Papaa Gx
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 11,097
- 17,929
Muwashie wifi
Mbona unajizima data
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona unajizima data
Hizi sasa ni kufuru kwa hio Ronaldho hajafika hata nusu ya Messi?Kila mtu ana haki ya kuwa na maoni yake binafsi. Mimi binafsi ninaamini itachukua miaka zaidi ya 100 kuja kumpata mchezaji mwenye nusu ya kipaji alichokuwa nacho Lionel Messi.
Kama umefanikiwa kumuona Messi akicheza soka, unatakiwa ujivunie mno.
Gaucho?? Acha dharau, mahaba yenu kwa Messi yanavuka mipakaa sasa.Hata delima sio level za Messi.
Messi hamna mtu aliye level zake
Hata Pele na maradona huwa wanawekwa level zake kwa heshima ya ulegend wao tu lakin kwa kipaji Cha mpira kama mpira hawamfikii
Wanajitoa akiliGaucho?? Acha dharau, mahaba yenu kwa Messi yanavuka mipakaa sasa.
Wanajitoa akiliGaucho?? Acha dharau, mahaba yenu kwa Messi yanavuka mipakaa sasa.
Kabisaaa yaanWanajitoa akili
Maana yangu ni kuwa, baada ya Messi. Itachukua zaidi ya miaka 100 kupata mtu mwenye nusu ya kipaji cha Messi.Hizi sasa ni kufuru kwa hio Ronaldho hajafika hata nusu ya Messi?
[emoji1787][emoji1787]ME SIDHANI KAMA ATACHUKIA MANA HATA YEYE ANALIJUA HILI
Tucheze mchezo...wewe unakuwa unaNitajia kitu kimoja Gaucho Anamazidi Messi Mimi nakutajia vitatu vitatu.Gaucho?? Acha dharau, mahaba yenu kwa Messi yanavuka mipakaa sasa.
Messi Ni bora Zaid Ya Gaucho kama hutaki Kakate Rufaa Mahakama Mkazi KisutuGaucho?? Acha dharau, mahaba yenu kwa Messi yanavuka mipakaa sasa.
Medal ni kigezo cha ubora?Ronaldo Atuonyeshe basi Hata Medali ya Runner up ya World cup ili tuanzishe Mjadala rasmi wa Nani mkali kati ya GOAT MESSI na Ronaldo.
Tumempa challenge kidog tu hiyo Otherwise bas alete Kombe la dunia mezani tuanze kidogo kumlinganisha na King MessiMedal ni kigezo cha ubora?