NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 11,131
- 9,301
Kwani alisubiri zidane aseme ndo aamini.Kampeni za kijinga.Tupe mifano hata miwili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani alisubiri zidane aseme ndo aamini.Kampeni za kijinga.Tupe mifano hata miwili
Kwa kigezo hiko Messi ni bora. Goal ratioYeye zidane kwani ni nani?RONALDO NA MESSI WOTE NI WASHAMBULIZI.KWA HIVO MWENYE MAGOLI MENGI NDIO MSHAMBULIAJI BORA.msitusumbue
Ronaldo aweke Worldcup Mezani, ndio tuanze kumfananisha na Messi.
Hiyo ndiyo namna nzuri ya kuweza kulielezea hiliAliyepata kuwa kocha wa Ronaldo pale Real Madrid na gwiji wa klabu hiyo, Zinedine Zidane amesema Ronaldo ni mchezaji mzuri sana na ni mmoja ya wachezaji bora kuwahi kutokea lakini hayupo katika level za Lionel Messi.
Zidane akaongeza, Ronaldo hayupo kwenye level za Messi kwa kuwa Messi ni mchezaji bora kuwahi kutokea.
My take:
Najua CR7 atakuwa amenuna huko alipo lakini huu ndio ukweli na msema kweli ni mpenzi wa mwenyezi mungu, au nasema uongo ndugu zangu?
View attachment 2671330
Makasiriko ya nini?Ni kweli, waumini wa Messi wanalazimisha mawazo ya wote yawe yao.Kama mtoa mada.Si muanzishe uchaguzi.
Usomi wa kiajabuajabu.Kwa kigezo hiko Messi ni bora. Goal ratio
Naamini hesabu unajua. 4/12 na 2/4, unajua hapo ipi kubwa
Makasiriko ya nini?
Unatafsirije hasira.Makasiriko ya nini?
Tutampima kwenye mengine. Kwenye vigezo vingine kuanzia magoli makombe, ballon dor n.k Ronaldo na Messi hawajapishana Sana,utofauti ndio unaletwa na world cup.Kwa hicho ulichosema akija mwenye makombe mawili wakisema anamzidi Messi utaridhia.
Ndio maana nimesema naamini hesabu unajuaUsomi wa kiajabuajabu.
Magoli ni washambuliaji, kombe huwa ni la timu nzima hata walio benchi akiwemo kocha.Tutampima kwenye mengine. Kwenye vigezo vingine kuanzia magoli makombe, ballon dor n.k Ronaldo na Messi hawajapishana Sana,utofauti ndio unaletwa na world cup.
Tuambie huyo unayesema ukimlleta tukimpima huko kwingine wataenda sawa?
Messi anaonekana bora kwasababu ameweza kudumu katika ubora kwa mda mrefu na hii kutokana kama wanavyosema kwa kiasi kikubwa anategemea kipaji tofauti na RonaldoAliyepata kuwa kocha wa Ronaldo pale Real Madrid na gwiji wa klabu hiyo, Zinedine Zidane amesema Ronaldo ni mchezaji mzuri sana na ni mmoja ya wachezaji bora kuwahi kutokea lakini hayupo katika level za Lionel Messi.
Zidane akaongeza, Ronaldo hayupo kwenye level za Messi kwa kuwa Messi ni mchezaji bora kuwahi kutokea.
My take:
Najua CR7 atakuwa amenuna huko alipo lakini huu ndio ukweli na msema kweli ni mpenzi wa mwenyezi mungu, au nasema uongo ndugu zangu?
View attachment 2671330
Hayo hayo magoli nimekuuliza Kati ya 4/12 na 2/4 ipi kubwa?Magoli ni washambuliaji, kombe huwa ni la timu nzima hata walio benchi akiwemo kocha.
Sasa kombe la Dunia kafanya maajabu gani au yale mapenati? Bila ushabiki kwenye kombe la Dunia Mbape ndie aliekuwa bora zaidi.Xavi na iniesta walikuwepo Messi akiinua kombe la dunia?
Hater's wa La Pulga pia wapo wengi.Ronaldo ndio mchezaji anayeongoza kwa kuwa na haters wengi.
Figisu nyingi zinaweza kufanywa ili mradi tu kumkwamisha.
Kishasahau kwamba alikuwa akitembelea nyota ya Ronaldo pale Madrid!?amepata mataji mangapi toka aachane na Ronaldo!?anafundisha timu gani sasa hivi!?Aliyepata kuwa kocha wa Ronaldo pale Real Madrid na gwiji wa klabu hiyo, Zinedine Zidane amesema Ronaldo ni mchezaji mzuri sana na ni mmoja ya wachezaji bora kuwahi kutokea lakini hayupo katika level za Lionel Messi.
Zidane akaongeza, Ronaldo hayupo kwenye level za Messi kwa kuwa Messi ni mchezaji bora kuwahi kutokea.
My take:
Najua CR7 atakuwa amenuna huko alipo lakini huu ndio ukweli na msema kweli ni mpenzi wa mwenyezi mungu, au nasema uongo ndugu zangu?
View attachment 2671330
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hesabu ulivyobarikiwa, Si unavyotarajia
Haina haja ya kufika huko.Kishasahau kwamba alikuwa akitembelea nyota ya Ronaldo pale Madrid!?amepata mataji mangapi toka aachane na Ronaldo!?anafundisha timu gani sasa hivi!?
Ni upuuzi kumfananisha Messi na yoyote ktk soka mbali na Pele na Maradona.Hata delima sio level za Messi.
Messi hamna mtu aliye level zake
Hata Pele na maradona huwa wanawekwa level zake kwa heshima ya ulegend wao tu lakin kwa kipaji Cha mpira kama mpira hawamfikii
Acha kumtusi Mayele mkuuBila Worldcup Ronaldo ni sawa na Mayele tu.
Msituone wote ni wajinga.
Hapa ananukuliwa Zidane akisema unapokuwa na Ronaldo kwenye kikosi tayari unakuwa unaongoza moja bila.
View attachment 2671424
Ebu leteni source ya hiyo habari yenu inayomuonesha Zidane akimsifia Messi dhidi ya Ronaldo
Mpaka hapa nyie ni waongo