kukurupuka kukuandikia kizazi cha 80`s means hadi wakati zidane yupo kwenye peack yake watu waliozaliwa kipindi hicho walikuwa wana akili timamu so wanaelewa alichokifanya zidane katika soka,kilaza we!
 
Mmmh,Embu niambie vitu gani Xavi kafanya akiwa uwanjani ambavyo Zizou hajafanya, Ila kuna vitu kibao ambavyo Zizou kafanya tena kwenye biggest games ambavyo Xavi can only dream,Zidane was Magical bwana
Umesahau pale Wembley fainal kati ya barca na man u
Ferguson akicheza kiduku huku ameketi kwa kiti
 
Hakuna wachezaji siku hizi. Ni matangazo ya biashara tu. Huyo mess km ni bora Mbona hajawahi twaa kombe la dunia? Mbona timu yake inachechemea kuingia kombe la dunia kule urudi? Na huenda Argentina mwaka huu tukaikosa kombe la dunia. Messi km ni mchezaji bora ahamie timu nyingine tumuone na Huko. Zidane. De Lima .dino Beckham na wengineo ktk enzi za zozuo Kwa sasa hawapo tena. Waliopo ni matangazo tu.
 
umekunywa chai mkuu?
 
Bora ungekuja na kusema nani alikuwa bora kati ya Xavi na Scholes sio hii Comparison uliyoweka hapa Xavi ajawahi kuwa level za Zidane at a yeye mwenyewe anajua ilo..
 
Zizzou bado analidai soka sawa na mwafrika mwenzetu JJ okochocha walivyomunyanyapaa wazungu wanafitina sana
 
Ulianza kuongea vizuri Ila ulipo anza kumlinganisha Na MESSI hapo ndo umepotea kabisa, Zizou hajafikia hata robo ya MeSSi
Punguza gongo
Hata robo ya Mess?
 
Ova
 
Ubora wa zizzou Zaidi ya Xavi sijui una maananisha nini? Maana hizo statistics zinaonesha kuwa Xavi yupo juu ya Zidane.
Xavi anaweza kuwa kawazidi viungo wengi ki takwimu lkn sio ubora,kwani ronaldinho unamsimamishaje mbele ya CR7 kitakwimu?lkn leo hii ukiwashindanisha hapa asilimia kubwa ya koment zitaangukia kwa ronaldinho lkn takwimu za CR7 zinatisha balaa
 
Exactly my point, pia impact anayosababisha mtu kwa fans, followers ni kubwa zaidi, Zizzou ka-inspire wengi kuupenda mpira, hata ambao siyo washabiki wa mpira wanamjua Zizzou, Xavi ni mpaka uwe mshabiki kumfahamu.
Yah huu n ukweli kabisa jamaa ameacha alama kubwa ya mpira kuliko xavi
 
We jamaa unajua mpira tatizo wengi wao humu hawajawahi mshuhudia zizou wanamuona tu youtube halaf wanakuja kuwalinganisha na watu ambao ni wa kawaida sana
 
Comparison ya Kipuuzi iyo
Hapana. Zaidi ya huo unaouita upuuzi, pia tuangalie kikosi kilichomjumuisha Xavi na kile kilichomjumuisha Zizou.

Karibu wachezaji 8 wa kikosi alichokichezea Xavi walikuwa wote tangu academy wakiwa wadogo, wameendelea kucheza wakiwa pamoja miaka mingi, hali hiyo ni tofauti sana kwenda kucheza na watu ambao ndo pengine unakutana nao kwa mara ya kwanza, uivae pattern na majukumu ya mwalimu.

Barca kwa muda mrefu haikuitaji mwalimu, uongozi tu ungetosha...hata kapteni angeweza!

Refer kikosi cha Spain kilichobeba Euro na World cup chini ya Vicente Del Bosque, utaelewa alichofanya kocha ni kuita wachezaji tu, mengine yalitokana na muda walioishi(wachezaji) pamoja kisoka.

Na hiyi ndio bahati aliyoipata Xavi, Messi na wengineo...
 
Takwimu ziko kwa xavi, ila kwa soka alilodananda zizzou.. zizzou ni bora zaid... Bonge la player itachukua muda kumpata mbadala wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…