Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
Katika mpira farsafa ni aina ya uchezaji ambayo anatumia kocha kuiwezesha mbinu zake zifanye kazi. Mfano gadiora anamiliki mpira, kloop anashambulia na watu wengi kwa kasi, mourinho anapaki basi. zidane alikua anatumia falsafa gani?Hayo ndio matatizo ya kumsikiliza sana Ambagile, sasa falsafa ndio nini?
Sahihi ila bahatiView attachment 3000119
Moja kati ya makocha ambao nimekuwa nikitazama mechi zao kadhaa za nyuma basi ni huyu kocha Zidane ila kitu nlichogundua ni kwamba huyu jamaa ni kocha wa kawaida mno kimbinu, aliweza kuchukua makombe ya UEFA back to back kwasababu tu ya uwepo wa CR7 akiwa kwenye peak yake na aina wachezaji waliopo madrid,
Na ndomaana mpaka sasa hana timu tangu kaondoka Real madrid hakuna timu iliyompa ofa kwasababu wameangalia aina ya mpira wake ni wa kizamani sana na ni kocha wa mbinu moja tu kitu ambacho modern football haitaki kwa sasa,
Kuna mtu atasema mbona aliweza kubeba makombe ya Uefa back to back akiwa madrid ? Jibu ninalo weza kukupa ni kwamba Madrid ni aina ya Timu ambayo unaweza mchukua hata Peter Msechu tukamvalisha suti na Tai ndefu na kumkabidhi timu na akabeba Makombe kama hana akili nzuri,
Siku zidane akipata kazi nje ya klabu ya madrid mtakumbuka maneno yangu huyu kocha hatokuja kubeba tena kombe la Uefa akifundisha timu nyingne tofauti na Wafalme wa Soka duniani Real madrid.
Falsafa ya Madrid.Zidane alikua anatumia falsafa gani?
IpiFalsafa ya Madrid.
Mfumo na falsafa ni tofauti mfano gadiora na klopp mfumo wanaopanga wachezaji wao unalingana ila falsafa zao ni tofauti. Mifumo ipo 442, 352, 433 n.k ukija kwenye falsafa kuna counter attack, low block, pressing, ball possesion n.k.. bado haujanijibu swali langu Zidane akiwa kocha real madrid alikua anatumia falsafa gani.Tunaanza hapa Kwanza,
Hivi ni vikosi viwili tofauti vya real Madrid
kimoja ni cha Zidane kilichochukua uefa dhidi ya juve
kingine ni cha Carlo Ancelotti kinachotarajiwa Kucheza final jumamosi, Je huoni Kama lineups zilivyopangwa zinanana?
Peter msechu anaweza kupanga kikosi kifanane na cha Ancelotti?
Nimekujibu Falsafa ya Madrid.Mfumo na falsafa ni tofauti mfano gadiora na klopp mfumo wanaopanga wachezaji wao unalingana ila falsafa zao ni tofauti. Mifumo ipo 442, 352, 433 n.k ukija kwenye falsafa kuna counter attack, low block, pressing, ball possesion n.k.. bado haujanijibu swali langu Zidane akiwa kocha real madrid alikua anatumia falsafa gani.
Kipindi zidane anafundisha real madrid alikua anatumia falsafa gani? Kama haujui kuna ugumu gani wa kusema haujui? sasa falsafa ya real madrid ndio kitu gani hicho.Nimekujibu Falsafa ya Madrid.
Sababu ya kukuletea vikosi ni kuanza kukuonesha mfanano kuanzia hapo ili uijue Falsafa ya Madrid.
Angalia Madrid wanavyocheza sasa haitofautiani na madrid Ile ya Zidane.
pia haitofautiani na madrid ya 2014.
kwahyo hiyo Falsafa Ipe jina we mwenyewe si unajua majina ya Falsafa bhana.
Unashangaza ujue mkuu.
Kwann Carlo Ancelotti anatumia Falsafa gani?
Maana Arteta kuwa Chini ya pep kapewa Arsenal hajachukua hata kombe la maana ulaya tayari ushasema ana Falsafa.
Zidane alikua Chini ya Ancelotti kapewa Madrid kabeba uefa 3 na la Liga juu et Hana Falsafa.!!!
Hivi mnatufanya Wengine tunaangaliziaga mpira visogo sio?
Kwani Falsafa ya Zidane ndio kitu gani?Kipindi zidane anafundisha real madrid alikua anatumia falsafa gani? Kama haujui kuna ugumu gani wa kusema haujui? sasa falsafa ya real madrid ndio kitu gani hicho.
Nakuuliza kwa mara ya mwisho, kipindi zidane anafundisha real madrid alikua anatumia falsafa gani?Kwani Falsafa ya Zidane ndio kitu gani?
Alishambulia na watu wengi kwa kasi.Nakuuliza kwa mara ya mwisho, kipindi zidane anafundisha real madrid alikua anatumia falsafa gani?
Club kama Madrid inaweza kuajiri kocha asie kua na falsafa? umekula nini wewe?Zidane alikua anatumia falsafa gani?
Achana nae mkuu.Club kama Madrid inaweza kuajiri kocha asie kua na falsafa? umekula nini wewe?
Umenikumbusha kuna game moja ya El classico ilipigwa Bernabeu, real madrid walifungwa goli la kona na Carles Puyol, baada ya mechi kuisha Morinho alimlaumu sana Ramos kwamba alishindwa kutekeleza wajibu wake.... maana kabla ya mechi Morinho alikuwa amewaambia kwenye mipiraya set pieces Ramos ndio atamfanyia man-marking Puyol halafu Pepe atakuwa ana mmark Gerald Pique, sasa kwenye lile goli ilikuwa ni vice verse, Ramos alienda kummark mtu mwingine kabisa tofauti na Puyol.... baasi baadae ya hapo Morinho alimmind sana Ramos, Ramos nae kwa kiburi akamwambia "wewe unanilaumu mimi kwa sababu hujacheza mpira na hivyo kuna vitu vingi huvijui vinavyondelea uwanjani, light kama ungekuw umewahi kucheza kwenye professional level usingenilaumu, ungejua kwamba sio lazima muda wote wachezaji wafuate maelekezo ya kocha, kuna muda itabidi mchezaji nifanye maamuzi tofauti na maelekezo ya kocha kulingana na movement ya mchezo"Mourinho ni aina ya kocha ambaye hawez kucooperate vzuri na kikosi kilicho na wachezaji wengi Top players, ndomaan pale madrid kuna visa vingi sana vya yeye kupishana kauli na wachezaji wake,
Maan yule jamaa ni mtu mwenye misimamo mikali sana hapend kuyumbishwa usipofata maelekezo yake na kumletea jeuri yupo tayari hata akuweke sub hata kama ni Mchezaji tegemezi.
Mbona hamjibu swali langu. Zidane alikua anatumia falsafa gani wakati anafundisha real madrid?Club kama Madrid inaweza kuajiri kocha asie kua na falsafa? umekula nini wewe?
Alikua anafanya pressing au sio, kama anavyofsnya klopp. Ilo ndio lilikua jibu tangu mwanzoAlishambulia na watu wengi kwa kasi.
Sio lazima niijue mimi sio kazi yangu, labda nikuulize club kubwa kama Real Madrid inaweza kuajiri kocha asie na falsafa?Mbona hamjibu swali langu. Zidane alikua anatumia falsafa gani wakati anafundisha real madrid?
Nilishindwa kujibu Kwa sababu nilijua unajua.Alikua anafanya pressing au sio, kama anavyofsnya klopp. Ilo ndio lilikua jibu tangu mwanzo
sasa si ungesema tu haujuiSio lazima niijue mimi sio kazi yangu, labda nikuulize club kubwa kama Real Madrid inaweza kuajiri kocha asie na falsafa?
Mimi kuto kujua haimanishi haipo sababu football sio kazi yangu ila kitu nnacho jua club kubwa kama Real Madrid haiwezi kuajiri kocha asie na falsafa yaani Juma Mgunda awe na falsafa alf Zidane awe yupo yupo tu kama Mbwigasasa si ungesema tu haujui